Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Blessed...unfortunately wasomaji wengi hawatapita hapa.
1. Epuka vinywaji vyenye sukari nyingi baadala yake pendelea kunywa maji mengi au kahawa, kama ukinywa chai hakikish sukari siyo nyingi
2. Usipendelee kula nyama nyekundu na nyama zilizosindikwa baadala yake waweza kula samaki, kuku au mboga zingine
3. Kama ni mvutaji wa sigara, jaribu kuziepuka
4. Pendelea kufanya mazoezi na usiruhusu mwili wako ukae muda bila mazoezi
5. Mfumo wako wa chakula, angalia na aina ya mafuta unayotumia pia na vyakula vingine huwa chanzo cha tatizo hili
Kwa wale wanaojua njia nyingine pia ni vizuri kuziweka hapa faida ya watu wengi
Kisukari hakikubaliki!
na kwa sasa naendelea na mazoezi. nashauri ya usiku usiku yanatoa jasho kwa wingi zaidi.Kweli mkuu ila wakiona papuchi na dushelele wote wanakuja hili ni tatizo
Lazima watu wabadilike kiongozi
1. Epuka vinywaji vyenye sukari nyingi baadala yake pendelea kunywa maji mengi au kahawa, kama ukinywa chai hakikish sukari siyo nyingi
2. Usipendelee kula nyama nyekundu na nyama zilizosindikwa baadala yake waweza kula samaki, kuku au mboga zingine
3. Kama ni mvutaji wa sigara, jaribu kuziepuka
4. Pendelea kufanya mazoezi na usiruhusu mwili wako ukae muda bila mazoezi
5. Mfumo wako wa chakula, angalia na aina ya mafuta unayotumia pia na vyakula vingine huwa chanzo cha tatizo hili
Kwa wale wanaojua njia nyingine pia ni vizuri kuziweka hapa faida ya watu wengi
Kisukari hakikubaliki!
1. Epuka vinywaji vyenye sukari nyingi baadala yake pendelea kunywa maji mengi au kahawa, kama ukinywa chai hakikish sukari siyo nyingi
2. Usipendelee kula nyama nyekundu na nyama zilizosindikwa baadala yake waweza kula samaki, kuku au mboga zingine
3. Kama ni mvutaji wa sigara, jaribu kuziepuka
4. Pendelea kufanya mazoezi na usiruhusu mwili wako ukae muda bila mazoezi
5. Mfumo wako wa chakula, angalia na aina ya mafuta unayotumia pia na vyakula vingine huwa chanzo cha tatizo hili
Kwa wale wanaojua njia nyingine pia ni vizuri kuziweka hapa faida ya watu wengi
Kisukari hakikubaliki!
Pombe ndio culprit number one.