Tatizo la January ni mtu laini laini na legelege mno na mtu anayeingilika kirahisi

Tatizo la January ni mtu laini laini na legelege mno na mtu anayeingilika kirahisi

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Sekta ya nishati ni vigumu mno kunyooka ikiendelea kuongozwa na mtu laini na legelege mfano wa January Makamba.

Ukweli usemwe tu Rais Samia alizingirwa na maharamia yaliyomshawishi ampe huyo bwana mdogo wizara ya nishati ili aende kulinda maslahi yao.

Sekta ya nishati ni muhimu kuongozwa na wadwanzi wenye chembechembe ya udikteta kama ilivyo Sekta ya ujenzi.

Nishati ni Sekta inayogusa moja kwa moja usalama wa Taifa na kwayo haiwapasi Viongozi wazembe kuihudumu.

Kuendelea kuwa na kiongozi aina ya January kwenye Sekta yetu ya nishati hakika ni sawa na kwamba tumeridhia kuumia.

Shime mheshimiwa Rais Samia hujachelewa bado,tuondolee January pale nishati na tupe mtu mwenye uthubutu wa haja.

NB: January ni sawa na kibuyu hata kikibebwa vipi mwisho kitapasuka tu.
 
Sekta ya nishati ni vigumu mno kunyooka ikiendelea kuongozwa na mtu laini na legelege mfano wa January Makamba.

Ukweli usemwe tu Rais Samia alizingirwa na maharamia yaliyomshawishi ampe huyo bwana mdogo wizara ya nishati ili aende kulinda maslahi yao.

Sekta ya nishati ni muhimu kuongozwa na wadwanzi wenye chembechembe ya udikteta kama ilivyo Sekta ya ujenzi.

Nishati ni Sekta inayogusa moja kwa moja usalama wa Taifa na kwayo haiwapasi Viongozi wazembe kuihudumu.

Kuendelea kuwa na kiongozi aina ya January kwenye Sekta yetu ya nishati hakika ni sawa na kwamba tumeridhia kuumia.

Shime mheshimiwa Rais Samia hujachelewa bado,tuondolee January pale nishati na tupe mtu mwenye uthubutu wa haja.

NB: January ni sawa na kibuyu hata kikibebwa vipi mwisho kitapasuka tu.
wapuuz nyie,kwaiyo tumuweke mbeba vyuma au?

Sukuma gang mna tabu sana
 
Mama ampe Aweso azichanganye wizara hizi 2 kwa pamoja maana ndio mhimili mkubwa kwa wananchi wa hadhi zote
 
Sekta ya nishati ni vigumu mno kunyooka ikiendelea kuongozwa na mtu laini na legelege mfano wa January Makamba.

Ukweli usemwe tu Rais Samia alizingirwa na maharamia yaliyomshawishi ampe huyo bwana mdogo wizara ya nishati ili aende kulinda maslahi yao.

Sekta ya nishati ni muhimu kuongozwa na wadwanzi wenye chembechembe ya udikteta kama ilivyo Sekta ya ujenzi.

Nishati ni Sekta inayogusa moja kwa moja usalama wa Taifa na kwayo haiwapasi Viongozi wazembe kuihudumu.

Kuendelea kuwa na kiongozi aina ya January kwenye Sekta yetu ya nishati hakika ni sawa na kwamba tumeridhia kuumia.

Shime mheshimiwa Rais Samia hujachelewa bado,tuondolee January pale nishati na tupe mtu mwenye uthubutu wa haja.

NB: January ni sawa na kibuyu hata kikibebwa vipi mwisho kitapasuka tu.
Kweli hii wizara ni Bora ikaangaliwa upya,pakuanzia utafiti kidogo ufanyike kwenye sula la huduma Kwa wateja watarajiwa ambako mianya ya tutendewa tofauti na matarajio ya kupewa huduma Kwa wakati na Kwa ubora kulingana na ahadi ya huduma Kwa mteja.Pia kwenye athari yakukosa au kuchelewesha mapato mapya kutoka wateja wapya Kwa kukosa dhamira Kwa wenye jukumu la kuona Hilo likifanyika.
 
Sekta ya nishati ni vigumu mno kunyooka ikiendelea kuongozwa na mtu laini na legelege mfano wa January Makamba.

Ukweli usemwe tu Rais Samia alizingirwa na maharamia yaliyomshawishi ampe huyo bwana mdogo wizara ya nishati ili aende kulinda maslahi yao.

Sekta ya nishati ni muhimu kuongozwa na wadwanzi wenye chembechembe ya udikteta kama ilivyo Sekta ya ujenzi.

Nishati ni Sekta inayogusa moja kwa moja usalama wa Taifa na kwayo haiwapasi Viongozi wazembe kuihudumu.

Kuendelea kuwa na kiongozi aina ya January kwenye Sekta yetu ya nishati hakika ni sawa na kwamba tumeridhia kuumia.

Shime mheshimiwa Rais Samia hujachelewa bado,tuondolee January pale nishati na tupe mtu mwenye uthubutu wa haja.

NB: January ni sawa na kibuyu hata kikibebwa vipi mwisho kitapasuka tu.

We jamaa na January dah too much now
Ikulu si unapajua ? Nenda Kwa rais kamwambie mtu ambae ww unataka awe waziri

Au unataka ukawe ww waziri?
 
Back
Top Bottom