Tatizo la January ni mtu laini laini na legelege mno na mtu anayeingilika kirahisi

Mgao wa Umeme unakuja tena sijui lini unaanza. ?
 
Kwenye 10% unaanzaje kua mgumu da Suzy!
10% za Nishati na Madini sio kinyonge mzee baba, yani kote vibunda virefu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wazee wa Barrick wakifunguka pamoja na GGM zinachomoka B za kutosha! Ukija kwenye fungu la Mradi pass ya upendo toka kwa Lameki kwenye 1OOB wahuni wanaishi na 6OB alba iliobaki ndio inaenda SGR unafikiri mradi utaisha vipi mapema.
 
Unataka uwe wewe Ili tuone utakavyokomaa na ndita Ili umeme usikatike?

Jitokeze hadharani Ili usaini kwa wino mwekundu.
 
"Nimekuwa nikilisema na narudia kulisema Jambo hili,muacheni Mwanangu January Makamba afanye kazi yake kwa uzuri zaidi"
Ningali nawatazama kwa jicho langu legevu,na nimemuagiza Mwanangu IGP Wambura pamoja na Mwanangu Jumanne Kingai na timu yao walitizame hili suala la kunyanyaswa wanangu Nape, Mwigulu na Ridhiwan kwa karibu zaidi"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…