Tatizo la Kitambi na uzito ACHA KULA WALI!!

Tatizo la Kitambi na uzito ACHA KULA WALI!!

Haya ni mawazo yako...

Kuna tafiti zimeshafanywa, consumption kubwa ya white rice ni chanzo cha ugonjwa wa kisukari aina ya pili "type 2 diabetes"

Mkuu dunia ya Leo hamna chakula kisichohusishwa na ugonjwa fulani mwisho mtasema tuache kula kabisa, lakini pia mwili unahitaji kila aina ya nutrients hata zinazopatikana kwa white rice cha muhimu ni kubalance diet kwa chochote kile ulacho bila kusahau mazoezi
 
Msisahau pia kuachana na hizo juice za kopo, chupa, box etc ni soo!!
Nunua fresh fruits kisha tengeneza juice kama wataka kunywa juice.
Hata ugali usile sanaaa. No pizza, hotdogs, hamburgers, ice cream, Noah, beers, fried meat, french fries, chips mayai
Mazoezi muhimu sana
 
Mkuu dunia ya Leo hamna chakula kisichohusishwa na ugonjwa fulani mwisho mtasema tuache kula kabisa, lakini pia mwili unahitaji kila aina ya nutrients hata zinazopatikana kwa white rice cha muhimu ni kubalance diet kwa chochote kile ulacho bila kusahau mazoezi

Just eat healthy foods. Hujakatazwa kula wali mweupe, mara moja au mbili kwa Mwezi sio mbaya. Lakini usile kila siku.
 
Kitambi si mlo mmoja tu kuukata kama walivyoshauri wengine hapo juu wadau..acha au punguza soda, Kwa wanywaji wa vilevi wapunguze au waflash out pombe Kwa Maji mengi..pendelea kula matunda n mboga ama salads nyingi kwenye milo yako kuliko nafaka..prefer visivyokobolewa zaidi,avoid chips kabisa,avoid chips, zipotezee au punguza ulaji wa chips..broiler usile ngozi,punguza red meat,usinywe Maji wakati wa kula au baada ya kula mpaka ipite nusu saa, usilale Mara ulapo na Kubwa zaidi JITAHIDI KUPATA CHOO KILA SIKU.am done, nlichosahau ntatupia..ila Kwa upande wangu imenisaidia sana.
 
Kitambi si mlo mmoja tu kuukata kama walivyoshauri wengine hapo juu wadau..acha au punguza soda, Kwa wanywaji wa vilevi wapunguze au waflash out pombe Kwa Maji mengi..pendelea kula matunda n mboga ama salads nyingi kwenye milo yako kuliko nafaka..prefer visivyokobolewa zaidi,avoid chips kabisa,avoid chips, zipotezee au punguza ulaji wa chips..broiler usile ngozi,punguza red meat,usinywe Maji wakati wa kula au baada ya kula mpaka ipite nusu saa, usilale Mara ulapo na Kubwa zaidi JITAHIDI KUPATA CHOO KILA SIKU.am done, nlichosahau ntatupia..ila Kwa upande wangu imenisaidia sana.[/QUOTE]

Ngoja nifuate utaratibu nione
 
Dada, brown rice ina fibres. Unashiba haraka na unapata less carbs. Binafsi napenda na natumia brown rice. Dietician anashauri a cup size kwa mlo inatosha, na moto iwe kubakisha wali badala ya mboga.

Argument ya fibres na kushiba haraka make a lot of sense of course na kiwango unachokula, nami nikila a cup size white rice si nitakuwa nimekula the same amount of carbs, ingawa nimepoteza some proteins na fibres ambazo zasaidia na kwenye choo???
 
Kiporo cha wali maharage kilichopashwa vizuri.....
 
Duh! so ni mwendo wa tembele tu


Msisahau pia kuachana na hizo juice za kopo, chupa, box etc ni soo!!
Nunua fresh fruits kisha tengeneza juice kama wataka kunywa juice.
Hata ugali usile sanaaa. No pizza, hotdogs, hamburgers, ice cream, Noah, beers, fried meat, french fries, chips mayai
Mazoezi muhimu sana
 
We kula jani tuu si lazma tembele..hata bangi kama unaweza kuipika vizuri 😀😀😀
 
Mara moja ua mbili kwa mwezi? hii inawezekana? Mkuu SHERRIF ARPAIO wali ndio mlo mkuu kwa jamii kubwa ya watanzania hasa usiku, familia nyingi zinapenda kula wali usiku, na watoto wanavyoupenda wali sasa halafu eti tule mara moja au mbili kwa mwezi!
Vipi ulaji wa tambi, chapati?


Just eat healthy foods. Hujakatazwa kula wali mweupe, mara moja au mbili kwa Mwezi sio mbaya. Lakini usile kila siku.
 
Last edited by a moderator:
Utaratibu mgum, kuacha wali umesema?

Mimi mwenyewe hapa nimejaribu kumesa nimeshindwa, hata hivo kama wali unasababisha vitambi ina maana watu wa maeneo wanayolima mpunga kama kilombero, Ifakara, Kyela nk nk watakuwa na vitambi sana basi
 
Mara moja ua mbili kwa mwezi? hii inawezekana? Mkuu SHERRIF ARPAIO wali ndio mlo mkuu kwa jamii kubwa ya watanzania hasa usiku, familia nyingi zinapenda kula wali usiku, na watoto wanavyoupenda wali sasa halafu eti tule mara moja au mbili kwa mwezi!
Vipi ulaji wa tambi, chapati?
Mkuu MZIZI MKAVU ni mwenye weledi wa hali ya juu ktk mambo haya. Ngoja tumsubiri najua atakuja kutoa somo. Nakubaliana na wewe kuhusu kula wali usiku. Mimi binafsi toka utotoni mchana twala ugali jioni twala wali ama chapati na kila ijumaa ni pilau ama biriani. Iliniwia vigumu sana kuachana na wali lakini nashukuru, baada ya kuwa makini na vyakula ninavyokula na kuzingatia mazoezi, alhamdulillahi I'm in good shape na kitambi kimepotea and I feel pretty good about my body
 
Mkuu MZIZI MKAVU ni mwenye weledi wa hali ya juu ktk mambo haya. Ngoja tumsubiri najua atakuja kutoa somo. Nakubaliana na wewe kuhusu kula wali usiku. Mimi binafsi toka utotoni mchana twala ugali jioni twala wali ama chapati na kila ijumaa ni pilau ama biriani. Iliniwia vigumu sana kuachana na wali lakini nashukuru, baada ya kuwa makini na vyakula ninavyokula na kuzingatia mazoezi, alhamdulillahi I'm in good shape na kitambi kimepotea and I feel pretty good about my body
hivi inawezekana mtu akaish kwa Matunda wiki 2 bila kula chakula chochote? namaanish yani anakula matunda anashiba , asubuh , mchana na usiku, na hali chakula kingine kwa hizo wiki 2.
help watu8 MziziMkavu
 
Back
Top Bottom