siyo walimu tu.. ni wafanyakazi wa halmashauri, walio chini ya Mkurugenzi wakiwepo wauguzi , madaktari mpaka madereva.
Sasa ukilalamika sana mwalimu itaonekana walimu walalamishi, na itaonekana unataka hiyo michango iondolewe kwa walimu tu..
hoja ya ku discuss hapa
1 . Nini umuhimu wa mwenge kwa kizazi cha leo.?
2. je ni kweli mwenge ni zindiko la nchi, kana kwamba hata CHAUMA wakiingia madarakani hawawezi kuugusa .. si umeona Jiwe, shujaaa. aliona bora afute hata ajira za ualimu lakini hajawahi gusa gharama za mwenge.
soma kuhusu F.Ganze Masta mchawi wa Taifa.
3. vipi kama kuna CAG, kuna viongozi , kwa nini hasa mwenge uzindue miradi?
Mi naona mwenge ni kama sherehe flani za kitaifa, ni kama Carnival festival za kule Brazil, ama ma dragon ya kule china. sema wabongo wengi tuna potezea...
NYONGEZA. NJE YA MADA KIDOGO.
Njiani porini huko ni kweli mwenge huwa una zimwa ku save wese?
baada ya kukimbiza mwenge hawa wakimbizaji huwa "wanapotea"?