Tatizo la kuchangisha walimu mchango wa mwenge


Nakujibu hilo la mwisho eti wakimbiza mwenge wanapotea!
Hakuna kitu kama hicho! Humu jf wapo waliokimbiza mwenge miaka na miaka mbona hawajapotea...!?
Ni nani unayemfahahamu aliyewahi kimbiza mwenge na akapotea....!??
Acha tuwazoom tu, mnavyodanganyana!
 
28 May 2023
Nsimbo, Tabora
Tanzania

Tundu Lissu aanika madudu, afichua siri nzito kuhusu tozo na kodi za kimabavu


Operasheni 255 ya CHADEMA Halmashauri ya wilaya ya Nsimbo, Tabora Tanzania madudu mengi ya tozo na michango isiyo halali kisheria na ya kimabavu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…