Tanganian
JF-Expert Member
- Jan 27, 2025
- 999
- 1,898
Hii ni kweli usiongee na mtu mambo binafsiNimewaza kama watanzania waliowengi kwamba kuna mambo ya kiroho hayako sawa, ila kwa ushauri wangu jitahidi kuwa serious uwe unaongea mara chache sana.
Itoe akili yako huko unakowaza unachukiwa, kuwa mtu mwenye ratiba nzuri huku ukifocus na kilichokupeleka hapo ulipo.