Hii ni kweli usiongee na mtu mambo binafsiNimewaza kama watanzania waliowengi kwamba kuna mambo ya kiroho hayako sawa, ila kwa ushauri wangu jitahidi kuwa serious uwe unaongea mara chache sana.
Itoe akili yako huko unakowaza unachukiwa, kuwa mtu mwenye ratiba nzuri huku ukifocus na kilichokupeleka hapo ulipo.
Mimi mwenyewe muhuni Tu yaani sieleweki......Ipo siku UTANIGWA na hao unaowaita wahuni.
SureKuwa neutral, Kuna sehemu huwa najifanya msela msela, muda mwingine mpole na mchamungu, muda mwingine muhuni Tu yaani inafikia kipindi mtu ukimwambia Nina degree mbili za fani tofauti anakataa kabisa.....juzi juzi TU nilikuwa sehemu nimekaa na wahuni tunakunywa visungura na Mimi ndio mnunuaji kwa sababu unakuta asilimia kubwa ya wahuni HAWANA pesa......nitaendelea baadae
Habari za jumapili wananzengo Moja Kwa Moja niende kwenye mada
Ni hivi nimekua na tatizo la kuchukiwa kazini hii Sasa ninayofanya ni kazi yangu ya nne lakini Kila ninapofanya kazi wafanyakazi wananichukia hii inaennda Moja Kwa Moja mpaka Kwa maboss zangu nao wanaanza kunichukia.
Mimi sio mvivu nafanya kazi vizuri tuu nawahi kazini pia ni mtu mwenye upendo pia ni mpole sana si mtu wa ugomvi, Shida inaweza kua ni nini?
Kazi ya Sasa nimeanza vizuri tuu ghafla boss kaanza kunitafutia visa anataka kunipunguzia mshahara wakati nalipwa sawa na wengine Ambao nimewazidi majukumu. Nafanya kazi zaidi ya masaa tisa Kila siku mpaka siku za off naambiwa niingie kazini.
Ji
Nashindwa kuelewa shida ni nini naombeni msaada wa mawazo nimechoka kutafuta kazi Kila siku nataka nikae sehemu Moja nifanye maisha.
Natanguliza shukran zangu
Jikabidhi kwa MUNGU wakoHabari za jumapili wananzengo Moja Kwa Moja niende kwenye mada
Ni hivi nimekua na tatizo la kuchukiwa kazini hii Sasa ninayofanya ni kazi yangu ya nne lakini Kila ninapofanya kazi wafanyakazi wananichukia hii inaennda Moja Kwa Moja mpaka Kwa maboss zangu nao wanaanza kunichukia.
Mimi sio mvivu nafanya kazi vizuri tuu nawahi kazini pia ni mtu mwenye upendo pia ni mpole sana si mtu wa ugomvi, Shida inaweza kua ni nini?
Kazi ya Sasa nimeanza vizuri tuu ghafla boss kaanza kunitafutia visa anataka kunipunguzia mshahara wakati nalipwa sawa na wengine Ambao nimewazidi majukumu. Nafanya kazi zaidi ya masaa tisa Kila siku mpaka siku za off naambiwa niingie kazini.
Nashindwa kuelewa shida ni nini naombeni msaada wa mawazo nimechoka kutafuta kazi Kila siku nataka nikae sehemu Moja nifanye maisha.
Natanguliza shukran zangu
Shet shet kamaanisha shetani. So shet shet at work ni shetani kaziniNi nini hii mkuu
Mkuu Mimi sio mtoto mdogo nisijue upendo na chukiInawezekana hakuna hata anyekuchukia, ni wewe tu unajishtukia. Ukipewa majukumu, unahisi unachukiwa.
Kuna watu maofisini hawana muda wa kumchukia mtu. Kwanini udhani watu wanakuchukia?
Labda utuambje kwanini unaona hao watu wanakuchukia..
Kama ni NGO's (non profit Organization) ni kawaida maana huko kumejaa unprofessional and stupid staff members
Kaogee maji ya bahari kama hakuna bahari ulipo tumia/ogea chumvi ya mawe kwa siku saba.Habari za jumapili wananzengo Moja Kwa Moja niende kwenye mada
Ni hivi nimekua na tatizo la kuchukiwa kazini hii Sasa ninayofanya ni kazi yangu ya nne lakini Kila ninapofanya kazi wafanyakazi wananichukia hii inaennda Moja Kwa Moja mpaka Kwa maboss zangu nao wanaanza kunichukia.
Mimi sio mvivu nafanya kazi vizuri tuu nawahi kazini pia ni mtu mwenye upendo pia ni mpole sana si mtu wa ugomvi, Shida inaweza kua ni nini?
Kazi ya Sasa nimeanza vizuri tuu ghafla boss kaanza kunitafutia visa anataka kunipunguzia mshahara wakati nalipwa sawa na wengine Ambao nimewazidi majukumu. Nafanya kazi zaidi ya masaa tisa Kila siku mpaka siku za off naambiwa niingie kazini.
Nashindwa kuelewa shida ni nini naombeni msaada wa mawazo nimechoka kutafuta kazi Kila siku nataka nikae sehemu Moja nifanye maisha.
Natanguliza shukran zangu