Marathon day
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 643
- 1,016
Ndugu wahusika,
Mimi ninatatizo la hizi aina ya MITA za TANESCO Mpya, Yaani maeneo yangu IFIKAPO jioni ya saa 12 jioni mpaka saa 4 usiku ni shida Kila dakika Moja umeme unakatika na kuwaka mfululizo, cha ajabu majirani zangu umeme upo mda wote.
Nilijaribu kuulizia Taneco wanasema aina ya MITA inakata umeme pindi umeme unapokua mdogo ( low voltage) Nafanyaje nibadilishiwe Miter?
Jirani zangu ambao wamefunguwa umeme mbele yangu tatizo Hilo hawana, ila Mimi tu ndio napata shida hii, naomba msaada kwa juzi wa mambo.
Mimi ninatatizo la hizi aina ya MITA za TANESCO Mpya, Yaani maeneo yangu IFIKAPO jioni ya saa 12 jioni mpaka saa 4 usiku ni shida Kila dakika Moja umeme unakatika na kuwaka mfululizo, cha ajabu majirani zangu umeme upo mda wote.
Nilijaribu kuulizia Taneco wanasema aina ya MITA inakata umeme pindi umeme unapokua mdogo ( low voltage) Nafanyaje nibadilishiwe Miter?
Jirani zangu ambao wamefunguwa umeme mbele yangu tatizo Hilo hawana, ila Mimi tu ndio napata shida hii, naomba msaada kwa juzi wa mambo.