tutaishi milele
Member
- Dec 26, 2015
- 68
- 46
- Thread starter
- #21
Kuna kipindi niliacha kabisa kula usiku kikapungua kidogo na dawa za minyoo huwa nakunywa baada ya miezi mitatuJioni punguza kula halafu kunywa dawa za minyoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kipindi niliacha kabisa kula usiku kikapungua kidogo na dawa za minyoo huwa nakunywa baada ya miezi mitatuJioni punguza kula halafu kunywa dawa za minyoo
MinyooHabari wakuu naomba kutanguliza shukrani kwa wote watakao changia uzi huu na kutoa msaada. Nina changamoto ya kukohoa wakati wa usiku ninapoanza kulala tatizo hili lilianza mwaka jana kama mwezi wa 11 hivi lakini lilikuwa linanitokea kwa baadhi ya siku ila kwa sasa linatokea kila siku. Tatizo hili huanza hunitokea pale tu ninapotaka kulala lakini nikifanikiwa kupata usingizi huwa sikohoi tena mpaka kesho yake.
Kikohozi hiki kuwa kinaambatana na makohozi machache ambayo nikiyatema ndo huwa napata nafuu. Mwanzo nilidhani ni nyumba nayoishi kuwa na vumbi lakini nmejitahidi sana kuisafisha ila hali bado inaendelea. Pia kwa mchana kuna muda kila nikicheka huwa kama napaliwa na kupata kikohozi naomba msaada wa ushauri wenu wakuu.
Uchungu hapana kwa sasa natumia mto, zulia situmiiJe, unapolala unapata kuhisi Hali ya uchungu mdomoni? Unatumia mto wakati wakulala? Je unatumia zulia?