Tatizo la kukohoa usiku

Nilienda makete kipindi fulani aisee ile baridi ni kali na nahisi nilipata numonia, je kwa mtu miaka 27 anaweza pata numonia ndo bado nawaza hapa?
 
Minyoo
 
Je, unapolala unapata kuhisi Hali ya uchungu mdomoni? Unatumia mto wakati wakulala? Je unatumia zulia?
 
Unaweza kuwa allergy,, mf mafuta ya kula au vyakula vya Ina fulami
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…