Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari? Nina umri wa miaka 20, bado nasumbuliwa na tatizo la kukojoa kitandani,pia nakojoa mara kwa mara, naomba ushauri.
Yupo mkoa gani?, ana uzito gani? ana urefu gani?, naweza kuonana naye?
Ngoja aje dr BAK hapa ndo utakoma. Atasema ukaange nundu ya simba afu uile na supu ya kakakuona.
Tiba ziko nyingi ila me nakupa psychological healing ambayo ni very militant na inayoendana na sadism (ya kikatili)
Fanya hivi mfururizo kwa siku saba au majuma mawili. Kila anapotaka kulala mlazimishe akojoe kitandani anapolala, akojoe mwenyewe wala siyo kumwaga mkojo kitandani. Kisha alale kwenye hiyo mikojo hadi asubuhi (kumbuka kutomwonea huruma). Hii ni tiba kwani inaingia kwenye subconscious yake na kumjengea "maumivu yenye chuki".
Ukifanya hivyo nipe ripoti baadaye!
afadhali huyo wa miaka kumi mimi kuna mtoto wa ndugu yangu ana 18! Alikuja kutusaidia na hatukiingianchumbani kwake kwa siku 7 jumamos tulikuta chumba kimeoza ! Inasikitisha sana please wadau leteni tiba coz naona kabisa future ya yule binti inaharibika!ndugu wana jf naomba mnijuze dawa ya kuacha kukojoa kitandani kwa binti wa miaka 10. Kusema kweli imekuwa kero na aibu tafadhalini nisaidieni.