Bzimana
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 554
- 159
Mtembeze mitaani achekwe na watoto kwa ule wimbo wa kikojozi huku amevalishwa gunia. Ataacha.
Hakika nikimuona kamfanyia hivi namfungulia kesi ya kumzalilisha mtoto. Hii sio dawa wala adhabu! Hajapenda kukojoa, yawezekana karithi toka kwa mzazi mmojawapo!