FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Nina mdogo wangu ana miaka 6 sasa ila bado anakojoa kitandani kwa anayejua dawa tafadhali naomba anijuze
Mwache akojowe kwa raha zake, hakikisha unamvalisha diapers asichafue mashuka na godoro. Ataacha.