Tatizo la Kukojoa Kitandani kwa Watoto - Ushauri, Tiba na Namna ya Kukabiliana Nalo

Tatizo la Kukojoa Kitandani kwa Watoto - Ushauri, Tiba na Namna ya Kukabiliana Nalo

Mpe dawa inaitwa imipramine, ameze vidonge 2 kila usiku kabla ya kulala, na kupunguza kunywa vitu vya maji maji mida ya jioni.
Mkuu big up hii ndio dawa haswaa iliyonitibu hata mimi hilo tatizo la kukojoa kwa bed daah! ilkua noma sana askwambie mtu.
 
Mwambie akianza kuota tu mara akaona choo ndotoni ashituke tu maana ndo mtego wenyewe huo asee
 
Anywe mkojo wake wa asubuhi tatizo hilo litaisha.
 
Chukua zile ndevu za mahindi umchemshie anywe kwa uwezo wa ALLAH ataacha
I was to write the same, hii nimewashauri wengi sana na wanapona. Mtoa mada try to consider this peace of advice
 
Hyo anatakiwa mumpe tatizo la kisaikolojia la KUZOMEWA na watoto wenzake tena unawaandaa wanakuwa wengii mtaani litamuathiri atakuwa na hofu wakati wa kulala na atasoma udhaifu wake mimi uncle wangu amepona
Duh! Sisi wakati wadogo huku uswahilini ilikuwa mtoto akikojoa anabeba tandiko alilokojolea tunaanza kumpigia kundumbwe ndumbwe siku nyingine harudii.
 
Hiyo mbona kazi rahisi cha kufanya kama mnakaa pamoja mwambie asiwe anafunga chumba chake na kabla ya kwenda kulala mwambie awe anakojoa kwanza na wewe kila baada ya masaa 3 kamwamshe aende akakojoe baada ya majuma machache atakuwa amezoea na kuamka peke yake.
 
Jamani kuna dogo mvulana yuko form one ana miaka 15, ni mdogo wangu, ana shida ya kukojoa kitandani, tumejaribu sana hospitali lakini ni mzima kabisa, ila ndo hivyo dogo kwa wiki mara 2 au mara tatu anakojoa.

Naombeni mnishauri au mniambie dawa yake ni nini.
hilo tatizo alikuwa nalo rafiki yangu GESECO kipindi nasoma hapo. Ilifikia hatua akawa na msongo wa mawazo kiasi cha kutaka kujiua, kuna kipindi akawa anavaa kondom na kuifunga kwa uzi ili ikitokea ashtuke, hali hiyo ilimfanya hadi akaanza kupata madhara katika uume. Siku moja akiwa likizo bibi mmoja akampa dawa hii;

Tafuta mwamba/ jiwe natural liwe hata futi saba au nane kwenda juu (I mean ukifika milimani utaliona), mpeleke mdogo wako na apande juu kisha akojoe juu ya jiwe na kabla mkojo haujafika chini auwahi kwa kujirusha toka hapo kileleni. MAANA YAKE: Kila atakapokuwa anataka kukojoa itakuwa inamuinjia ndoto anajirusha na hivyo ataamka mwenyewe kwenda kukojoa.

USIPUUZIE NINA USHUHUDA NA HILI
 
Mtoto kukojoa kitandani ni ishara ya ulihari akiwa MTU mzima. Fuatilieni sana, huwezi kukojoa bila dudu kusmaamaa. Furahia urijali Wa mwanao na sio umfedheheshe!!
 
Jamani kuna dogo mvulana yuko form one ana miaka 15, ni mdogo wangu, ana shida ya kukojoa kitandani, tumejaribu sana hospitali lakini ni mzima kabisa, ila ndo hivyo dogo kwa wiki mara 2 au mara tatu anakojoa.

Naombeni mnishauri au mniambie dawa yake ni nini.
Mkuu...kukojowa kitandani hakuna dawa....ila unatakiwa ucheze na akili ya dogo...jaribu kumuuliza....iweje hadi anakojowa?lazima kuna sababu inayomfanya anakojowa...mm nimeacha kukojowa nipo form two...tena naota nacheza mpira..au nipo sehemu halafu natafuta kichaka nakojowa....nikimaliza nashtuka...baba alihangaika sana mwisho...akapata jamaa akamwambiya dawa hii...na ilisaidia hadi leo sikojowi tena.

USINYWE MAJI AU CHOCHOTE CHA KIMIMINIKA kama soda..juice..maji..ikifika jioni...na kuendelea....pia kabla ya kulala hakikisha amekojowa..na pia kila baada ya masaa 4 muamshe akojowe...akizoea hivyo..atapunguza...au hatojojowa tena...jihadhari na dawa za mitishamba.

.yupo jamaa yngu mmoja Alipata AIBU ya mwaka . .TENA UKWENI..jamaa nae alikuwa anakojowa kitandani..ni mtu na shughuli zake...alikuwa kamana 32 hivi kipindi hicho..alikuja kwangu....nikampa ushauri kama huu wa kutokunywa maji mengi jioni..akaniona sifai..akapata mganga akampa miti shamba imsaidie kuzuia kukojowa mitandani....kuna sehem alitoa posa.. Wakwe wakafiwa ikabidi aende japo kwa hofu kubwa ya kukojowa kitandani lakini ilibidi aende...kwa kuamini dawa za mganga...unajuwa mkuu kila mtu anapokojowa kitandani anakuwa na style yake..

Sasa huyu jamaa alikuwa anaota kama watu wamemteka vile halafu wanamlazimisha akojowe kwa nguvu...jamaa wanakuwa na mapanga na visu wamemuwekea shingoni.. Huku wakimlazimisha akojowe.. Basi jamaa akishakojowa tu...anashtuka..ndy mganga akampa dawa akamwambiya akilala aiweke chini ya mto..ataona kitakachotokea.........basi yule jamaa yng akaenda zake msibani..huko ukweni KIPARANG'ANDA..basi siku hiyo....... alikuwa mbishi sana kulala kwa kuhofia kukojowa ukweni.

.mara avute sigara mara katia story ma mashemeji..jamaa halali. Mwishowe akajikuta peke yake hajalala saa nane za usiku...ndy akaona afadhali apumzike kwa kuamini ile dawa ya mganga aliyopewa...akaiweka chini ya mto jamaa akapitiwa na usingizi...basi jamaa akaota wale watekaji wamemfata tena... kama kawaida yao...wakaanza kumtishia....KOJOWA...leo tunakuuwa kojowa..duu..jamaa akaikumbuka ile dawa aliyopewa na mganga chini ya mto....ndy kupeleka mkono..akashangaa ile HIZIRI aloyopewa imegeuka MASHINE GUN.

tena AK 47. .. '''wale watekaji kuona jamaa ana mashine GUN AK 47 ... wakaona wamekwisha....wakaanza kukimbia hovyo huku wakipiga mayowe ya kuomba msaada...na jamaa yangu nae akasema sikubali..akaanza kuwafukuza.wengine walikimbilia porini lakini...mmoja akaingia kwenye choo cha jirani akajificha..jamaa akasema leo mm sikuachi...akamfata chooni.... yule mtekaji akaingia ndani kabisa ya tundu la choo...cha shimo.

Basi yule jamaa yangu ..... kila akifanya jitihada amtoe..yule mtekaji..jamaa kagoma kutoka..ndy yule jamaa yangu KIKOJOZI akasema leo...NAKUNYEA KABISA...mshenzi wewe..umenisumbuwa sana SIKUACHI bure..akamnyea mavi karibu YOTE...basi jamaa akajiendea zake....asubuhi anaamka amejikuta kwnza amelala peke yeke pale msibani wengine wote washaamka..ni yeye tu ndy aliyokuwa hajaamka...kujikaguwa..duu ...EBWANA KAJINYEA mavi kama YOTE...duu jamaa akaona hii sasa ni kali ya mwaka...ikabidi akusanye MKEKA na yeye pamoja akajifunga kama shuka akakimbilia PORINI...na msibani hakurudi tena maana minong'ono ilikuwa imeshaanza..SASA MKUU...mambo ya kufata dawa ya mitishamba ACHANA NAYO.. nakuomba fata ushauri wngu...umnusuru kijana
 
Tafuta mzizi wa mbungo kama huko kwenu mibungo iko, umchemshie anywe kutwa mara 3 yaani asubuhi kabla ya kunywa chai, mchana na usiku akitaka lala. Kwa uwezo wa Allah tatizo litaondoka, In shaa Allah
 
Hyo anatakiwa mumpe tatizo la kisaikolojia la KUZOMEWA na watoto wenzake tena unawaandaa wanakuwa wengii mtaani litamuathiri atakuwa na hofu wakati wa kulala na atasoma udhaifu wake mimi uncle wangu amepona
Badala ya kumsaidia atamuongezea tatzo jingine la kutokujiamini.
 
Nikusaidie kidogo. Hata kama ni mtu mzima Fanya hivi:-- Akibanwa mkojo, mpandishe juu ya mti wenye matawi na asimeme akiwa ameshikilia matawi. Kisha afumbe macho, na aanze kukojoa mkojo. Anapoanza kukojoa ndio afumbue macho na aendelee kukojoa mpaka amalize, kisha ashuke toka mini.

Hii itamfanya ahisi kuanguka toka mtini kila atakapokua amebanwa mkojo akiwa usingizini.. Principal hii ni kwa wale wanaokojoa kitandani hasa watu wazima.

Jaribuni mtapona.
 
Hajapata demu bado huyo. Kuna dogo alikuwa anatisha home kwa mikojo. Alivyopata demu mpaka tumesahau jina la kikojozi!
 
Hii ni dawa tosha jaribu ndugu hii wengi imewasaidia. Hata kama ni mwanamke afanye hivyo na hakuna masharti, hii tiba ni ya kisaikolojia tu. Wanyamwezi hutibia njia hii.
 
Mkuu big up hii ndio dawa haswaa iliyonitibu hata mimi hilo tatizo la kukojoa kwa bed daah! ilkua noma sana askwambie mtu.
Kweli kabisa, tatizo hilo huwa linaondoa confidence yote. Hongera kwa kupona.
 
Back
Top Bottom