Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu usimuingize mwenzio kwenye umaskini, unazan kununua maji ya upako daily ni lelemama?Nenda kwa Mwamposa
Ngoja akusikieMkuu usimuingize mwenzio kwenye umaskini, unazan kununua maji ya upako daily ni lelemama?
Fanya hivi nenda msitu wowote ,tafuta vijana wakusaidie kutafuta nyoka aina yoyote ndefu saizi ya mkanda wa mwanaume ipigeni mpaka ife, hapa nivizuri mkatumia fimbo kuepusha kuitoboa toboa.Nina bint wa miaka 9 ila ana tatizo la kukojoa kitandani, yaani anaweza kukojoa hata mara mbili kwa usiku mmoja. Pia hata mchana akilala anaweza akakojoa pia.
Msaada please.
Ukimuua Kwa mshtuko je?Fanya hivi nenda msitu wowote ,tafuta vijana wakusaidie kutafuta nyoka aina yoyote ndefu saizi ya mkanda wa mwanaume ipigeni mpaka ife, hapa nivizuri mkatumia fimbo kuepusha kuitoboa toboa.
Ukimaliza chukua ondoka nayo subiri hadi usiku muda wa kulala. Huyo dogo akisha lala kama masaa mawili usingizi umemkolea chukua ile nyoka mfunge kiunoni halafu wewe nenda kalale.
Yeye muda ukifika kama kawaida yake atakojoa baada ya muda atashituka ili kutafuta sehemu nzuri tofauti na ile aliyokwisha kojolea hapo lazima ata notice kuwa anakitu kiunoni atatafuta jinsi ta kukitoa pengine atawasha taa kabisa.
Akigundua ni nyoka iko katika kiuno chake atapata mshituko kwenye akili yake ambao hatoweza tena kojoa kitandani muda utakuwa ukifika anashituka mwenyewe anaenda kukojoa.
Lakini pia unaweza kwenda hospital wakamfanyia uchunguzi kama mirija yake haija pwaya maana hiyo njia hapo juu inafanya kazi kwa mtu ambaye physically hana tatizo lolote kiafya japo ni uvivu wa ndoto na kujisahau tu.
Psychological tourture inaweza mharibu maisha yote akawa mtu inferior na matatizo mengine makubwa kiakiliFanya hivi nenda msitu wowote ,tafuta vijana wakusaidie kutafuta nyoka aina yoyote ndefu saizi ya mkanda wa mwanaume ipigeni mpaka ife, hapa nivizuri mkatumia fimbo kuepusha kuitoboa toboa.
Ukimaliza chukua ondoka nayo subiri hadi usiku muda wa kulala. Huyo dogo akisha lala kama masaa mawili usingizi umemkolea chukua ile nyoka mfunge kiunoni halafu wewe nenda kalale.
Yeye muda ukifika kama kawaida yake atakojoa baada ya muda atashituka ili kutafuta sehemu nzuri tofauti na ile aliyokwisha kojolea hapo lazima ata notice kuwa anakitu kiunoni atatafuta jinsi ta kukitoa pengine atawasha taa kabisa.
Akigundua ni nyoka iko katika kiuno chake atapata mshituko kwenye akili yake ambao hatoweza tena kojoa kitandani muda utakuwa ukifika anashituka mwenyewe anaenda kukojoa.
Lakini pia unaweza kwenda hospital wakamfanyia uchunguzi kama mirija yake haija pwaya maana hiyo njia hapo juu inafanya kazi kwa mtu ambaye physically hana tatizo lolote kiafya japo ni uvivu wa ndoto na kujisahau tu.
Mlazimishe kwenda chooni usiku awe hana mkojo au hana mkojo. Fanya hata mara 2 kwa usiku mmoja.Nina bint wa miaka 9 ila ana tatizo la kukojoa kitandani, yaani anaweza kukojoa hata mara mbili kwa usiku mmoja. Pia hata mchana akilala anaweza akakojoa pia.
Msaada please.
Hawezi hata kuzimia. Zaidi ya kupiga makeleleUkimuua Kwa mshtuko je?
Pampers ndo dawa achana na waganga wa kienyeji labda psychologist au wa watotoNina bint wa miaka 9 ila ana tatizo la kukojoa kitandani, yaani anaweza kukojoa hata mara mbili kwa usiku mmoja. Pia hata mchana akilala anaweza akakojoa pia.
Msaada please.
Ongea naye anaweza kuwa na sababu ya kuwa hivyo.pampers ndo dawa achana na waganga wa kienyeji labda psychologist au wa watoto
Hii imekaa kisaikolojia zaidi inaweza ikatatua tatizo, lakini inaweza pia ikaacha tatizo kubwa kwa mtoto.Fanya hivi nenda msitu wowote ,tafuta vijana wakusaidie kutafuta nyoka aina yoyote ndefu saizi ya mkanda wa mwanaume ipigeni mpaka ife, hapa nivizuri mkatumia fimbo kuepusha kuitoboa toboa.
Ukimaliza chukua ondoka nayo subiri hadi usiku muda wa kulala. Huyo dogo akisha lala kama masaa mawili usingizi umemkolea chukua ile nyoka mfunge kiunoni halafu wewe nenda kalale.
Yeye muda ukifika kama kawaida yake atakojoa baada ya muda atashituka ili kutafuta sehemu nzuri tofauti na ile aliyokwisha kojolea hapo lazima ata notice kuwa anakitu kiunoni atatafuta jinsi ta kukitoa pengine atawasha taa kabisa.
Akigundua ni nyoka iko katika kiuno chake atapata mshituko kwenye akili yake ambao hatoweza tena kojoa kitandani muda utakuwa ukifika anashituka mwenyewe anaenda kukojoa.
Lakini pia unaweza kwenda hospital wakamfanyia uchunguzi kama mirija yake haija pwaya maana hiyo njia hapo juu inafanya kazi kwa mtu ambaye physically hana tatizo lolote kiafya japo ni uvivu wa ndoto na kujisahau tu.
Ndio inaweza sababisha. Lakini kwa hiyo njia hapo juu ni kawaida sana haina kitu cha ajaab sana cha kumletea matatizo.psychological tourture inaweza mharibu maisha yote akawa mtu inferior na matatizo mengine makubwa kiakili
Fanya hivi nenda msitu wowote ,tafuta vijana wakusaidie kutafuta nyoka aina yoyote ndefu saizi ya mkanda wa mwanaume ipigeni mpaka ife, hapa nivizuri mkatumia fimbo kuepusha kuitoboa toboa.
Ukimaliza chukua ondoka nayo subiri hadi usiku muda wa kulala. Huyo dogo akisha lala kama masaa mawili usingizi umemkolea chukua ile nyoka mfunge kiunoni halafu wewe nenda kalale.
Yeye muda ukifika kama kawaida yake atakojoa baada ya muda atashituka ili kutafuta sehemu nzuri tofauti na ile aliyokwisha kojolea hapo lazima ata notice kuwa anakitu kiunoni atatafuta jinsi ta kukitoa pengine atawasha taa kabisa.
Akigundua ni nyoka iko katika kiuno chake atapata mshituko kwenye akili yake ambao hatoweza tena kojoa kitandani muda utakuwa ukifika anashituka mwenyewe anaenda kukojoa.
Lakini pia unaweza kwenda hospital wakamfanyia uchunguzi kama mirija yake haija pwaya maana hiyo njia hapo juu inafanya kazi kwa mtu ambaye physically hana tatizo lolote kiafya japo ni uvivu wa ndoto na kujisahau tu.
Call Dr Mshana 0715 503757Nina bint wa miaka 9 ila ana tatizo la kukojoa kitandani, yaani anaweza kukojoa hata mara mbili kwa usiku mmoja. Pia hata mchana akilala anaweza akakojoa pia.
Msaada please.
Nina mdogo wangu alikuwa na tatizo hilo ilitumika suluhisho kama hilo ila waafrica tunawaza kutatua tatizo leo tu, kitaalamu sio huwa ubongo unashindwa kutoa comand, lazima uelewe kwa miaka 9 tayari huyu mtoto wetu ameanza kudhalilika ni jambo ambalo ni la kibaolojia kuliko kisaikolojia, huyu kama sio magonjwa nlotaja basi kikawaidi (80%) huwa ni kuchelewa kukomaaa kwa nerves na dawa za kusaidia ukomavu dawa zipo, ndo maana hakuna mtoto wa 1 year asie kikojozi, haya ya kumlaza mtoto na nyoka ni masuruhisho ya kale, zamani walikuwa wanamwambia mama mjamzito asile mayai atazaa mtoto anakipara maskini wajawazito wakawa wanaogopa mayai na kisaikolojia ilipelekea jamii nyingi kudhani wanawake hawapendi mayai na kuwaletea watoto maziwa yasiyo na lishe unazalisha vijana wa hovyo mtaaani kwani mayai yana kemikali inaitwa omega 3 hii huongeza uwezo wa mtoto kufikiri iwapo mzazi atayala kwa wingi,kisasa unamwambia ukweli kuwa kula mayai ila si vyema kuwa na uzito kupitiliza ,atajuaje mwambie ahudhulie klinik.Ndio inaweza sababisha. Lakini kwa hiyo njia hapo juu ni kawaida sana haina kitu cha ajaab sana cha kumletea matatizo.
Lakini pia Vikojozi wengi huwa wanashida kwenye Ubongo yaani Mwili unajifanyaia maamuzi bila ya Ubongo kuruhusu au kutoa taarifa sasa usipo tibu tatizo kwa namna ya psychological utakuwa unatwanga maji kwenye kinu. Hiyo njia hapo juu inanfanya kikojozi kuwa active ule muda ambao anataka kukojoa so either aamke aende toilet au akojoe huku akijua kabisa nini anafanya.