Tatizo la Kukojoa Kitandani kwa Watoto - Ushauri, Tiba na Namna ya Kukabiliana Nalo

Tatizo la Kukojoa Kitandani kwa Watoto - Ushauri, Tiba na Namna ya Kukabiliana Nalo

Mkuu pole sana,

Kwanza nikupongeze kwa kulivalia njuga swala la binti yako umeliwahi, ukiliacha likaenda ukubwani laweza mletea fedheha kubwa kwenye mahusiano na ndoa yake swala hili linatatulika kwa njia mbili.

1. Kidaktari

Kaka nenda hospitali kubwa kutana na daktari bingwa wa masuala ya kibofu ,sisemi dawa za kienyeji hazisaidii ila mara nyingi ni kubahatisha kuua kindege juu ya screen ya tv waweza ua kindege ukapasua tv ,sababu za hali hiyo ni nyingi

-Aweza kuwa ana kisukali cha kuzaliwa (usiogope 80% hutibika)
-Matumizi ya kupitiliza ya carboneted drinks (soda, sparkling waters etc)
-etc

UGONJWA HUU UNATIBIKA KABISA

2. Kiroho


Huu ni moja ya ugonjwa pendwa na walozi au roho chafu kama wewe ni mkristo usimpeleke kwa wauza mafuta ya upako au sijui maji ya uzima, peleka kwenye makanisa yasiyo binafsi kama mlokole peleka TAG kwenye maombi usisahau kutoa na sadaka kumsihi mungu akuhurumie, kama wewe ni Muislamu usiende kwa hawa wanaojitangaza mara wanamajini,mara nyota huo sio uislamu nenda msikiti unaosali kaongee na imamu atakupa dua stahiki ziombe huku ukifunga, wa dini za asili usisafiri mbali nenda kaone wazee kijijini kwenu.

NB: Wasio wakristo au waislamu wafuate viongozi wao husika sio hawa matapeli wa mitandaoni

Karibu
 
Nina bint wa miaka 9 ila ana tatizo la kukojoa kitandani, yaani anaweza kukojoa hata mara mbili kwa usiku mmoja. Pia hata mchana akilala anaweza akakojoa pia.

Msaada please.
Fanya hivi nenda msitu wowote ,tafuta vijana wakusaidie kutafuta nyoka aina yoyote ndefu saizi ya mkanda wa mwanaume ipigeni mpaka ife, hapa nivizuri mkatumia fimbo kuepusha kuitoboa toboa.

Ukimaliza chukua ondoka nayo subiri hadi usiku muda wa kulala. Huyo dogo akisha lala kama masaa mawili usingizi umemkolea chukua ile nyoka mfunge kiunoni halafu wewe nenda kalale.

Yeye muda ukifika kama kawaida yake atakojoa baada ya muda atashituka ili kutafuta sehemu nzuri tofauti na ile aliyokwisha kojolea hapo lazima ata notice kuwa anakitu kiunoni atatafuta jinsi ta kukitoa pengine atawasha taa kabisa.
Akigundua ni nyoka iko katika kiuno chake atapata mshituko kwenye akili yake ambao hatoweza tena kojoa kitandani muda utakuwa ukifika anashituka mwenyewe anaenda kukojoa.

Lakini pia unaweza kwenda hospital wakamfanyia uchunguzi kama mirija yake haija pwaya maana hiyo njia hapo juu inafanya kazi kwa mtu ambaye physically hana tatizo lolote kiafya japo ni uvivu wa ndoto na kujisahau tu.
 
Fanya hivi nenda msitu wowote ,tafuta vijana wakusaidie kutafuta nyoka aina yoyote ndefu saizi ya mkanda wa mwanaume ipigeni mpaka ife, hapa nivizuri mkatumia fimbo kuepusha kuitoboa toboa.

Ukimaliza chukua ondoka nayo subiri hadi usiku muda wa kulala. Huyo dogo akisha lala kama masaa mawili usingizi umemkolea chukua ile nyoka mfunge kiunoni halafu wewe nenda kalale.

Yeye muda ukifika kama kawaida yake atakojoa baada ya muda atashituka ili kutafuta sehemu nzuri tofauti na ile aliyokwisha kojolea hapo lazima ata notice kuwa anakitu kiunoni atatafuta jinsi ta kukitoa pengine atawasha taa kabisa.
Akigundua ni nyoka iko katika kiuno chake atapata mshituko kwenye akili yake ambao hatoweza tena kojoa kitandani muda utakuwa ukifika anashituka mwenyewe anaenda kukojoa.

Lakini pia unaweza kwenda hospital wakamfanyia uchunguzi kama mirija yake haija pwaya maana hiyo njia hapo juu inafanya kazi kwa mtu ambaye physically hana tatizo lolote kiafya japo ni uvivu wa ndoto na kujisahau tu.
Ukimuua Kwa mshtuko je?
 
Fanya hivi nenda msitu wowote ,tafuta vijana wakusaidie kutafuta nyoka aina yoyote ndefu saizi ya mkanda wa mwanaume ipigeni mpaka ife, hapa nivizuri mkatumia fimbo kuepusha kuitoboa toboa.

Ukimaliza chukua ondoka nayo subiri hadi usiku muda wa kulala. Huyo dogo akisha lala kama masaa mawili usingizi umemkolea chukua ile nyoka mfunge kiunoni halafu wewe nenda kalale.

Yeye muda ukifika kama kawaida yake atakojoa baada ya muda atashituka ili kutafuta sehemu nzuri tofauti na ile aliyokwisha kojolea hapo lazima ata notice kuwa anakitu kiunoni atatafuta jinsi ta kukitoa pengine atawasha taa kabisa.
Akigundua ni nyoka iko katika kiuno chake atapata mshituko kwenye akili yake ambao hatoweza tena kojoa kitandani muda utakuwa ukifika anashituka mwenyewe anaenda kukojoa.

Lakini pia unaweza kwenda hospital wakamfanyia uchunguzi kama mirija yake haija pwaya maana hiyo njia hapo juu inafanya kazi kwa mtu ambaye physically hana tatizo lolote kiafya japo ni uvivu wa ndoto na kujisahau tu.
Psychological tourture inaweza mharibu maisha yote akawa mtu inferior na matatizo mengine makubwa kiakili
 
Nina bint wa miaka 9 ila ana tatizo la kukojoa kitandani, yaani anaweza kukojoa hata mara mbili kwa usiku mmoja. Pia hata mchana akilala anaweza akakojoa pia.

Msaada please.
Mlazimishe kwenda chooni usiku awe hana mkojo au hana mkojo. Fanya hata mara 2 kwa usiku mmoja.
 
Nina bint wa miaka 9 ila ana tatizo la kukojoa kitandani, yaani anaweza kukojoa hata mara mbili kwa usiku mmoja. Pia hata mchana akilala anaweza akakojoa pia.

Msaada please.
Pampers ndo dawa achana na waganga wa kienyeji labda psychologist au wa watoto
 
Fanya hivi nenda msitu wowote ,tafuta vijana wakusaidie kutafuta nyoka aina yoyote ndefu saizi ya mkanda wa mwanaume ipigeni mpaka ife, hapa nivizuri mkatumia fimbo kuepusha kuitoboa toboa.

Ukimaliza chukua ondoka nayo subiri hadi usiku muda wa kulala. Huyo dogo akisha lala kama masaa mawili usingizi umemkolea chukua ile nyoka mfunge kiunoni halafu wewe nenda kalale.

Yeye muda ukifika kama kawaida yake atakojoa baada ya muda atashituka ili kutafuta sehemu nzuri tofauti na ile aliyokwisha kojolea hapo lazima ata notice kuwa anakitu kiunoni atatafuta jinsi ta kukitoa pengine atawasha taa kabisa.
Akigundua ni nyoka iko katika kiuno chake atapata mshituko kwenye akili yake ambao hatoweza tena kojoa kitandani muda utakuwa ukifika anashituka mwenyewe anaenda kukojoa.

Lakini pia unaweza kwenda hospital wakamfanyia uchunguzi kama mirija yake haija pwaya maana hiyo njia hapo juu inafanya kazi kwa mtu ambaye physically hana tatizo lolote kiafya japo ni uvivu wa ndoto na kujisahau tu.
Hii imekaa kisaikolojia zaidi inaweza ikatatua tatizo, lakini inaweza pia ikaacha tatizo kubwa kwa mtoto.
 
psychological tourture inaweza mharibu maisha yote akawa mtu inferior na matatizo mengine makubwa kiakili
Ndio inaweza sababisha. Lakini kwa hiyo njia hapo juu ni kawaida sana haina kitu cha ajaab sana cha kumletea matatizo.
Lakini pia Vikojozi wengi huwa wanashida kwenye Ubongo yaani Mwili unajifanyaia maamuzi bila ya Ubongo kuruhusu au kutoa taarifa sasa usipo tibu tatizo kwa namna ya psychological utakuwa unatwanga maji kwenye kinu. Hiyo njia hapo juu inanfanya kikojozi kuwa active ule muda ambao anataka kukojoa so either aamke aende toilet au akojoe huku akijua kabisa nini anafanya.
 
Hiyo issue simple sana,

Cha kwanza ikifika saa mbili asinywe maji. Kwa siku ukimuuliza anakwenda uwani mara ngapi? Aiwezi kuzidi mara tatu. Sasa hapo lazima usiku akojoe tu.

Kwa hiyo anatakiwa aende uwani kukojoa zaidi ya mara 6 hata kama

Hata kama ajabanwa na mkojo, kama ataweza zaidi ya mara sita sawa ila isipungue hapo.

Kama mchana atakuwa amekojoa mara zote hivyo,possibility ya kukojoa usiku ni ndogo sana na badala ya kufanya hivyo usiku lazima atAshituka .

Afanye hivyo kwa muda wa mwezi mmoja tu , atazoe akibanwa na mkojo tu lazima atashtuka atakama iwe mchana.

Akili tunakuwa tumeshAibadilisha taratibu. Hapo kinachotokea akibanwa na mkojo akili aimuamshi kama sisi wengine ukihisi tu mkojo lazima ushtuke unaenda uwahi.

Yeye akili yake au ubongo wake aufanyi hivyo.

Ukiweza kuibadilisha akili yake au ubongo wake anaweza tu kunywa maji muda wowote tu maana akili tumesha ibadilisha inakuwa imesha zoea,ikibanwa tu na mkojo lazima ashtuke.
 
Kukojoa kusikieni jamani tulikuwa tunakaa na jamaa above 18 hostel alikuwa anakojo kila siku yaan haipiti siku hata moja

Yeye wakati wengine tunaamka kwenda kupiga msuli asubuhi inabidi yeye awahi ziwani kwenda kufua mashuka kila siku jamaa alikuwa inferior sana yani sana alikuwa hawezi kugombana na mtu maana alikuwa anajua weakness yake ilipo.

Kuna kipindi alikuwa ana gombania msichana na jamaa sasa demu akamuelewa mshikaj ,opponent wake baada ya kuona hivyo akaenda kumwamba demu eti unaringa na huku unadate na kikojoz demu akamtema jamaa siku ile ile.

Nakumbuka baada ya mikojo kuzidi tukapanga tununue viroba tunywe sisi marafiki zake tumwabie ukweli maana kwa aibu ile hakuna aliyekuwa na kifua cha kumwabia, wengine wakaamua kuwa ikifika saa 7 mtu ajitolee kumshitua.

Kuna siku ya kufunga ikafika watu tukawa kila mti anatoa godoro anaamisha kukusanya kwenye chumba maalumu lakini yeye akagoma hatoi bado ataendelea kuwepo kufika usiku akapaki vitu vyake akasepa akaacha godoro sasa ile mwalimu kupita akasema mbona huyu jamaa kaaga kumbe hajarudisha godoro ebu chukua ulilete huku daa kulinyanyua mkojo uliokuwepo sio wa dunia hii mpaka mwalimu akashanga.

Chini kwenye chaga alikuwa ametafuta karatasi ngumu za nailoni kubwa ameweka yaani zimejaa mkojo kama lita tano lakini mkojo umetuama tu haupiti chini.
 
Nyoka akizinduka auwe mtoto wetu hamna dawa hapo kweñda zako
Fanya hivi nenda msitu wowote ,tafuta vijana wakusaidie kutafuta nyoka aina yoyote ndefu saizi ya mkanda wa mwanaume ipigeni mpaka ife, hapa nivizuri mkatumia fimbo kuepusha kuitoboa toboa.

Ukimaliza chukua ondoka nayo subiri hadi usiku muda wa kulala. Huyo dogo akisha lala kama masaa mawili usingizi umemkolea chukua ile nyoka mfunge kiunoni halafu wewe nenda kalale.

Yeye muda ukifika kama kawaida yake atakojoa baada ya muda atashituka ili kutafuta sehemu nzuri tofauti na ile aliyokwisha kojolea hapo lazima ata notice kuwa anakitu kiunoni atatafuta jinsi ta kukitoa pengine atawasha taa kabisa.
Akigundua ni nyoka iko katika kiuno chake atapata mshituko kwenye akili yake ambao hatoweza tena kojoa kitandani muda utakuwa ukifika anashituka mwenyewe anaenda kukojoa.

Lakini pia unaweza kwenda hospital wakamfanyia uchunguzi kama mirija yake haija pwaya maana hiyo njia hapo juu inafanya kazi kwa mtu ambaye physically hana tatizo lolote kiafya japo ni uvivu wa ndoto na kujisahau tu.
 
Nina bint wa miaka 9 ila ana tatizo la kukojoa kitandani, yaani anaweza kukojoa hata mara mbili kwa usiku mmoja. Pia hata mchana akilala anaweza akakojoa pia.

Msaada please.
Call Dr Mshana 0715 503757
Amenitibia wagonjwa wengi niliowasaidia dawa zake
 
Ndio inaweza sababisha. Lakini kwa hiyo njia hapo juu ni kawaida sana haina kitu cha ajaab sana cha kumletea matatizo.
Lakini pia Vikojozi wengi huwa wanashida kwenye Ubongo yaani Mwili unajifanyaia maamuzi bila ya Ubongo kuruhusu au kutoa taarifa sasa usipo tibu tatizo kwa namna ya psychological utakuwa unatwanga maji kwenye kinu. Hiyo njia hapo juu inanfanya kikojozi kuwa active ule muda ambao anataka kukojoa so either aamke aende toilet au akojoe huku akijua kabisa nini anafanya.
Nina mdogo wangu alikuwa na tatizo hilo ilitumika suluhisho kama hilo ila waafrica tunawaza kutatua tatizo leo tu, kitaalamu sio huwa ubongo unashindwa kutoa comand, lazima uelewe kwa miaka 9 tayari huyu mtoto wetu ameanza kudhalilika ni jambo ambalo ni la kibaolojia kuliko kisaikolojia, huyu kama sio magonjwa nlotaja basi kikawaidi (80%) huwa ni kuchelewa kukomaaa kwa nerves na dawa za kusaidia ukomavu dawa zipo, ndo maana hakuna mtoto wa 1 year asie kikojozi, haya ya kumlaza mtoto na nyoka ni masuruhisho ya kale, zamani walikuwa wanamwambia mama mjamzito asile mayai atazaa mtoto anakipara maskini wajawazito wakawa wanaogopa mayai na kisaikolojia ilipelekea jamii nyingi kudhani wanawake hawapendi mayai na kuwaletea watoto maziwa yasiyo na lishe unazalisha vijana wa hovyo mtaaani kwani mayai yana kemikali inaitwa omega 3 hii huongeza uwezo wa mtoto kufikiri iwapo mzazi atayala kwa wingi,kisasa unamwambia ukweli kuwa kula mayai ila si vyema kuwa na uzito kupitiliza ,atajuaje mwambie ahudhulie klinik.

Natumaini we pia mzazi ,mimi baba yangu alikuwa akitaka tuwahi mahala kama tunapaswa kufika saa 3 basi atatudanganya wanae muda ni saa 2 ,matokeo yake tunafika saa 2 hatujalala vizuri tunajihisi vibaya wenzetu wanakuja saa 2:40 ,hii kwanza ikapelekea tupoteze imani na mzee kwa kuthibitisha ni muongo,sasa akituambia muda ni saa 4 sisi tukawa tunaenda saa 5 maskini kumbe siku hiyo hajadanganya tunaishia kuadhibiwa ,mkuu skuizi hatulei watoto kwa mbinu tunashirikiana nao kwa hoja ,hii itajenga kizazi kidadisi sio cha ndio mzee.
 
Back
Top Bottom