Tatizo la Kukojoa Kitandani kwa Watoto - Ushauri, Tiba na Namna ya Kukabiliana Nalo

Tatizo la Kukojoa Kitandani kwa Watoto - Ushauri, Tiba na Namna ya Kukabiliana Nalo

Pole shosti, usikate tamaa hakuna lisilo wezekana chini ya jua muone doctor na utafanikiwa kuna watu watatizo kubwa kuliko lako na wamepona,vuta subra utapona.
 
Halafu kwenye ile movie ya mrembo kikojozi alisema tatizo linatibika. Ngoja tumuulize anti Ezekiel aokoe jahazi.
 
Habarini za jioni, kwa mara ya kwanza najitokeza hapa kuomba ushauri.

Nina miaka 31, nina mtoto mmoja na sijaolewa. Kitu kinachoninyima raha ni kukojoa kitandani, cna mtu wa kumwambia maana ni aibu kubwa sana. Japo nina kazi ya kuniwezesha kuishi mjini, sometimes naona sina thamani yoyote. Kuna movie moja ya kibongo inaitwa mrembo kikijozi, sijawahi iangalia maana inaniumiza mara elfu moja zaidi sababu kama haijakupata hutaelewa inaumiza kiasi gani. Mwanangua aliacha kukojoa kitandani tangu ana miaka minne basi huwa namtamani. Hivi naweza tibiwa wapi, nimechoka huu mzigo

Badilisha jina la I.D yako, maana utakuwa huelewi. POLE SANA,KUMBUKA MFICHA UCHI HAZAI,VUNJA UKIMYA KAMUONE DOCTOR
 
Jaribisha na dawa za Masai, lakini hao wa mjini wengi waongo ukipata masai orijino wana dawa nzuri sana kwa magonjwa ya anina hiyo, kuna watu nawafahamu zimewasaidia wamepona.
 
Bichwamaji,

Kuna mdogo wangu alikuwa ana tabia kama yako mpaka akawa hata chuoni halali bali analala nyumbani. Tulimfanyia dawa zifuatazo zikamsaidia:-

a. Kwanza tulimshauri asiwe anakunywa maji kwa wingi usiku.

b. Alishauriwa awe anajaribu kupima diebatic thank god alikuwa hana ila nakushauri na wewe nenda kamuone daktari upime kwani kwenda chooni kila mara ni dalili za kisukari.

c. Jaribu kumtafuta bwana moja zanzibar anaitwa bwana madawa yuko Zanzibar market anauza dawa za mitishamba kuna dawa moja nzuri sana itakusaidia kuacha kukojoa. Yuko zanzibar market sehemu moja nyuma ya zanzibar market vimtaa vya ndani kwa ndani sikumbuki jina lake vizuri nikilikumbuka nitakuja kukuambia. (This should be a last resort).

d. Vile vile inaweza kuwa woga na wasiwasi na kwahiyo unavyoenda kulala unakuwa mishipa na mwili unakuwa umerelax. Jaribu kuwa unalala kama alivyosema mchangiaji moja kuwa uwe unajiamsha kila mara inasaidia.

e. Kuna tiba nyengine Waislamu tunayo hasa kutoka wanazuoni wetu kuwa ndoto unazoziota unaweza kutambua kuwa kama wakati huu unataka kwenda chooni mfano katika ndoto ukiona unataka kwenda kujisaidia basi amka haraka sana uende chooni. Vile vile ndoto kama vile unataka kwenda kuogolea na mkojo umekubana amka haraka uende kukojoa. Pia ndoto za kukimbizwa na kitu jitahidi uamke kwani mkojo unakuwa umebana hapo.

Hivyo ndoto za kujiona umebanwa na mkojo na kujisaidia hata kama unaona ni kweli hiyo ndoto jiamshe nenda chooni. Ndoto za kuogelea au kufanya mapenzi na mwenza pia zinaweza kuwa ni dalili ya kukaribia mkojo jiamshe. Ndoto za kukimbizwa zinakufanya utokwe na jasho na dehydration na kupelekea kutaka kukojoa amka haraka uende chooni.

I hope zitakusaidia.
 
Bichwamaji,

Kuna mdogo wangu alikuwa ana tabia kama yako mpaka akawa hata chuoni halali bali analala nyumbani. Tulimfanyia dawa zifuatazo zikamsaidia:-
a. Kwanza tulimshauri asiwe anakunywa maji kwa wingi usiku.
b. Alishauriwa awe anajaribu kupima diebatic thank god alikuwa hana ila nakushauri na wewe nenda kamuone daktari upime kwani kwenda chooni kila mara ni dalili za kisukari.
c. Jaribu kumtafuta bwana moja zanzibar anaitwa bwana madawa yuko zanzibar market anauza dawa za mitishamba kuna dawa moja nzuri sana itakusaidia kuacha kukojoa. Yuko zanzibar market sehemu moja nyuma ya zanzibar market vimtaa vya ndani kwa ndani sikumbuki jina lake vizuri nikilikumbuka nitakuja kukuambia. (This should be a last resort).
d. Vile vile inaweza kuwa woga na wasiwasi na kwahiyo unavyoenda kulala unakuwa mishipa na mwili unakuwa umerelax. Jaribu kuwa unalala kama alivyosema mchangiaji moja kuwa uwe unajiamsha kila mara inasaidia.
e. Kuna tiba nyengine waislamu tunayo hasa kutoka wanazuoni wetu kuwa ndoto unazoziota unaweza kutambua kuwa kama wakati huu unataka kwenda chooni mfano katika ndoto ukiona unataka kwenda kujisaidia basi amka haraka sana uende chooni. Vile vile ndoto kama vile unataka kwenda kuogolea na mkojo umekubana amka haraka uende kukojoa. Pia ndoto za kukimbizwa na kitu jitahidi uamke kwani mkojo unakuwa umebana hapo.
Hivyo ndoto za kujiona umebanwa na mkojo na kujisaidia hata kama unaona ni kweli hiyo ndoto jiamshe nenda chooni. Ndoto za kuogelea au kufanya mapenzi na mwenza pia zinaweza kuwa ni dalili ya kukaribia mkojo jiamshe. Ndoto za kukimbizwa zinakufanya utokwe na jasho na dehydration na kupelekea kutaka kukojoa amka haraka uende chooni.

I hope zitakusaidia.
Mkuu,kwa niba ya mtoa mada nakushukuru sana tena sana.
wabillah tawfiq
 
Pole! Ni kweli inauma ila linapokuja suala la tiba jaribu kupunguza aibu mpendwa. Nenda kamuone daktari atakusaidia!
 
Hujatueleza kama tatizo limekuanza baada ya kuzaa au kabla? Nenda hosp dada madaktari wana duty of secrecy usiogope kuwa mwazi uwe huru. Nenda hosp. Mimi nimehisi labda ulipata tatizo wkt unajifungua i think the best hosp nenda CCBRT.
 
Asante, will try. Nilihitaji watu wa kuniondolea fear hii ili niweze hata kumweleza dokta. Maana ni aibu jamani. Uwe na gari, nyumba, hela kuna wakati unatamani kuwa hata mwanamke anayepika kambi ya fisi lakini uwe a complete woman
You ARE a complete woman dear, toa kabisa mafikiri ya kua less than any other woman. Hujui wengine wana matatizo gani na wenyewe.

Kweli ni jambo la kusikitisha ila sio kosa lako kabisa.

Pamoja na yote ulioshahuriwa ningekuomba ujaribu pia kufanya mazoezi ya misuli ya ndani ya uke wako. Ukienda haja ndogo jaribu kubana na kuachia misuli in a way that haja inatoka-inakatika-inatoka-inakatika.... Ukisha zitambua hizo misuli ziko wapi na namna ya kuzibana na kuachia uwe unafanya hili zoezi mara kwa mara, hata ukiwa offisini, kwenye foleni, ukikaa tu kwenye sofa au kitandani. kila unapoweza kufanya zoezi fanya tu.

Misuli itapata nguvu, itaongeza volume na itakua kama valve, hazita weza kufunguka kirahisi bila wewe kuachia. Itachukua muda kabla uone mafaanikio ila utakapo pata control ya misuli ya ndani (aprox 4 month of INTENSE workout or 6 month of ordinar) itakusaidia sana katika tatizo hili na mengine mengi tu.

Ukitaka kujua zaidi unaweza ni PM pia.
 
Mdondoaji. Bichwamaji (na wengine wataohitaji msaada wa dawa za miti shamba)

Jina la duka la dawa za Mitishamba Zanzibar ni kwa "Saleh Madawa"

Bichwamaji

Kukojoa kitandani wakati mwengine kunasababishwa na tatizo la kisaikolojia na si lazima iwe abuse utotoni na mara nyingi wewe mwenyewe unaweza usijue tatizo hasa ni nini bila ya kumuona mtaalamu.

Nenda kwa mtaalamu usijiskie vibaya kwani hili ni tatizo Kama tatizo jengine lolote tu na watu wenye tatizo Hilo ni wengi tu mbona.

Btw niliona wakitangazia dawa za kuzuwia kukojoa sana kwa wanawake waliowahi kujifungua. Kama tatizo limeongezeka baada ya kupata mtoto unaweza kuanzia kwa daktari Wa akina mama na watoto kwanza
 
Asanteni sana kwa ushauri wenu, naskia mzigo umepungua mabegani mwangu kwa kiasi fulani. Thanks a lot!
 
Pole sana Mama, utapona tu, kweli kabisa hiyo CD ya MREMBO KIKOJOZI inasikitisha sana hasa kwa mhusika, ila hondoa shaka manake hapa ulipouliza ndio penyewe kwa ushauri.
 
Dah! Pole sana sipati picha inakuumiza kiasi gani. Fuatilia ushauri ulopewa cz mi mwenyewe kuna bro angu mmoja alikuwa na hilo tatizo tangu mdogo hadi anamaliza kidato cha nne bs home walimuangaikia sana baadae tatizo likaisha, ila sijui walitumia njia gani lakini mama alikua wanazunguka nae sana.
 
Pole sana mwaya,naami kila ugonjwa una dawa yake,fata ushauri wa wadu hapo naamin utapona, usisahau na kumwomba mungu pia.
 
Mkuu, wa niba ya mtoa mada nakushukuru sana tena sana.
wabillah tawfiq

Vipi ile staili yako ya kuchomeka kikojoleo chako kwenye pipe afu pipe unaielekeza kwenye beseni chini ya kitanda ilikusaidia?
 
Mdondoaji. Bichwamaji (na wengine wataohitaji msaada wa dawa za miti shamba)

Jina la duka la dawa za Mitishamba Zanzibar ni kwa "Saleh Madawa"

Bichwamaji

Kukojoa kitandani wakati mwengine kunasababishwa na tatizo la kisaikolojia na si lazima iwe abuse utotoni na mara nyingi wewe mwenyewe unaweza usijue tatizo hasa ni nini bila ya kumuona mtaalamu.

Nenda kwa mtaalamu usijiskie vibaya kwani hili ni tatizo Kama tatizo jengine lolote tu na watu wenye tatizo Hilo ni wengi tu mbona.

Btw niliona wakitangazia dawa za kuzuwia kukojoa sana kwa wanawake waliowahi kujifungua. Kama tatizo limeongezeka baada ya kupata mtoto unaweza kuanzia kwa daktari Wa akina mama na watoto kwanza

Yah anaitwa Salehe Madawa go and see him he has dawa safi sana ya ukikojozi.
 
kuna mtu humu anaitwa Mzizi mkavu
hebu m pm umueleze ana jua dawa za tiba mbadala....

Unampotosha mwenzio, hachelewi kumuambia apande juu ya mti mchana kweupe halafu akojoe akiwa juu lol...mwaya huyo mzizimkavu hata usimpm, kama una sound mind lazima utashangaa hizo tiba zake.
 
Pole mrembo. Kweli kwa mtu mzima hilo ni ttz linaloathiri hata hadhi yako. Kuna aina 2 za dawa za kizungu nazifahamu. Tafadhari wasiliana nami kwa email nikuelekeze.
 
Back
Top Bottom