Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana ikaitwa dawa, kila dawa ina Masharti yake isingelikuwa Dawa isingelikuwa na masharti, upo hapo na mimi mkuu?Mbona dawa ngumu na ina masharti ivyo.
Pole sana, hata kwenye maombi kunasaidia pia.
Haya bwana King'astiMkuu mzizi mkavu, usiwashangae hao wanaokushangaa manake na mie nilikuwa najiuliza kama ww ni mtaalamu wa alternative medicine... not that it is bad. thank for sharing. hujamalizia afu kongoro linalobakia lichemshwe na mama wa mtoto apige supu yake ikiwa na pilipili na ndimu za kutosha. hapo jestina na husninyo watakuamini
Kila member wanapokuja na shida hii unawashahuri hivi. Mwanzo nilijua ni utani wako tu, sasa nimeanza kujiuliza: are you serious? anaponaje sasa? Ritual hiyo inahusika vipi na kukojoa kitandani? Naomba mwangaza please.Dawa ya Mtoto kuacha kukojoa kitandani Upate Kwato la N'gombe . Mtoto Apande juu ya Mti kisha umpe hilo kwato la N'gombe weka moto ndani yake kisha alinuse kisha huko huko juu ya Mti akojoe kisha ashuke afanye hiyo dawa kwa muda wa siku 7 asubuhi na jioni kila siku atapona inshallah
Dawa ya Mtoto kuacha kukojoa kitandani Upate Kwato la N'gombe . Mtoto Apande juu ya Mti kisha umpe hilo kwato la N'gombe weka moto ndani yake kisha alinuse kisha huko huko juu ya Mti akojoe kisha ashuke afanye hiyo dawa kwa muda wa siku 7 asubuhi na jioni kila siku atapona inshallahKama nakumbuka vizuri hiyo kwato ya ng'ombe huwa inachomwa ili iwe na harufu fulani hivi.
Kupona kwake anakuwa hakojoi tena kitandani. Mimi ninapo mpa Mtu Ushauri wa kutumia Dawa nina uhakika akifuata ushauri wangu atapona kwa uwezo wake Mwenyeezi Mungu sibahatishi nipo Serious, hili ni jukwaa la kusaidiana sio kufanyiana mambo ya mchezo au masihara watu wengine wanapoteza muda wao kufanya mchezo mimi ninapomjibu mtu kumpa ushauri wa kutumia dawa yangu huwa sina mambo ya mchezo.Kila member wanapokuja na shida hii unawashahuri hivi. Mwanzo nilijua ni utani wako tu, sasa nimeanza kujiuliza: are you serious? anaponaje sasa? Ritual hiyo inahusika vipi na kukojoa kitandani? Naomba mwangaza please.