Tatizo la kukojoa mara kwa mara usiku

Tatizo la kukojoa mara kwa mara usiku

Ili usipate shida ya kukojoa usiku inashauriwa kunywa maji mwisho saa 12 jioni au saa 1 usiku. Usinywe zaidi ya hapo. Ila hakikisha umepata pia maji ya kutosha during the day.
Kwasisi wanywaji wa pombe siku zingine hadi saa 6 usiku ama zaidi tufanyaje?
 
Wakuu salamaa,

Nina swali dogo hapa naomba msaada wenu, nimepatwa na hali inanipa mashaka kidogo!ninaenda sana haja ndogo wakati wa usiku ili hali nimekunywa glass moja tu ya maji na kulala!

Je, ni kawaida au ni kutakua na shida mahali katika mwili wangu?

Muwe na asubuhi njema.

Kulingana na historia kuwa na maelezo kidogo, ewezekano wa matatizo/possibility zinakuwa nyingi. Zinaweza kupungua kulingana na mwenendo mzima wa maisha na dalili nyingine kuwepo au kutokuwepo:
Yafuatayo yanawezekana:

1: Maambukizi njia ya mkojo.

2: Tatizo la sukari

3: Hali ya kawaida, ila kukawa na badiliko la hali ya hewa yaani ubaridi.

4: Matumizi ya vinywaji/ kinywaji kinachoongeza kasi kwenye kutengeneza mkojo kama kahawa.

5: Matumizi yako ya kiasi cha maji kwa ujumla kuwa kizuri sana hivyo hiyo nyongeza ya jioni kuwa na athari chanya zaidi.
 
Wakuu salamaa,

Nina swali dogo hapa naomba msaada wenu, nimepatwa na hali inanipa mashaka kidogo!ninaenda sana haja ndogo wakati wa usiku ili hali nimekunywa glass moja tu ya maji na kulala!

Je, ni kawaida au ni kutakua na shida mahali katika mwili wangu?

Muwe na asubuhi njema.


Nashauri tusiweke utani sana kwenye Afya.

1. Kama upo zaidi ya miaka 35 inawezekana tezi dume yako imeanza kuvimba na kuzuia njia ya kukojoa . wataalamu wanaita enlargement prostate . Lakini kama upo miaka zaidi ya 40 unatakiwa kwenda kwa wataalamu (a) Kuhakikisha hauna dalili za tezi dume (b) Kuhakikisha hauna mawe ya calcium kwenye kibofu cha mkojo. Kama tatizo ni la kukua kwa tezi dume
2. Kama tatizo ni kukuwa kwa tezi dume na hakuna dalili za cancer zozote watakuwa dawa ya 0.4 kidonge kimoja kwa siku hii itasaidia ku relax misuli ya mkojo ili isibane.

"Tamsulosin is used in men to treat the symptoms of an enlarged prostate (benign prostatic hyperplasia or BPH) which include difficulty urinating (hesitation, dribbling, weak stream, and incomplete bladder emptying), painful urination, and urinary frequency and urgency "

3. Kama tatizo bado ni kukuwa kwa tezi dume na dawa haisaidii sana kuna surgery ndogo ya kupanua njia.

Ushauri mwingine pamoja ya yote hayo ni kupunguza sukari kwenye mwili maana sukari inaongeza uvimbe kwenye mwili. Kwa kuanzia tu fanya hivi. Hakikisha kila siku unajipa masaa 15-16 bila kula chochote ambacho mwili inabidi ufanye kazi. Yaani ukila mfano saa moja usiku usile tena mpaka saa tano kesho yake. Unaweza kunywa maji, chai au kahawa bila sukari lakkini usile chochote ambacho mwili inabidi ufanya kazi. Hii inasaidia kupunguza kupanda kwa sukari na kutengenezwa kwa cells mpya za mwili.

Lakini tatizo la kuamka usiku kaliangalie mapema. Wataalaku wa haya matatizo wanaitwa "urologist "kama yupo Tanzania mtafute huyu mtaalamu specialist

 
Nashauri tusiweke utani sana kwenye Afya.

1. Kama upo zaidi ya miaka 35 inawezekana tezi dume yako imeanza kuvimba na kuzuia njia ya kukojoa . wataalamu wanaita enlargement prostate . Lakini kama upo miaka zaidi ya 40 unatakiwa kwenda kwa wataalamu (a) Kuhakikisha hauna dalili za tezi dume (b) Kuhakikisha hauna mawe ya calcium kwenye kibofu cha mkojo. Kama tatizo ni la kukua kwa tezi dume
2. Kama tatizo ni kukuwa kwa tezi dume na hakuna dalili za cancer zozote watakuwa dawa ya 0.4 kidonge kimoja kwa siku hii itasaidia ku relax misuli ya mkojo ili isibane.

"Tamsulosin is used in men to treat the symptoms of an enlarged prostate (benign prostatic hyperplasia or BPH) which include difficulty urinating (hesitation, dribbling, weak stream, and incomplete bladder emptying), painful urination, and urinary frequency and urgency "

3. Kama tatizo bado ni kukuwa kwa tezi dume na dawa haisaidii sana kuna surgery ndogo ya kupanua njia.

Ushauri mwingine pamoja ya yote hayo ni kupunguza sukari kwenye mwili maana sukari inaongeza uvimbe kwenye mwili. Kwa kuanzia tu fanya hivi. Hakikisha kila siku unajipa masaa 15-16 bila kula chochote ambacho mwili inabidi ufanye kazi. Yaani ukila mfano saa moja usiku usile tena mpaka saa tano kesho yake. Unaweza kunywa maji, chai au kahawa bila sukari lakkini usile chochote ambacho mwili inabidi ufanya kazi. Hii inasaidia kupunguza kupanda kwa sukari na kutengenezwa kwa cells mpya za mwili.

Lakini tatizo la kuamka usiku kaliangalie mapema. Wataalaku wa haya matatizo wanaitwa "urologist "kama yupo Tanzania mtafute huyu mtaalamu specialist


Sijui kwanini umemshauri kahwa au chai. Kahwa si nzuri kutokana na caffeine, kama ni kahwa anywe decaffeinated coffee. Ulipaswa kumwambia hivyo. Kama ni chai asinywe black tea ungemshauri herbal tea mfano cinnamon tea, green tea n.k.
 
Back
Top Bottom