Tatizo la Kukosa Hedhi (Amenorrhea)

Tatizo la Kukosa Hedhi (Amenorrhea)

Kama ni mtumiaji wa dawa za uzazi wa mpango kuogopa mimba inawezekana hiyo
 
Mungu awabariki sana,

Kuna mtoto wa shemeji yangu haoni siku zake na walipompeleka kupima mimba kile kipimo cha pregnancy test kinaonyesha negative, maana yake hana mimba.

Leo ni siku ya 9 kutoka tarehe anayotakiwa kuona period lakini haoni, hali hii imemchanganya sana.

Kwa mwenye uzoefu atoe ushauri tafadhali hali hii inamanisha nini na nini cha kufanya ukitokewa na hali hii.

Matusi na kejeli no.

Karibuni sana.
 
Mlienda kumpima mimba kwa kumlazimisha ama kwa kuwa alikiri kuwa alifanya ngono zembe?
 
Muulize kama alishawahi tumia dawa za kuzuia mimba
Au inaweza kuwa mabadiliko tu ya kawaida
 
KUKOSA MZUNGUKO WA HEDHI AU HEDHI KWA MUDA MREFU(AMENORRHEA)

>UTANGUKIZI,KWA kawaida mwanamke au msichana huwezi kupata hedhi kabula ya KUBALEHE,WAKATI WA UJAUZITO NA BAADA YA KUFIKIA UKOMO WA KUINGIA KUNAKO HEDHI(MONOPAUSE).kama mwanamke hatopata hali hii wakati ameshabalehe,hana mimba,na hajafikia ukomo basi kuna dalili tosha kuwa anahitaji matibabu ya kitabibu kutatua tatizo hili.

[emoji256]KUKOSA HEDHI NI NINI?,ni ile hali ya mwanamke kutokuona siku zake kwa muda mrefu kinyume na matarajio ya kawaida au mzunguko wa kawaida yapata miezi hata 3 HADI 6 au amebarehe lakini mpaka anafikisha umri wa miaka 16 hajaona hedhi.

[emoji95] KUNA AINA KUU MBILI ZA KUKOSA HEDHI[emoji95]

1.PRIMARY AMENORRHEA,hii ni hali inayompata mwanamke kwa kutokuona hedhi kwa Mara ya kwanza katika umri wa miaka 12,14,16 NA kuendelea,

☄sababu kubwa ya hali hii husababishwa na aiza mabadiliko ya organs,tezi na homoni zinazojihusisha na maswala ya hedhi.

☄SABABU AMBAZO ZINAWEZA PIA KUCHANGIA NI KAMA

1.kushindwa kwa ovaries (ni organi inayoshikilia mayayi)
2.matatizo ya mifumo ya fahamu(ubongo na ugwe mgongo au tezi za pituitary(hii ni tezi katika ubongo inayofanya homoni ya hedhi kutoka)
3.utengenezwaji hafifu wa wa organ katika mwili uhusuo HEDHI, lakini Mara nyingi sababu hasa za hii primary hazijajulikana sana yawezakuwa tatizo la kimazingira au kuzaliwa nalo(natural factor).

2.SECONDARY AMENORRHEA,hii ni hali ambayo mwanamke anaweza kutokupata hedhi wakati hapo awali alikuwa anapata yaani kusimama au kutokuona kwa muda usiopungua miezi 3 HADI 6 nakuendelea.

[emoji95]SABABU YA SECONDARY AMENORRHEA INAWEZA KUSABABISHWA NA

1.UJAUZITO
2.KUNYONYESHA
3.KUACHA MATUMIZI YA UZAZI WA MAPANGO
4.KUFIKIA UKOMO WA KUPATA HEDHI(MONOPAUSE)
5.MATUMIZI YA UZAZI WA MAPANGO KAMA DEPO-PROVERA.

[emoji95]SABABU ZINGINE NIKAMA

1.musongo wa mawazo (stress)
2.mlo hafifu(kutokupata chakula IPASAVYO)
3.huzuni(depression)
4.matumizi ya dawa kama dawa za kutibu CANCER,PSYCHOSIS OR SCHIZOPHRENIA NK.
5.kupungua uzito kwa haraka
6.kufanya mazoezi kupita kiwango
7.kuwa na magonjwa endelevu au ya Mara kwa Mara
8.kunenepa ghafula(overweight-obesity)
9.mvurugiko wa homoni inayisababishwa na matatizo ya uvimbe kwenye ova (PCOS-POLYCYSTIC OVARIAN SYNDROME)
10.matatizo ya tezi ya thyroid
11.uvimbe kwenye ovaries
12.kiwango kidogo cha homoni ya ESTROGEN na kiwango kikubwa na TESTOTESTRONE


[emoji95][emoji95]DALILI ZA AWALI ZA MWANAMKE MWENYE SECONDARY AMENORRHEA

☄acne(chunusi)
☄uke kukauka(vagnal dryness)
☄sauti kunyon'gonyea
☄nywele kutoa kwa kiwango kikubwa mwilini
☄kichwa kuuma
☄mabadiliko ya kuona
☄bubu kutoa Maji au chuchu kutoka Maji kama Maziwa

[emoji269]Mara upatapo dalili HIZI au tiari unatatizo hili basi usiwe na wasiwasi tatizo hili linatibika,ila ...

[emoji269]NENDA HOSPITALI UKAFANYIWE UCHUNGUZI WA KINA KAMA VILE
~VIPIMO VYA MRI,CT SCANS,KIPIMO CHA KIWANGO CHA testosterone NA ESTROGEN,ULTRASOUND,KIPIMO CHA UVIMBE AU KITUCHOCHOTE KINACHOKUWA KATIKA OVARIRS AU MLANGO WA UZAZI

Pia vipo vipimo vingi kulingana na Maelezo na historia ya tatizo.
 
Jaribu kupitia apo [emoji115] [emoji115] [emoji115]
 
KUKOSA MZUNGUKO WA HEDHI AU HEDHI KWA MUDA MREFU(AMENORRHEA)

>UTANGUKIZI,KWA kawaida mwanamke au msichana huwezi kupata hedhi kabula ya KUBALEHE,WAKATI WA UJAUZITO NA BAADA YA KUFIKIA UKOMO WA KUINGIA KUNAKO HEDHI(MONOPAUSE).kama mwanamke hatopata hali hii wakati ameshabalehe,hana mimba,na hajafikia ukomo basi kuna dalili tosha kuwa anahitaji matibabu ya kitabibu kutatua tatizo hili.

[emoji256]KUKOSA HEDHI NI NINI?,ni ile hali ya mwanamke kutokuona siku zake kwa muda mrefu kinyume na matarajio ya kawaida au mzunguko wa kawaida yapata miezi hata 3 HADI 6 au amebarehe lakini mpaka anafikisha umri wa miaka 16 hajaona hedhi.

[emoji95] KUNA AINA KUU MBILI ZA KUKOSA HEDHI[emoji95]

1.PRIMARY AMENORRHEA,hii ni hali inayompata mwanamke kwa kutokuona hedhi kwa Mara ya kwanza katika umri wa miaka 12,14,16 NA kuendelea,

☄sababu kubwa ya hali hii husababishwa na aiza mabadiliko ya organs,tezi na homoni zinazojihusisha na maswala ya hedhi.

☄SABABU AMBAZO ZINAWEZA PIA KUCHANGIA NI KAMA

1.kushindwa kwa ovaries (ni organi inayoshikilia mayayi)
2.matatizo ya mifumo ya fahamu(ubongo na ugwe mgongo au tezi za pituitary(hii ni tezi katika ubongo inayofanya homoni ya hedhi kutoka)
3.utengenezwaji hafifu wa wa organ katika mwili uhusuo HEDHI, lakini Mara nyingi sababu hasa za hii primary hazijajulikana sana yawezakuwa tatizo la kimazingira au kuzaliwa nalo(natural factor).

2.SECONDARY AMENORRHEA,hii ni hali ambayo mwanamke anaweza kutokupata hedhi wakati hapo awali alikuwa anapata yaani kusimama au kutokuona kwa muda usiopungua miezi 3 HADI 6 nakuendelea.

[emoji95]SABABU YA SECONDARY AMENORRHEA INAWEZA KUSABABISHWA NA

1.UJAUZITO
2.KUNYONYESHA
3.KUACHA MATUMIZI YA UZAZI WA MAPANGO
4.KUFIKIA UKOMO WA KUPATA HEDHI(MONOPAUSE)
5.MATUMIZI YA UZAZI WA MAPANGO KAMA DEPO-PROVERA.

[emoji95]SABABU ZINGINE NIKAMA

1.musongo wa mawazo (stress)
2.mlo hafifu(kutokupata chakula IPASAVYO)
3.huzuni(depression)
4.matumizi ya dawa kama dawa za kutibu CANCER,PSYCHOSIS OR SCHIZOPHRENIA NK.
5.kupungua uzito kwa haraka
6.kufanya mazoezi kupita kiwango
7.kuwa na magonjwa endelevu au ya Mara kwa Mara
8.kunenepa ghafula(overweight-obesity)
9.mvurugiko wa homoni inayisababishwa na matatizo ya uvimbe kwenye ova (PCOS-POLYCYSTIC OVARIAN SYNDROME)
10.matatizo ya tezi ya thyroid
11.uvimbe kwenye ovaries
12.kiwango kidogo cha homoni ya ESTROGEN na kiwango kikubwa na TESTOTESTRONE


[emoji95][emoji95]DALILI ZA AWALI ZA MWANAMKE MWENYE SECONDARY AMENORRHEA

☄acne(chunusi)
☄uke kukauka(vagnal dryness)
☄sauti kunyon'gonyea
☄nywele kutoa kwa kiwango kikubwa mwilini
☄kichwa kuuma
☄mabadiliko ya kuona
☄bubu kutoa Maji au chuchu kutoka Maji kama Maziwa

[emoji269]Mara upatapo dalili HIZI au tiari unatatizo hili basi usiwe na wasiwasi tatizo hili linatibika,ila ...

[emoji269]NENDA HOSPITALI UKAFANYIWE UCHUNGUZI WA KINA KAMA VILE
~VIPIMO VYA MRI,CT SCANS,KIPIMO CHA KIWANGO CHA testosterone NA ESTROGEN,ULTRASOUND,KIPIMO CHA UVIMBE AU KITUCHOCHOTE KINACHOKUWA KATIKA OVARIRS AU MLANGO WA UZAZI

Pia vipo vipimo vingi kulingana na Maelezo na historia ya tatizo.
Asante sana boss
 
Kama unaweza kunipa namba yake ya simu itakua vizuri zaid ili ajibu maswali ambayo ww hutokua na majibu nayo!
 
Back
Top Bottom