Tatizo la Kukosa Hedhi (Amenorrhea)

Mke wangu akijifungua hapati hedhi mpaka amwachishe mtoto vipi mzizi mkavu na hii ni tatizo?
 
Mke wangu akijifungua huwa hapati hedhi mpaka amwachishe mtoto ndiyo inarudi hedhi je hiyo ni tatizo?
 
Nina siku nyingi girl friend wangu ananiuliza nn tatizo la kukosa siku zake ,yani kwake inaweza kutokea kwa miezi mitatu au isitokee kabisa yani inakuja tu kama emergence kwake
Msaada kwenu ndg zangu.
 
Habari wakuu,

Jamani nina miezi mitatu sijaona siku zangu (bleed) najiuliza nini sababu?

Natumai kuna wataalamu humu wanaoweza kunisaidia.

Natanguliza shukrani.

========

 
Hata mke wangu lilimkuta hilo tuna mtoto wa mwaka mmoja na miezi kama minne, december tulikwichi kwich lkn mpaka january nae hajaona siku zake sasa sijui nnn baadaye ikarudi kumbe ni mzunguko tuu ulikaa hovyo
 
Kama ulikuwa na ligi ww ni mama kijo kwa sasa mwez wa kwanza ambapo hujaona hukujiuliza hili swali mpk imefka mitatu?
 
Mpaka umefikia kuuliza hivi naamini hakuna kitu chochote kilichotokea!!!
Pengine mzunguko umesogea mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…