kinda la baba
Senior Member
- Jun 13, 2024
- 117
- 125
Fuatilia kama aliwahi kuangushwa ama kulaliwa asije akawa amepata brain trauma ama skull concussion.. Wahi hospital akafanyiwe vipimoHabari za asubuh wakuu, kama kichwa cha habari kina vyojieleza hapo juu.mimi ni BABA wa mtoto mmoja wa kike wa mwaka mmoja, mtoto amekuwa na tatizo la kunesa kichwa anapoangalia kitu kwa mara ya kwanza mfano akiangalia TV at the first look ananesa kichwa then anakaa sawa au akiangalia mtu,kitu ananesa kichwa then anakaa sawa. tangu tatizo lianze lina mwezi mmoja mpaka sasa.Je shida inaweza kuwa Nini ? Au ni mabadiliko tu ya mtoto then anakaa sawa?
Maelezo bado hayajajitosheleza au Kuna uwezekano lugha uliyotumia wengi hatujaielewa..Habari za asubuh wakuu, kama kichwa cha habari kina vyojieleza hapo juu.mimi ni BABA wa mtoto mmoja wa kike wa mwaka mmoja, mtoto amekuwa na tatizo la kunesa kichwa anapoangalia kitu kwa mara ya kwanza mfano akiangalia TV at the first look ananesa kichwa then anakaa sawa au akiangalia mtu,kitu ananesa kichwa then anakaa sawa. tangu tatizo lianze lina mwezi mmoja mpaka sasa.Je shida inaweza kuwa Nini ? Au ni mabadiliko tu ya mtoto then anakaa sawa?
Hapana anga'ti meno wala kuzimia au kutetemeka yaani anatikisa kichwa kama vile anaitikia jambo kwa ishara ya kichwaMaelezo bado hayajajitosheleza au Kuna uwezekano lugha uliyotumia wengi hatujaielewa..
Kunesa kichwa As In how?, ananesaje yaani anatingishaje kichwa anatetemeka kichwa?
Akitetemeka anang'ata meno? Anazimia?
Ni kweli kuna siku alianguka kutoka kitandani mpaka chiniFuatilia kama aliwahi kuangushwa ama kulaliwa asije akawa amepata brain trauma ama skull concussion.. Wahi hospital akafanyiwe vipimo
Hapana alikuwa sawa,ila alizaliwa kwa operation.Je alizaliwa na complication zozote?
Anatembea ??Hapana alikuwa sawa,ila alizaliwa kwa operation.
Bado ila ndo anataka kutembea (anaanza)Anatembea ??
Ndo tunavyoombea amiinaNi jambo la kawaida hilo atakuwa sawa tu.
Amin.Ndo tunavyoombea amiina