Tatizo la kupoteza uwezo wa kunusa (Kutosikia harufu): Fahamu chanzo na namna ya kutibu tatizo hili

Tatizo la kupoteza uwezo wa kunusa (Kutosikia harufu): Fahamu chanzo na namna ya kutibu tatizo hili

mi naenda mwezi sasa....sijui harufu ya kitu...hata nikienda kukata gogo ....najihisi kama pua zimetengeneza filter hivi...napata oxygen harufu nyingine hola.

nilipigwa kamafua ka 5G nikadhani ni hali yangu ya kawaida ,bcoz nina alerg nikapambana kama siku tano mwendo wa piriton,codril na panadol..hali ikaa sawa kidogo baada ya hapo inmepoteza uwezo wa kunusa completely though kwa sasa siumwi wala nini...ila napata mashaka hali yangu ya uwezo wa kunusa itarud lini....kama ni hizi ni moja ya dalili za corona basi wana DSM wengi tuna corona...we have to embrace for impact...
 
Kuna mwana nae amepoteza nguvu za kiume ...sijui hiyo nayo ni dalili ya corona???? 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅
 
Mimi nilianza kujisikia vibaya tarehe moja nikawa nahisi kama nina homa kali na kichwa kinauma balaa, nikaenda kupima nikaambiwa niko fresh lakini nikapewa diclopar ili kutuliza maumivu ya kichwa lakini mpaka leo pua zimepoteza uwezo wa kunusa na kutambua kama hapa kuna harufu nzuri au mbaya siku ya tisa leo na chakula sijwahi pata ladha yake toka Siku hiyo mpaka leo yaani nakula tu il nisife

Sent using Jamii Forums mobile app

mwana pole sana..kama wewe umepoteza vyote hivyo ni hatar...hiyo ni dalili kabisa ya Convid-19+
 
yeah mkuu!!. nliumwa ns kupoteza harufu na pia kichwa kilikua knanisumbua ila now atleast nlkaa siku 5.. demu wangu na mdgo wake hawasikii harufu siku ya 4.. nna mchizi anaumwa kikohozi nae hasikii harufu tangu trh 25, ... mkuu wangu wa kitengo alianzaga yy akaumwa siku 4 baadae ikakaa fresh!.. jiran yangu hapa pia nlimsikia ila nkapotezea, nadhani inaweza kua tuna resist corona, hyo ni theory tu lakini!!.. maana mazngira niliyopo mm binafsi ni very risky!.
Pole sana Mkuu.
Hii kitu haieleweki.
 
dah...wewe utakuwa mkazi wa jiji la makonda tu...kiukweli ata mimi nipo kwenye hali hiyo yapata wiki ya pili sasa...nimetumia dawa aina ya GOODMORNING...imenisaidia kidogo ila hali ya kutokuhisi harufu na kutokupata radha ya chakula bado...ipo...nadhani ni covid tu hii...
Hatari hii mkuu.
 
Angalieni kuna uzi hili hili jukwaa una page kama 200 ,wengi waliyokutana na hiyo hali na ni COVID katika hatua za mwisho,tafuteni huo uzi wengi wametoa ushauri
Hata hapa tutapata ushauri
 
Wanasema eti hyo ni dalili kuu kabsa na highest ya CoV-19. Kama utabisha google utaona.au ukiingia kwenye tovut ya wizara ya afya
Mkuu wewe hauna?
 
Kwa iyo hakuna unachotumia mpka sasa?
Mimi nilianza kujisikia vibaya tarehe moja nikawa nahisi kama nina homa kali na kichwa kinauma balaa, nikaenda kupima nikaambiwa niko fresh lakini nikapewa diclopar ili kutuliza maumivu ya kichwa lakini mpaka leo pua zimepoteza uwezo wa kunusa na kutambua kama hapa kuna harufu nzuri au mbaya siku ya tisa leo na chakula sijwahi pata ladha yake toka Siku hiyo mpaka leo yaani nakula tu il nisife

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani harufu inakata inarudi utafikiri mitandao yetu au umeme
Kama ni hivyo basi mmerudi tena kwenye afya njema wala msiogope tena ila tahadhari tena muhimu maana hawa wadudu wanabadilika na kuwa wakali zaidi


Sent from my iPhone using Tapatalk
Mimi ilikata kama siku 3 na jana nimeanza kuisikia kwa mbali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilianza kujisikia vibaya tarehe moja nikawa nahisi kama nina homa kali na kichwa kinauma balaa, nikaenda kupima nikaambiwa niko fresh lakini nikapewa diclopar ili kutuliza maumivu ya kichwa lakini mpaka leo pua zimepoteza uwezo wa kunusa na kutambua kama hapa kuna harufu nzuri au mbaya siku ya tisa leo na chakula sijwahi pata ladha yake toka Siku hiyo mpaka leo yaani nakula tu il nisife

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu.
Uko kama mimi aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tengeneza juice ya tangawiz na limau kila siku asubuhi na jioni upige
mi naenda mwezi sasa....sijui harufu ya kitu...hata nikienda kukata gogo ....najihisi kama pua zimetengeneza filter hivi...napata oxygen harufu nyingine hola.

nilipigwa kamafua ka 5G nikadhani ni hali yangu ya kawaida ,bcoz nina alerg nikapambana kama siku tano mwendo wa piriton,codril na panadol..hali ikaa sawa kidogo baada ya hapo inmepoteza uwezo wa kunusa completely though kwa sasa siumwi wala nini...ila napata mashaka hali yangu ya uwezo wa kunusa itarud lini....kama ni hizi ni moja ya dalili za corona basi wana DSM wengi tuna corona...we have to embrace for impact...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom