Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hili ni janga sasahiviNa mimi pia nimepata Hii changamoto baada ya kuanza kutumia Mseto Juzi,leo ndio nimemaliza dozi ladha na harufu bado sisikii! Sina mafua,sikohoi,homa sina pia
Nimekuelewa, hivi dawa gani ulizitumia kumalizana na mafua kwanza.Fanya therapy itakayosaidia kuamsha sense kwenye ubongo pale unapokua unanusa !!!
Yalinikuta pia nikipata nafuuu ndani ya cku 3...
Ladha naisikia mkuuBila shaka hiyo ni COVID. Husikii harufu na ladha au harufu peke yake?
Hisia za harufu na ladha zitarudi zenyewe polepole kadri muda unavyozidi kwenda.
Uwezo wa kunusa harufu utarudi taratibu. Kuwa mpole.Ladha naisikia mkuu
AsanteUwezo wa kunusa harufu utarudi taratibu. Kuwa mpole.
Yaan inakera hatrKipindi coroba imepamba moto hii kitu ilinitesa sana.Nimekaa kama mwezi sisikii harufu hata nkienda chooni kinyesi changu sisikii harufu!Nilitumia madawa zote lakini wapi,sema harufu iliamuwa kurejea yenyew ni hali inayokera ki ukweli.
Habari zenu wakuu. Sorry naomba msaada, Nimesumbuliwa na mafua Karibu wiki tatu, Baadae nikaamua kutumia dawa (vidonge vya punje nmevisahau jina) baadae mafua yamepungua yamebaki kidogo sana....
Bila shaka hiyo ni COVID. Husikii harufu na ladha au harufu peke yake?
Hisia za harufu na ladha zitarudi zenyewe polepole kadri muda unavyozidi kwenda.
Asante sana mkuu.Hiv magadi yanauzwa kwenye maduka ya vyakula?Tarehe kama ya leo mwaka jana nilipata hili tatizo na lilidumu kwa miezi mitatu na kuniachia baadhi ya side effects. Litaisha lenyewe maana nilitumia tangawizi, malimao, vitunguu kila siku kwa miezi miwili ila nikakata tamaa nikaacha.
Kuhusu miguu kuwaka moto kila siku usiku loweka miguu kwenye maji ya moto uliyochanganya na magadi kwa siku tatu itaacha.
Asante sana mkuu.Hiv magadi yanauzwa kwenye maduka ya vyakula?
Asante sana mkuuNenda kwenye masoko ya vyakula utapata. Magadi/Chumvi ya mawe vyote vinafanya kazi.
Hapa nilipo nimefanikiwa kupata chumvi ya mawe.Sasa miguu naloweka kwa mda gani,i mean dakika ngap?Nenda kwenye masoko ya vyakula utapata. Magadi/Chumvi ya mawe vyote vinafanya kazi.