Tatizo la kusahau kwa kijana

Tatizo la kusahau kwa kijana

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Nini sababu na tiba ya kusahau hususani kwa kijana?

Wakati nasoma nilikuwa bingwa wa kumeza hadi wahuni wangu wakawa wanastaajabu naweza vipi yaani definition hata iwe ni kurasa nzima basi nitaimeza yote bila ya kuacha neno hata moja.

Recently nimekuwa mtu wa kusahau ndani ya huu mwaka nimepoteza funguo za ghetto zaidi ya mara tano kwa kusahau nilipoziweka ama kuziacha kitu kilichonigharimu kubadilisha vitasa mara kwa mara.

Vitambulisho muhimu kama nida na vote id nimepoteza nimebaki na soft copy zake kwenye simu.

Kusahau majina ya watu na sehemu ambazo nishawahi kwenda ama kuishi kwa muda mrefu.
 
Nini sababu na tiba ya kusahau hususani kwa kijana?

Wakati nasoma nilikuwa bingwa wa kumeza hadi wahuni wangu wakawa wanastaajabu naweza vipi yaani definition hata iwe ni kurasa nzima basi nitaimeza yote bila ya kuacha neno hata moja.

Recently nimekuwa mtu wa kusahau ndani ya huu mwaka nimepoteza funguo za ghetto zaidi ya mara tano kwa kusahau nilipoziweka ama kuziacha kitu kilichonigharimu kubadilisha vitasa mara kwa mara.

Vitambulisho muhimu kama nida na vote id nimepoteza nimebaki na soft copy zake kwenye simu.

Kusahau majina ya watu na sehemu ambazo nishawahi kwenda ama kuishi kwa muda mrefu.
Kama unapiga punyeto acha.
 
Nini sababu na tiba ya kusahau hususani kwa kijana?

Wakati nasoma nilikuwa bingwa wa kumeza hadi wahuni wangu wakawa wanastaajabu naweza vipi yaani definition hata iwe ni kurasa nzima basi nitaimeza yote bila ya kuacha neno hata moja.

Recently nimekuwa mtu wa kusahau ndani ya huu mwaka nimepoteza funguo za ghetto zaidi ya mara tano kwa kusahau nilipoziweka ama kuziacha kitu kilichonigharimu kubadilisha vitasa mara kwa mara.

Vitambulisho muhimu kama nida na vote id nimepoteza nimebaki na soft copy zake kwenye simu.

Kusahau majina ya watu na sehemu ambazo nishawahi kwenda ama kuishi kwa muda mrefu.
Wacha mihadarati na nyeto utakua good
 
Naona wote hapo juu hamjagusia pombe kabisa,enewei tuendelee kuinywa,naona haina shida na mada tajwa hapo juu!!!
 
Back
Top Bottom