Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana.Shida ni hiyo imempata binti yangu mkubwa tu gafla hawezi zungumza kabisa hospitali wanasema hawaoni tatizo
Je yawezekana kupona hii shida
Hajawahi pata na shida yoyote ile hajawahi dondoka afya yake ya akili ipo vizuri tu ,miaka 10 anasikia vizuri anaandika hospital wanasema hawaoni tatizo loloteMdau Hajataja Mtoto ana umri gani, Tatizo hilo limemuanzaje na anapotezaje kuongea..
Zaidi ni Tabia na Ukuaji wake anatakiwa kuelezea Vipi kuhusu Intellectual Yake Imepungua au Bado ipo Intact..
Amewahi kupata Ajali au Aliwahi kumchapa kwa muda mrefu..
Aliwahi kudondoka??
Historia ya Kupata Mshtuko (Traumatic History ikiwemo PTSD)..
Historia ya Kuchalazwa Shulenii...
Kifupi maelezo hayajakamilika
ShukraniPole sana.
Kushindwa kuongea (speech disorders -aphasia) ni tatizo ambalo huwa na visababishi vyake. Umesema umeenda hospital na kuambiwa hakuna shida, sijajua umeenda hospital ipi?
Ni vyema akaonwa na daktari bingwa ili kuweza kubaini chanzo cha tatizo hilo na hatimaye kupatiwa matibabu.
Kwa hiyo mpeleke hospital kubwa akatibiwe, kuna madaktari bingwa wa masuala ya kuongea (speech therapists) ambao watamsaidia kulingana na visababishi vya tatizo lake.
Kila la kheri.
ShukraniAngekua muislam ningekwambia msomee kisomo cha ruqya..!
Amewahi kuongea before?
Anaelewa mkiwasiliana?
M
meshafanya vipimo vya kichw
Ndio vizuri tuAmewahi kuongea before?
Anaelewa mkiwasiliana?
Mmeshafanya vipimo vya kichwa?
10 yrs bado binti mdogo ,atakaa sawa inshallah.10yrs yupo sawa tu ila kuongea ndo kapata kipengele
Itakuwa ni illness, and bursts in other areas of development. Atakaa sawa tu huyo mkuu10yrs yupo sawa tu ila kuongea ndo kapata kipengele
Nado hujaelezea Anashindwa Kuongea As In how Haongei kabisa (Bubu) ..Hajawahi pata na shida yoyote ile hajawahi dondoka afya yake ya akili ipo vizuri tu ,miaka 10 anasikia vizuri anaandika hospital wanasema hawaoni tatizo lolote
Huyu mtoto hana shida yoyote , jiangalie malezi yako sio mazuri.Shida ni hiyo imempata binti yangu mkubwa tu gafla hawezi zungumza kabisa hospitali wanasema hawaoni tatizo
Je yawezekana kupona hii shida
Pole mkuu,Kwa uwezo wa M/mungu ataongea inshall'ahShida ni hiyo imempata binti yangu mkubwa tu gafla hawezi zungumza kabisa hospitali wanasema hawaoni tatizo
Je yawezekana kupona hii shida
Mi pia nilitaka kumshauri ivyo,ila kuna mashetani humu wangeanza matusi kwa kushambulia imani za watu,Angekua muislam ningekwambia msomee kisomo cha ruqya..!
Hao waliopo huko mpk leo hawajaponaMlete kwa Mwamposa Kawe aje aombewe Mkuu.
Wasomi humu wanakuambia uchawi haupo, na utaambiwa unapigia promo mganga wako au ulipoenda, pole mkuu..usielezee zaidi ulimpeleka wapi kupata tibaPole sana Mkuu
Binafsi mwanangu wa miaka 4 aliwahi kupata tatizo ambalo lilitaka kufanana na la mwanao.
Yeye aliamka ghafla akawa amepata kigugumizi, akawa anapata shida ya kuzungumza Kwa ufasaha
Tatizo ambalo, hadi anafika huo umri, hatukuwahi kuliona kwake.
Baada ya vipimo vya hospitali, pamoja na dawa pasipokuwa na mafanikio.
Niliamua kwenda upande wa pili.
Kuna sehemu nilimpeleka, baada ya Siku Moja ya matibabu akaanza kuongea vizuri kama awali
Kwenye hii Dunia, tuishi tukijua pande mbili za Dunia.
Wakati wewe unawaza mwanao umsomeshe vizuri, yupo mtu anawaza namna ya kumrudisha nyuma.
Mungu atusaidie