Tatizo la kutokuwa na upinzani bungeni linaonekana

Tatizo la kutokuwa na upinzani bungeni linaonekana

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Kwasababu upinzani haupo bungeni spika amejibadilisha na kuwa mpinzani fake. Tatizo lake wale wabunge wake wa upinzani hata yeye hawamuungi mkono kwasababu hawana mapenzi naye zaidi ya pesa wanayopata.

Spika huyu hana support ya wasomi baada ya kumfitini Prof Assad, upinzani baada ya kumnyima haki zake Lissu , serikali baada ya kuongea ovyo ovyo, sio chagua la Magufuli wala Samia. Spika hakuna mtu anaye muunga mkono kwasababu kaaribu kila mahali. Hivyo Wanzania wengi hawatakuwa upande wake.

Lakini pigo kubwa la mwisho ni kwa Raisi Samia kuanza kufanya vizuri sana hasa kwenye pesa. Mikusanyo ya kodi sasa ni 2trillion kwa mwezi na hapo bado uwekezaji na watalii kuongezeka. Rais Samia haitaji bunge kwa lolote kwa sasa hasa ukizingatia hakuna upinzani.

Spika sasa hana namna zaidi ya kuanza kufikiria kupumzika
 
Una uhakika na unachosema au ili mradi na we umeanzisha mada

Ndugai yeye kajisemea yaliyo moyoni mwake hajawakilisha upinzani
 
Waache wavune ujinga walioupanda.
 
Kwasababu upinzani haupo bungeni spika amejibadilisha na kuwa mpinzani fake. Tatizo lake wale wabunge wake wa upinzani hata yeye hawamuungi mkono kwasababu hawana mapenzi naye zaidi ya pesa wanayopata.

Spika huyu hana support ya wasomi baada ya kumfitini Prof Assad, upinzani baada ya kumnyima haki zake Lissu , serikali baada ya kuongea ovyo ovyo, sio chagua la Magufuli wala Samia. Spika hakuna mtu anaye muunga mkono kwasababu kaaribu kila mahali. Hivyo Wanzania wengi hawatakuwa upande wake.

Lakini pigo kubwa la mwisho ni kwa Raisi Samia kuanza kufanya vizuri sana hasa kwenye pesa. Mikusanyo ya kodi sasa ni 2trillion kwa mwezi na hapo bado uwekezaji na watalii kuongezeka. Rais Samia haitaji bunge kwa lolote kwa sasa hasa ukizingatia hakuna upinzani.

Spika sasa hana namna zaidi ya kuanza kufikiria kupumzika
Upinzani fake wa Ndugai sasa kwa Raisi Samia anaona ni upinzani rasmi. Bado tatizo kubwa ni bunge kutokuwa na wapinzani na Ndugai unavuna ulicho panda
 
Ndugai kuwa kambi rasmi ya upinzani bungeni inamgharimu sana.
 
Kwasababu upinzani haupo bungeni spika amejibadilisha na kuwa mpinzani fake. Tatizo lake wale wabunge wake wa upinzani hata yeye hawamuungi mkono kwasababu hawana mapenzi naye zaidi ya pesa wanayopata.

Spika huyu hana support ya wasomi baada ya kumfitini Prof Assad, upinzani baada ya kumnyima haki zake Lissu , serikali baada ya kuongea ovyo ovyo, sio chagua la Magufuli wala Samia. Spika hakuna mtu anaye muunga mkono kwasababu kaaribu kila mahali. Hivyo Wanzania wengi hawatakuwa upande wake.

Lakini pigo kubwa la mwisho ni kwa Raisi Samia kuanza kufanya vizuri sana hasa kwenye pesa. Mikusanyo ya kodi sasa ni 2trillion kwa mwezi na hapo bado uwekezaji na watalii kuongezeka. Rais Samia haitaji bunge kwa lolote kwa sasa hasa ukizingatia hakuna upinzani.

Spika sasa hana namna zaidi ya kuanza kufikiria kupumzika
Tatizo akili yako fupi, tuache tunaoelewa kinachokwenda kutokea ndio tukueleweshe. Unatakiwa uwe unawaza vizuri. Kumbuka hao wabunge wengi waliwekwa humo na JPM, na wanajua kabisa 2025 hawatoboi, unadhani watafanyaje kama sio kujisacrifice. Tumia akili zako vizuri. Haya mambo bado yatazidi kuwa magumu.
 
Tatizo akili yako fupi, tuache tunaolewa kinachokwenda kutokea ndio tukueleweshe. Unatakiwa uwe unawaza vizuri. Kumbuka hao wabunge wengi waliwekwa humo na JPM, na wanajua kabisa 2025 hawatoboi, unadhani watafanyaje kama sio kujisacrifice. Tumia akili zako vizuri. Haya mambo bado yatazidi kuwa magumu.

Ndugai ndiyo tatizo sasa hakuna mtu ambaye yuko upande wake. Angefuata sheria leo hii tunge mtetea !! huyu ndiyo mjinga. Usijaribu kuingiza wabunge wengine!! tunaongelea Ndugai hapa

1. Kuwaweka wabunge 19 bila kufuata sheria! Hii ni yeye sio Magufuli
2. Lissu kumfukuza Lissu na kumuibia mafao yake ni Ndugai sio Magufuli
 
H
Ndugai ndiyo tatizo sasa hakuna mtu ambaye yuko upande wake. Angefuata sheria leo hii tunge mtetea !! huyu ndiyo mjinga. Usijaribu kuingiza wabunge wengine!! tunaongelea Ndugai hapa

1. Kuwaweka wabunge 19 bila kufuata sheria! Hii ni yeye sio Magufuli
2. Lissu kumfukuza Lissu na kumuibia mafao yake ni Ndugai sio Magufuli
Hayo hayanihusu ila ninachokiona ni wabunge wa JPM kujisacrifice kwa kuhofia kupoteza ubunge 2025.
 
Back
Top Bottom