20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 8,186
- 7,184
Jamani naombeni msaada kwan hili tatizo la kutoka jasho kwapani linaninyima raha na ata uhuru wa kuvaa nguo.
Je nitumie dawa au deodrant gani..?msaada plz.
jamani kwapa zangu zinatoa jasho mpaka nakosa uhuru wa kuvaa nguo., navaa nguo nyeusi tu.,naombeni msaada nitumie deodorant gani au dawa gani.,msaada tafadhali.
Mwenye ujuzi atoe msaada hapa
MziziMkavu na wengine
Last edited by a moderator: