Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,865
- 4,506
Kuna watu wananuka midomo jamani, nilikua nimekaa siti moja na mkaka hivi yaani mdomo wake unatoa hewa kama chemba za vyoo, kidogo nimuulize oyaa hupigagi mswaki.
Yaani alikua akipumua mpaka nageuza kichwa upande mwingine, nashukuru nimefika nakokwenda maana hali ilikua mbaya aisee.
Jamani tupigwe mswaki na kama una tatizo kamuone daktari wa meno uchunguze meno.
HUYO RAFIKI YAKO INAONEKANA HUKO KARIBU NAYE SANA, MPAKA ANAKUTEL VITU VYA 6 KWA 6. BUT WENGI NI NGUMU SANA KUHADITHIA FAILURES ZETU KWENYE 6 KWA SITA. ME NAHSI NI WEWE MKUURafiki yangu alinieleza kuwa kinywa chake huwa kinatoa harufu licha ya kupiga mswaki kwa whitedent kila asubuhi na jioni anapoenda kulala; hii hali inamkela sana hasa akiwa na dem wake ndani 6 x 6 demu huwa anaangalia pembeni kwa kukwepa harufu.
Karibuni
[emoji3] [emoji3] [emoji3]HUYO RAFIKI YAKO INAONEKANA HUKO KARIBU NAYE SANA, MPAKA ANAKUTEL VITU VYA 6 KWA 6. BUT WENGI NI NGUMU SANA KUHADITHIA FAILURES ZETU KWENYE 6 KWA SITA. ME NAHSI NI WEWE MKUU
Ndio maana nikienda moshi pumzi yangu huwa siielewi kabisaKama bahati vile,leo leo asubuhi nimetoka kwa jamaa alikuwa anamimina presentation juu ya matatizo kama hayo.Kwa upande wa harufu mdomoni.Tatizo ni ukozefu wa onion na kwa utaalam maji yanayopatikana maeneo ya milimani yana onion za kutosha.
Sina hakika kama maji ya Kilimanjaro yanatokea kwenye mlima huo, kama ni kweli basi yanaweza kuwa na 30-60% ya onion contents per 1cm[SUP]2[/SUP] area.
Ndio maana American Foundations for ground water and minerals Inst wameformulate onion paper iko kama litmus white paper, unaadd kwenye maji then unakunywa. Harufu yote inatoweka.
Inbox me will help you if you dont mind.
ila sijakuzidi mkuuTena ww ndo unaomgoza kwa utanii