Tatizo la kuwa na harufu mbaya kinywani (bad breath) - Chanzo, dawa za kuzuia na ushauri

Tatizo la kuwa na harufu mbaya kinywani (bad breath) - Chanzo, dawa za kuzuia na ushauri

Kuna watu wananuka midomo jamani, nilikua nimekaa siti moja na mkaka hivi yaani mdomo wake unatoa hewa kama chemba za vyoo, kidogo nimuulize oyaa hupigagi mswaki.

Yaani alikua akipumua mpaka nageuza kichwa upande mwingine, nashukuru nimefika nakokwenda maana hali ilikua mbaya aisee.

Jamani tupigwe mswaki na kama una tatizo kamuone daktari wa meno uchunguze meno.

Isije kuwa ni mdomo wako mwenyewe ila hukuwa unajua
 
Mwenye nilikuwa nasafir ahiseee nilikaa na mkaa alikuwa ananuka mdomo sio kuongea Wala kupumua
Nilikoma adi nilikuwa namwonba mungu afike mapema anapoenda
Ila uwo ni ugonjwa inabidi atumie dawa ya mme ya mwalovera inapatikana forever product
Au akamwone dakital
 
Rafiki yangu alinieleza kuwa kinywa chake huwa kinatoa harufu licha ya kupiga mswaki kwa whitedent kila asubuhi na jioni anapoenda kulala; hii hali inamkela sana hasa akiwa na dem wake ndani 6 x 6 demu huwa anaangalia pembeni kwa kukwepa harufu.
Karibuni
HUYO RAFIKI YAKO INAONEKANA HUKO KARIBU NAYE SANA, MPAKA ANAKUTEL VITU VYA 6 KWA 6. BUT WENGI NI NGUMU SANA KUHADITHIA FAILURES ZETU KWENYE 6 KWA SITA. ME NAHSI NI WEWE MKUU
 
Kama bahati vile,leo leo asubuhi nimetoka kwa jamaa alikuwa anamimina presentation juu ya matatizo kama hayo.Kwa upande wa harufu mdomoni.Tatizo ni ukozefu wa onion na kwa utaalam maji yanayopatikana maeneo ya milimani yana onion za kutosha.

Sina hakika kama maji ya Kilimanjaro yanatokea kwenye mlima huo, kama ni kweli basi yanaweza kuwa na 30-60% ya onion contents per 1cm[SUP]2[/SUP] area.

Ndio maana American Foundations for ground water and minerals Inst wameformulate onion paper iko kama litmus white paper, unaadd kwenye maji then unakunywa. Harufu yote inatoweka.

Inbox me will help you if you dont mind.
Ndio maana nikienda moshi pumzi yangu huwa siielewi kabisa

SONY Xperia Z5 Premium
 
Watu ambao hawapati haja kubwa kama inavyotakiwa ndio huwa na tatizo hili hata kama utaswaki 24hrs bado tatizo hilo utakuwa nalo.
 
Asante kwa somo zuri swali ni je? hydrogen peroxide 3% inafaa kwa matumiz ya kila siku ya mouthwash
 
kwangu Mimi demu/ mke akiwa ananuka Domo hiyo siku sigusi papuchi yake
 
Natumai mu wazima wa afya wana jf. Mimi nina rafiki yangu ana tatizo la kunuka kinywa hata na mwili hasa kwa mwili pale anapofanya kazi ndogo tu je ni aina gani ya dawa anapaswa kutumia?
 
Azingatie usafi wa mara kwa mara,kinywa asukutue mara tatu kwa siku na kusuuza na MOUTH WASH.Ikishindikana basi aende kucheki matatizo kama CONSTIPATION sijui kama nimepatia hilo neno.Yan kukosa choo husababisha kunuka mdomo pia.Maana mdomo unakuwa kama chemba ya kupitishia hewa au harufu ya mavi alojaza tumboni.
[HASHTAG]#NiacheKidogo[/HASHTAG]
 
Apige mswaki vizuri na asikae na njaa muda mrefu,at least kila baada ya masaa 2 awe kuna kitu ametafuna,inaweza kuwa pipi,karanga,korosho,bazoka n.k.Nimeamua nitaje hivyo vitu vya kutafunatafuna maana mwingine atataka kila masaa 2 apige ugali wa kushiba kisa kaambiwa asikae na njaa muda mrefu..
 
Kwanza lzm ajue anakula nini?manake watu wenye matatizo tumboni uwaga wananuka mdomo,pili akipiga mswaki ulimi ulimi ulimi,tatu akipika ugali usiku ile sufuria ya ugali aweke maji masafi yalale huko hadi asubuhi ndo hayatumie kupiga mswaki mara 3 kwa siku km inawezekana,..sokoni kuna bidhaa kibao za kusukutua mdomo kwa wenye tatizo...
 
Back
Top Bottom