Tatizo la kuwa na harufu mbaya kinywani (bad breath) - Chanzo, dawa za kuzuia na ushauri

Tatizo la kuwa na harufu mbaya kinywani (bad breath) - Chanzo, dawa za kuzuia na ushauri

Mkuu utafanya watu wacheke hapo kwenye red, kwani umeonesha stigmatization kubwa sana kwa huyo nduguyo . Ila cha kufanya tafuteni hospital std ya meno na kinywa , nina amini mtakutana na mtaalamu aliyebobea kwa mambo hiyo, kwani haon ni hao ni fangasi wa kinywani ndio wanaopuga kwenye kaya la nduguyo.

Ndugu asante sana kwa ushauri wako japo ulikaa. Kijuujuu sana lakin umrnsaidia sana, ni jana nlienda duka la dawa nkanunua ant fungle moja inaitwa oromucoral gel ametimia asubuh kufika chana imepungua akatumia jioni yani leo asubuh anapumua hewa saafi kabisa yani jadi nimeshangaa kumbe kweli yalikuwa ma fungus. Kinywa saaaafi,
 
Habari zenu wana JF.
Kuna hili tatizo la harufu mbaya mdomoni. Hata mtu akipiga mswaki kwa dawa za kawaida au sensodyne bado haiishi. Je kuna dawa yoyote ya kutumia kuondoa hii hali japo kwa mda hasa wakati wa kale ka mchezo ka ukubwani ukiwa na my wife wako.... je hakuna hata vitu vya kutafuna wajemeni..?
Wataalamu na wenye uzoefu msaada tafadhali.
 
Kunuka mdomo hakuna jinsia....

Ukikutana na mtu mwente tatizo hilo mweleze na mfundishe..... wengine wakipoga mswaki ndani ya dk 15 tayari harufu inaanza

Wengine huhitaji kusafishwa kinywa

Wengine mouthwash za mara kwa mara zinawahusu

Narudia huo ni ugonjwa na unawapata jinsia zote
 
Kunuka mdomo hakuna jinsia....

Ukikutana na mtu mwente tatizo hilo mweleze na mfundishe..... wengine wakipoga mswaki ndani ya dk 15 tayari harufu inaanza

Wengine huhitaji kusafishwa kinywa

Wengine mouthwash za mara kwa mara zinawahusu

Narudia huo ni ugonjwa na unawapata jinsia zote

Ni kweli unachosema wapo wengine ni maradhi ila nimeona Kwa baadhi wakitumia w/dent wanaswaki vizuri wanajiosha na Maji then wanaosha mswaki vizuri wanachukua w/dent wanaweka wanapiga tena alafu wanaacha povu bila ya kuosha na Maji wanabaki hivyo kila siku
 
Wapo ambao wana tatizo hilo tena ni watoto warembo sana na ni watoto wa madoctor ni wamekuwa wakitumia dawa za kila aina labda angekuja mtaalamu aweze kuwapa tiba ya kweli iweze kuwasaidia kiukweli hili ni tatizo wapo wengi nimewakuta na hili tatizo
 
Wanaonuka midomo wengi huwa na matatizo ya tumbo, coz ile harufu huwa inatoka tumboni na si mdomoni
 
Sasa huyo uliye lala nae huu ujumbe ameupata? au ni member humu? Ni vyema ukamwambia na wengine ni ugonjwa si kwamba hapagi mswaki vizuri!
Kwanza huo ugonjwa hauna jinsia bali unaweza kumpata yeyote yule!

Nafikiri kama huko serious na Una mpenzi mwenye tatizo hilo tafuta njia ya kumueleza vizuri na sio kumsimanga na ikiwezekana mpeleke kwa madaktari wa vinywa!

Pengine unapoteza muda kuwambia watu ambao hawana tatizo hilo!
Ni vyema ukakaa na mhusika ukamueleza!
 
Kunuka mdomo hakuna jinsia....

Ukikutana na mtu mwente tatizo hilo mweleze na mfundishe..... wengine wakipoga mswaki ndani ya dk 15 tayari harufu inaanza

Wengine huhitaji kusafishwa kinywa

Wengine mouthwash za mara kwa mara zinawahusu

Narudia huo ni ugonjwa na unawapata jinsia zote

Ukubwa dawa BADILI TABIA,

Ndiyo maana siyo rahisi kukuta mtu mzima na mauzoefu yake akilalama....

Halafu kwa uzoefu wangu, wanaume ndiyo mabingwa wa kunuka mdomo na wakiambiwa wanakuwa wakali...

Tulishaandika haya huko nyuma na hatutaacha kusema, tatizo la kunuka mdomo ni kubwa sana na jamii inahitaji kulitambua hivyo; kisha kuchukua hatua mathubuti.

Tuendelee kusaidiana bila kukwazana kwa kunyoosheana vidole!
 
Last edited by a moderator:
Sifa kubwa ya wanuka mdomo huwa hawajijui kama wananuka, angalia isijekuwa huyo mwenzako ndie anakuona unanuka ila anapiga kimya tu kuogopa kukukwaza.
 
naunga mkono hoja ila ushauri kwamba mwenye tatizo la kunuka mdomo aache dawa ya meno mdomoni ni upotoshaji. Dawa ya meno haitakiwi kubaki mdomoni kwani itaharibu meno. Inatakiwa kuondolewa mdomoni kwa maji ya kutosha baada ya kazi ya kusafisha mdomo kumalizika.
 
Sifa kubwa ya wanuka mdomo huwa hawajijui kama wananuka, angalia isijekuwa huyo mwenzako ndie anakuona unanuka ila anapiga kimya tu kuogopa kukukwaza.


Ukiamua kujua kama unanuka au la siyo jambo gumu.

Watu wajaribu kutafuta mada za nyumba ambapo haya mambo yalishajadiliwa kwa undani sana!
 
Mdomo utaacha kunuka mtu una mswaki sawa na umri wako kamswaki kachafuuuu kameisha kama brush la choo cha stand tuwe tunachange miswaki mara kwa mara at most 3 months na miswaki iwe mizuri.
 
Habari zenu wana JF.
Kuna hili tatizo la harufu mbaya mdomoni. Hata mtu akipiga mswaki kwa dawa za kawaida au sensodyne bado haiishi. Je kuna dawa yoyote ya kutumia kuondoa hii hali japo kwa mda hasa wakati wa kale ka mchezo ka ukubwani ukiwa na my wife wako.... je hakuna hata vitu vya kutafuna wajemeni..?
Wataalamu na wenye uzoefu msaada tafadhali.
Dawa zipo..hilo tatizo ni dogo tu!!Karibu Ofisi zetu za Oriflame zilizoko posta Dar au piga 0655868643 utapatiwa maelekezo
 
tafuna karafuu punje 4 kwa siku mara 3 kwa muda wa mwezi 1 ulete mrejesho.ukishatafuna yale matemate ya karafuu unakua kama unasukutua usiteme meza.nidawa ya meno pia na kama una tatizo la tezi ama koo linapona maana.penda kuswaki kila baada ya kula hata kama upo ofisini nenda na mswaki wako ukimaliza tafuna karafuu zako yaani kinywa kinanukia vizurii.
 
Mara nyingine harufu inaanzia tumboni kama umezoea kula vyakula vilivyokobolewa ambavyo havina fibre kwenye kuta za tumbo kunabaki utando laini wa vyakula vinavyooza hatimaye kutoa harufu.
 
Tripo9 Ni hapo hapo Dar ukifika Samora mnara wa Askari kama unatokea Posta Mpya Jengo lipo upande wa kushoto hapo hapo around about ukifika hapo sema shida yako kuna dokta mmoja sikumbuki jina Muhindi atakuuliza maswali inakuwaje kisha kama ipo atakupa kama imeisha atakwambia njoo kesho wanachanganya hapo hapo. Na jamaa alipona kwa Wiki mbili tu kisha hata leo akiamka asubuhi asipopiga mswaki sawa tu kwani hapo zamani alikuwa anapiga mara tano hata sita kwani anaweka mswaki kwenye gari lake. Pole sana ukipotea sema, kwani hapa natafuta namba ya huyo dr. alitupaga sasa nikipata naweka hapa ok

samahani mkuu nijahitaji kufika hapo ulishapata hiyo namba ya simu kwani nami nina shida kama hiyo
 
mkuu original pastor kwa kipindi hicho ndugu yako ilimgharimu tsh ngapi?
 
Wadau nina tatizo la tumbo kujaa gesi sasa nlishauriwa nitumie kitunguu swaumu.Kiukweli kinanisaidia sana,lakini tatizo ninalokumbana nalo ni kutoa harufu mbaya mdomoni.Watalaamu naombeni kama kuna njia ya kupunguza/kumaliza hilo tatizo la harufu mdomoni!
 
tafuna big G mkuu tena zile za bazoka/Mint.. itasaidia kupunguza tatizo
 
Back
Top Bottom