Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Nyani ngabu ametoa maelekezo jinsi ya kufanya usafi wa kinywa, lakn hajakwambia namna ya ku approach hiyo kitu.
Ninkazi sana kumwambia mtu mzima ananuka mdomo coz ninafsi unakuta hajitambui na anaona kama kawa tu.
Harufu ya kinywa huwa ni suala tete sana.