Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Ukaamua uvumilie bora ukae?Siti zilikua zimejaa sikuwa na namna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukaamua uvumilie bora ukae?Siti zilikua zimejaa sikuwa na namna
Niligeuza shingo mwanzo mwisho, mpaka nafika uzuri haikua dp safari ndefuUkaamua uvumilie bora ukae?
Wahaya na usmart wao woote lkn wananuka midomo. Yaani sijui wanaingiaje chumvini kwa wake zaoo
Wahaya na usmart wao woote lkn wananuka midomo. Yaani sijui wanaingiaje chumvini kwa wake zaoo
Lakini pia usafi wao wa kinywa si wa uhakika. Wanapiga mswaki lakini hawasafishi ulimi. Ulimi ukiwa mchafu hata usafishe meno vipi, mdomo lazima utatoa kama machinjio....Wakati mwingine watu hawa huwa na maambukizi kakika mfumo wa kinywa na hewa.Hata akiishi kwenye kiwanda cha dawa za kupigia mswaki bado shida itabaki palepale.Cha msingi ni tiba.
Kumbuka pia kuna maradhi mengine ambayo huwa si ya kuambukiza mf.kisukari yasipokuwa na matibabu mazuri hufanya kinywa kuwa na harufu mbaya.Usafi wa kinywa kwa usahihi nakubaliana na we we ni wa muhimu sana.Lakini pia usafi wao wa kinywa si wa uhakika. Wanapiga mswaki lakini hawasafishi ulimi. Ulimi ukiwa mchafu hata usafishe meno vipi, mdomo lazima utatoa kama machinjio....
Nilishafanya utafiti wa kutosha. Si mademu si machalie.Not fair mkuu. Jaribu kuwa muungwana na heshimu makabila ya watu.
Na vikwapa ni balaaa yaan na hilo ni tatizo kubwa ,unakuta mdada kavaa vizurii lakin kwapa linatema,na deodorant 5000 niveaSiyo mdomo peke yake.. Na vikwapa pia...
HahahahahahNilishafanya utafiti wa kutosha. Si mademu si machalie.
Hapo sasa ndio angeniudhiiiiii atiHakukuomba namba ya simu?
Wavuta sigara nao wananuka midomoWakuu kunuka mdomo kuna mechanism nyingi. 1.kula vyakula vyenye starch nyingi hupelekea mdomo kutoa harufu 2.kutokuwa makini wakati wa kufanya usaf ndan ya kinywa chako 3.magonjwa mbalimbali yanayosumbua turbo na kimya IE. Respiratory diseases, lung disorders 4.pombe, hapa walev inabd muwe makin kufanya usafi hasa asbh5. Wagonjwa wa kisukar japo hii harufu mara nyingi huwa na harufu Kama ya [emoji519] Apple. Usimcheke anaenuka mdomo, mshauri amuone daktari.
Ahsanten
Kama nakuona unavyobetua midomo na kusonyaHapo sasa ndio angeniudhiiiiii ati
Sigara siyo rahis labda kama unamatatizo mengine.Wavuta sigara nao wananuka midomo
Hivi angeanzisha story na wewe si ndio ungezirai kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Niligeuza shingo mwanzo mwisho,mpaka nafika uzuri haikua dpsafari ndefu
Aiseeee ningemchunia na kumwambia anyamazeHivi angeanzisha story na wewe si ndio ungezirai kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23]