Tatizo la kuwa na ukungu katika kutunza kumbukumbu limenianza taratibu, nifanye mambo yapi ili kulitatua ama kulipunguza?

Tatizo la kuwa na ukungu katika kutunza kumbukumbu limenianza taratibu, nifanye mambo yapi ili kulitatua ama kulipunguza?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Nimekuwa na tatizo la kusahau sahau yani kitu kidogo tu kukitunza akilini nikifanye baada ya mda flani ama nikifatilie imekuwa ni ishu,

Bado mimi ni kijana nina miaka 32 kwakweli naanza kuogopa hali itakuwaje nikifikia huko 50 - 60+

Kwa sasa situmii kilevi ila hapo nyuma tangu 2013 hadi 2022 nilikuwa navuta sigara 2 hadi 3 kwa siku, November mwaka jana niliacha kabisa maana nina familia

Bangi sivuti, kama ilivyo kwa vijana wengi kutaka kujaribu jaribu, niliwahi kujaribu mara mbili tu miaka ya 2014.
 
Niliwahi kuvuta mara 2 kwa kujaribu nikiwa chuoni, kama ilivyo kwa pombe watu wengine kuishindwa na mimi bangi niliweka pembeni.
Ulifanya makosa sana,tatizo limeanzia hapo baada ya kupiga puff halafu ukaacha
 
Nimekuwa na tatizo la kusahau sahau yani kitu kidogo tu kukitunza akilini nikifanye baada ya mda flani ama nikifatilie imekuwa ni ishu,

Bado mimi ni kijana nina miaka 32 kwakweli naanza kuogopa hali itakuwaje nikifikia huko 50 - 60+

Kwa sasa situmii kilevi ila hapo nyuma tangu 2013 hadi 2022 nilikuwa navuta sigara 2 hadi 3 kwa siku, November mwaka jana niliacha kabisa maana nina familia

Bangi sivuti, kama ilivyo kwa vijana wengi kutaka kujaribu jaribu, niliwahi kujaribu mara mbili tu miaka ya 2014.
Tafuna Bamia mbichi then utakuja kunishukuru.
 
pilipili manga kwa wingi ndio kiboko yake black pepper. Njoo PM kwa maelezo zaidi
 
Mzee kwa umri wako nakushauri anza kufanya mazoezi yanayohotaji wewe kutumia akili kama kucheza mpira n.k
Mimi nina 34 years na mazoezi yananisaidia sana kuweka kumbukumbu vizuri. Uwe unafanya jioni saa moja utaboresha na kuzuia tatizo lako lisiendelee kabisa au kulipunguza kasi.
 
Nimekuwa na tatizo la kusahau sahau yani kitu kidogo tu kukitunza akilini nikifanye baada ya mda flani ama nikifatilie imekuwa ni ishu,

Bado mimi ni kijana nina miaka 32 kwakweli naanza kuogopa hali itakuwaje nikifikia huko 50 - 60+

Kwa sasa situmii kilevi ila hapo nyuma tangu 2013 hadi 2022 nilikuwa navuta sigara 2 hadi 3 kwa siku, November mwaka jana niliacha kabisa maana nina familia

Bangi sivuti, kama ilivyo kwa vijana wengi kutaka kujaribu jaribu, niliwahi kujaribu mara mbili tu miaka ya 2014.
Una nyetuka??
 
Nimekuwa na tatizo la kusahau sahau yani kitu kidogo tu kukitunza akilini nikifanye baada ya mda flani ama nikifatilie imekuwa ni ishu,

Bado mimi ni kijana nina miaka 32 kwakweli naanza kuogopa hali itakuwaje nikifikia huko 50 - 60+

Kwa sasa situmii kilevi ila hapo nyuma tangu 2013 hadi 2022 nilikuwa navuta sigara 2 hadi 3 kwa siku, November mwaka jana niliacha kabisa maana nina familia

Bangi sivuti, kama ilivyo kwa vijana wengi kutaka kujaribu jaribu, niliwahi kujaribu mara mbili tu miaka ya 2014.

1: Jikague kiasi cha stress unazokumbana nazo. Angalia yaliyo ya msingi kwenye maisha, rekesha yanayowezekana na yasiyowezekana angalia jinsi ya kuishi nayo.

2: Tengeneza ratiba yaki ya siku na kuweka kumbukumbu zako muhimu kimaandishi.

3: Jitahidi kupata mlo kamili.

4: Pata muda wa kupumzika na kufurahia maisha bila kuvunja sheria.

5: Pata muda wa mazoezi mepesi/aerobics.
 
Kapime hormone pia anza kutembea na note book na peni
Hio note book na pen utakaa nayo, utaandika to do list na pia utasahau kuyasoma uliyoyaandika.

Tatizo lifestyle ya sasa... mambo mengi, muda mchache, kichwa nacho kinajaa mambo mpk kinagoma kuweka, matokeo yake vengine inabidi vibaki nje
 
Kula vizuri.
Pumzika.
Fanya mazoezi.
Funga(fasting).
Punguza sana matumizi ya simu yasiyo na ulazima


Acha ngono na kujichua.


Asante
 
Back
Top Bottom