Sadbeez othman
New Member
- Jul 20, 2021
- 2
- 2
najua hizi dawa ni za depression/sonona na other mood disorders na moja ya side effects zao ni kushusha libido/nyege. nauliza kama zimepitishwa na wizara au FDA kutumika kwenye prematture ejaculation?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
najua hizi dawa ni za depression/sonona na other mood disorders na moja ya side effects zao ni kushusha libido/nyege. nauliza kama zimepitishwa na wizara au FDA kutumika kwenye prematture ejaculation?
Unaweza kutaja hizo dawa ambazo zinapunguza hisia kwa majina ambazo nitazipata pharmacy maana nimeteseka kutafuta dawa mm ukwel dk 1 haifiki tayar jap choki lkn namaliza mapema nimemtumia dawa za kimasai bad so hep niandikie hiz nazonajua hizi dawa ni za depression/sonona na other mood disorders na moja ya side effects zao ni kushusha libido/nyege. nauliza kama zimepitishwa na wizara au FDA kutumika kwenye prematture ejaculation?
Kijani Mimi nimejichua kwa miaka sita na kuangalia porn pia ingawa sio Mara kwa Mara mpaka nikawa addicted lakin uume wangu unasimama vzr tu na yote hiyo kisa nyege.Unaweza kutaja hizo dawa ambazo zinapunguza hisia kwa majina ambazo nitazipata pharmacy maana nimeteseka kutafuta dawa mm ukwel dk 1 haifiki tayar jap choki lkn namaliza mapema nimemtumia dawa za kimasai bad so hep niandikie hiz nazo
Hii tangawiz na kitunguu swaumu unakulaje unakulaje zikiwa mbichi unatafuna na kumeza?Kijani Mimi nimejichua kwa miaka sita na kuangalia porn pia ingawa sio Mara kwa Mara mpaka nikawa addicted lakin uume wangu unasimama vzr tu na yote hiyo kisa nyege.
Lakin baada ya kutumia dawa ya kucontrol chunusi inayoitwa acnotin 10 na nilipewa na daktari hospital kabisa nilipungukiwa nyege na asubuhi nilianza kukosa erections. Mwanzo sikujua lakin baada ya kupata demu na kukosa msisimko kidogo mno yaan Hadi uume ulisimama kidogo niliogopa na kuaibika mno siku ile .
Baadae nikaja kusoma mtandaoni forum fulan ya uk nikaja kugundua kuna malalamishi mengi kuhusu hii dawa.
Baada ya kuwaza Sana nikaona niache punyeto na kuangalia porn kwa mwezi mmoja huku nikila matikitiki na ndizi Sana. Na ni kweli nilianza kupata morning erections na Hadi kupata wet dreams na nikachafua mashuka.
Baada ya hapo nikawa nakula tikiti na ndizi huku Nikila mchanganyiko wa asali, kitunguu swaummu na tangawizi na chai asubuhi ni tangawizi na mdalasini. Sasa hiv naona Kama nimepona nasimamisha kila sehemu na demu analiwa vzr tu
Chukua asali changanya na vitunguu swaumu vilivyomenya na kusagwa na tangawizi iliyosagwa tengeneza juisi iwe nzito .Hii tangawiz na kitunguu swaumu unakulaje unakulaje zikiwa mbichi unatafuna na kumeza?
Dhuuuu aloooo c chunguChukua asali changanya na vitunguu swaumu vilivyomenya na kusagwa na tangawizi iliyosagwa tengeneza juisi iwe nzito .
Kunywa kijiko kimoja kila siku asubuhi na jioni
Weka asali nyingi itakuwa ya kawaida sema inayowashaDhuuuu aloooo c chungu
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji87] dhaaaa mkuu sasa utamu waMimi nikiiona tu K hata kama ni kwa mbali huwa namwaga hapohapo.
Sawa mkuu ngoja ntachanganya na melon Kwa wingiWeka asali nyingi itakuwa ya kawaida sema inayowasha
ulisaidika kweli wwWakuu habari zenu,
Mimi ni kijana wa miaka 28. Kuna hali imenitokea mpaka nashindwa kujielewa kabisa. Nimekuwa napata wakati mgumu sana wakati wa kushiriki tendo na mwenzangu. Mwanzo nilikuwa naenda dakika 7-10 kwa round ya kwanza no nimwage. Na nilikuwa nachukua dakika 30-40 kwa round ya pili. Na kwa round ya tatu ilibidi nichukue mpaka lisaa ndo nimwage.
Sasa hapa katikati nashangaa mambo yamebadilika sana ,yaani nachukua dakika moja tu nishamwaga wazungu! na hapo itanibidi nisubiri mpaka lisaa kwa kurudi tena mchezoni. Wakati mwanzo ilikuwa inanichukua dakika 5 tu na kuendelea kwa round nyingine. N a nikirudi tena dakika mbili nyingi nishamwaga.
Ninaomba msaada kwa hili tatizo kwani nimefanya sana mazoezi na kubadilisa diet ila bado ninasumbuka na hili tatizo.
Wapi nitapata specialist wa hili tatizo?
Asanteni sana.
New PackageSOLUTION SOLUTION SOLUTION
Usipite bila ya kusema chochote kama umetumia hii dawa.
NB: DOSE NI CHUPA 1 BEI 20000TSH
TUNAKUFIKISHIA NDANI YA DAR-ES- SALAAM BURE
Poleni sana mnaoteseka na kudhalilika kitandani
Sema neno kwa nini unasababu za kutumia
#halbat_taumu
Kuna sababu million 1 za kutumia #HALBAT_TAUMU
Mke "Anifikishi kileleni mara akipiga moja imelala mara haisimami vizuri"
Ona Aibu pesa tarehe yake tendo
Ukifanikiwa kunywa chupa 1 ya halbat taumu ndani ya 1 week itakupa matokeo mazuri kabisa kama utakunywa dose 2 yaani chupa 2 utamaliza tatizo kabisa naomba nikusaidie kwa kukupatia product yangu ya halbat taumu
TATIZO LA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME
Awali natoa pole kwa wote wenye shida hii. Pia wanapa faraja na ufumbuzi wa tatizo hili kupitia product zangu za Asilia kabisa kwa kutibu hii shida..
1.kuwahi kufika kileleni
2.kushindwa kurudia tendo la ndoa
3.misuli kusimama lege lege
4.kutopata manii yakutosha
5.kutokuwa na uwezo wa kumpa mimba mwanamke
dawa no #Halbattaumu toka ofisi zetu zilizo Mkunguni,Manzese.Dar no. sale &suppy +255684-765575
kalibuni wote tunywe kwa AFYA YA UZAZI NA KIUME [emoji1643]
HALBAT TAUMU kwa Afya & kinga
FURAHIA USIKU WAKO NA #HALBAT_TAUMU
Mkubwa wa ulingo ni HALBAT TAUMU
Tokomeza tatizo la Nguvu za kiume rudisha heshima kitandani jenga urafiki na HALBAT TAUMU ufurahie tendo la ndoa.
RUDISHA TABASAM LAKO SASA ACHA KUJIOGOPA
BEI 20000TSH
Inapatikana Manzese Mkunguni no. 0684765575View attachment 2031376
Mimi tatizo langu nachelewa kufika kileleni tofauti na zamani,siku hizi ni 30+ minutes ndo namaliza,nilikuwa nafanya hayo mazoezi ya kegel baada ya kusoma mahali.Imekuwa kero.Nawezaje kupunguza hili jambo?
Karibu PM nikuuzie vumbi la CongoWakuu habari zenu,
Mimi ni kijana wa miaka 28. Kuna hali imenitokea mpaka nashindwa kujielewa kabisa. Nimekuwa napata wakati mgumu sana wakati wa kushiriki tendo na mwenzangu. Mwanzo nilikuwa naenda dakika 7-10 kwa round ya kwanza no nimwage. Na nilikuwa nachukua dakika 30-40 kwa round ya pili. Na kwa round ya tatu ilibidi nichukue mpaka lisaa ndo nimwage.
Sasa hapa katikati nashangaa mambo yamebadilika sana ,yaani nachukua dakika moja tu nishamwaga wazungu! na hapo itanibidi nisubiri mpaka lisaa kwa kurudi tena mchezoni. Wakati mwanzo ilikuwa inanichukua dakika 5 tu na kuendelea kwa round nyingine. N a nikirudi tena dakika mbili nyingi nishamwaga.
Ninaomba msaada kwa hili tatizo kwani nimefanya sana mazoezi na kubadilisa diet ila bado ninasumbuka na hili tatizo.
Wapi nitapata specialist wa hili tatizo?
Asanteni sana.
Watu wengi wanaona kama vumbi la Congo halifai, hawa ni wale wanaamini kwenye vyakula na mazoezi wakati kwa upande wao hilo haliwezekani tena. Kuleni chakula vizuri then Paka vumbi lako mtanishukuru baada ya mechi.Mkuu vp lete mrejesho? kuna mbinu yoyote ilokusaidia? kama hakuna vaa kiremba hutajutia.