Tatizo la kuwashwa mwilini baada ya kuoga: Fahamu chanzo, ushauri na tiba

Tatizo la kuwashwa mwilini baada ya kuoga: Fahamu chanzo, ushauri na tiba

Pole Sana! Mie tatizo hilo linanikuta hasa nikioga maji ya baridi. Nafuu yangu ninapooga maji ya moto. Kushindana na hali hiyo mara baada ya kuoga huwa navaa jacket zito ili mwili kupata joto haraka. Hospitali zote nilizopita sijapata majibu ya kutatua tatizo wala kuweka hapa. Narudia kukupa pole maana shida hiyo ninaiishi.

Huenda hili likawa jibu sahihi zaidi manake hata mm njii hii nimeitumia sana na imenisaidia, maji ya chumvi yana tabia hii pia. So ukitoka kuoga vaa koti zito au jifuke blanket kubwa ili mwili uattain jotoridi la kawaida.
 
Jamani mimi pia nina hili tatizo, lakini mimi nikioga bila kujisugua na dodoki sipati muwasho wowote yawe maji ya chumvi sijui ya moto au baridi, lakini nikitumia tu dodoki kujisugua sehemu yeyote cha moto nitakipata kwa muda wa dakika tano mpaka pale nitakapo jifuta maji vizuri na kupaka mafuta, mwenye utashi na hili swala anisaidie tafadhali.
 
Sidhani kama kuna dawa hospital, nilizunguka wewe but dawa ni hii ukimaliza kuoga jikaushe fasta paka mafuka then vaa nguo, hayo yote yafanye ktk muda mfupi maybe utasaidika, mimi ndivyo ninavyofanya japo wakati mwingine nikipigwa na baradi hasa ile ya jioni jioni nawashwa pia so muda mwingi nakuwa na mtandio au jacket nikijifunika tu siwashi. Ni shidaaaaa yaani


Ndugu zangu huu ni mwaka wa 10 tangu tatizo la kuwashwa kila nikioga linianze nishazunguuka mpaka sasa nimechoka yoyote anae weza kunisaidia jinsi ya kupona naomba anisaidie
 
Nafikiri naweza kuwasaidia katika hili wale wote wenye tatizo la kuwashwa watumiapo maji ya baridi au ya chumvi: Tatizo hili mara nyingi linasababishwa na mambo makuu mawili

1) kuwa na minyoo
2) kuchafuka damu, yaani damu kuchafuka na wengine wanaota majipu kabisa.

SOLUTION: Hebu tumieni dawa moja ya kienyeji inaitwa Oloodwa(kwa kimasai) inachanganywa kwny chai ya rangi au kula hivyo hivyo japo inawasha sanaaa kwny koo.Tatizo likiwa chronic kuna nyingine wamama wa kimasai wanamix na hiyo kwa pamoja.

Hiyo ni dawa specifically kwa ajili ya kusafisha damu tu na pia kuupa mwili joto hata kama hali ya hewa nje ni ya baridi.

Nawatakia mpole salama.
 
Kumbe tuko wengi mimi nikoga maji baridi nawashwa sana ila maji moto aaahh napeta tu hujasema waoga maji gani

hii issue ni complicated sana....mimi niliambiwa ngozi ina mafuta sana na nikashauriwa niache/au nipunguze sana kula nyama au nile nyama kavu zilizobanikwa kwanza. Nikafanya hivyo hali ikaisha....nikafanya upuufu wa kuanza kufakamia nyama hali ikarudi. nikakoma kula nyama mara kwa mara
 
Sidhani kama kuna dawa hospital, nilizunguka wewe but dawa ni hii ukimaliza kuoga jikaushe fasta paka mafuka then vaa nguo, hayo yote yafanye ktk muda mfupi maybe utasaidika, mimi ndivyo ninavyofanya japo wakati mwingine nikipigwa na baradi hasa ile ya jioni jioni nawashwa pia so muda mwingi nakuwa na mtandio au jacket nikijifunika tu siwashi. Ni shidaaaaa yaani

Ahsante kwa ushauri yaani nikitaka kuoga nawaza sana
 
Nafikiri naweza kuwasaidia katika hili wale wote wenye tatizo la kuwashwa watumiapo maji ya baridi au ya chumvi: Tatizo hili mara nyingi linasababishwa na mambo makuu mawili

1) kuwa na minyoo
2) kuchafuka damu, yaani damu kuchafuka na wengine wanaota majipu kabisa.

SOLUTION: Hebu tumieni dawa moja ya kienyeji inaitwa Oloodwa(kwa kimasai) inachanganywa kwny chai ya rangi au kula hivyo hivyo japo inawasha sanaaa kwny koo.Tatizo likiwa chronic kuna nyingine wamama wa kimasai wanamix na hiyo kwa pamoja.

Hiyo ni dawa specifically kwa ajili ya kusafisha damu tu na pia kuupa mwili joto hata kama hali ya hewa nje ni ya baridi.

Nawatakia mpole salama.

Ahsante kwa ushauri naomba nichk kwa namba hii ili unielekeze kwa kuipata +258845418066
 
Mkuu hiyo itakuwa ni Water allergy au Aquagenic urticaria. Ni allergy dhidi ya maji ya moto au baridi au yenye chlorine au yasiyowekwa chlorine. Ni kitu kinachotokea watu wachache sana. Tiba yake inaweza ikawa ni supportive zaidi, kama:
1. Ikiwa chanzo chake ni maji ya moto basi oga ya baridi, kama ya baridi tumia maji ya moto na kama shida ni chlorine inayowekwa kwenye maji basi huwa kuna shower gel ya kuondoa chlorine mwisho wa kuoga au utafute purifier ambayo itatoa chlorine. Hapo kwenye chlorine ni issue kubwa.
2. Ikiwa unapata allegy ukigusa tu maji, basi waweza tumia oily cream au gel kupaka mwilini kabla ya kuoga au kuogelea. Hupunguza muwasho kiasi kikubwa.
3. Epuka kukaa muda mrefu ndani ya maji.
4. Nguo za pamba na linen husaidia kupunguza dalili. Tumia taulo lenye pamba asilimia 100.
5. Epuka kutumia vyakula vyenye viungo vingi na vyakula vinavyokaangwa. Pia epuka kunywa pombe na kahawa, maana vitu hivyo vitaongeza tatizo.
6. Muone daktari wa magonjwa ya ngozi.

Ahsante kwa ushauri mkuuu
 
Pole Sana! Mie tatizo hilo linanikuta hasa nikioga maji ya baridi. Nafuu yangu ninapooga maji ya moto. Kushindana na hali hiyo mara baada ya kuoga huwa navaa jacket zito ili mwili kupata joto haraka. Hospitali zote nilizopita sijapata majibu ya kutatua tatizo wala kuweka hapa. Narudia kukupa pole maana shida hiyo ninaiishi.

Ahsante
 
Duh!! Hadi nilikuwa naona aibu kusema!! Yaani hili tatizo limenitesa kwa miaka mingi,nimejaribu dawa kadhaa za hospitali bila mafanikio,ila niligundua njia moja ambayo kidogo inanisaidia,nikioga asubuhi tatizo linakuwa kubwa zaidi,ila nikioga jioni/usiku huwa napata nafuu kidogo,

Hasa nikioga na kuwahi kujifuta na kuingia kitandani ASAP na kujifunika gubigubi,huwa pia nikiwa katika hali hiyo ya kuwashwa napata kichefuchefu sana, sitki nione kitu chochote kichafu wala sitaki niguswe na kitu nilicho na mashaka nacho,hali hiyo huwa inadumu kwa dakika kumi hadi thelathini!! Ni shida wakuu.
 
Duh!! Hadi nilikuwa naona aibu kusema!! Yaani hili tatizo limenitesa kwa miaka mingi,nimejaribu dawa kadhaa za hospitali bila mafanikio,ila niligundua njia moja ambayo kidogo inanisaidia,nikioga asubuhi tatizo linakuwa kubwa zaidi,ila nikioga jioni/usiku huwa napata nafuu kidogo,hasa nikioga na kuwahi kujifuta na kuingia kitandani ASAP na kujifunika gubigubi,huwa pia nikiwa katika hali hiyo ya kuwashwa napata kichefuchefu sana,sitki nione kitu chochote kichafu wala sitaki niguswe na kitu nilicho na mashaka nacho,hali hiyo huwa inadumu kwa dakika kumi hadi thelathini!! Ni shida wakuu.

Mkuu hii itakuwa minyoo tu na sii kitu kingine na ndio maana unapata kichefuchefu tumia dawa za asili za minyoo ndg yangu. Nina uhakika tokea mwk 1997 sijatumia dawa ya hospital haya ya minyoo, labda panadol na sikumbuki ni lini

Hata hivyo ni ushauri tu,ukiweza tumia dawa za asili coz zinatibu moja kwa moja kuliko za hospital...utatibu mara kwa mara,
 
Ahsante kwa ushauri naomba nichk kwa namba hii ili unielekeze kwa kuipata +258845418066

Mkuu hii dawa Oloodwa inapatikana kiurahisi kuliko zingine,sehemu zingine wanaita Ngesi, kwa Arusha mjini nenda soko kuu kule nyuma kbs karibu na wanapouza samaki

Wale wazee wa kimasai wanajua na jinsi ya kutumia,Nafikiri pia maeneo mengine nchini ipo sisi tulikuwa tunapewa toka tukiwa primary...For sure they helped us alot.
 
Mkuu hii dawa Oloodwa inapatikana kiurahisi kuliko zingine,sehemu zingine wanaita Ngesi, kwa Arusha mjini nenda soko kuu kule nyuma kbs karibu na wanapouza samaki

Wale wazee wa kimasai wanajua na jinsi ya kutumia,Nafikiri pia maeneo mengine nchini ipo sisi tulikuwa tunapewa toka tukiwa primary...For sure they helped us alot.

Ahsante ngoja nifanye hivyo
 
Mimi ni medical student na pia ni muathirika was tatizo hilo. Nilianzwa na tatizo hilo nikiwa kidato cha kwanza mwaka 2005 na ilikua sababu kubwa ilionipelekea kupata hamu ya kusoma udaktari kwan nilihangaika vya kutosha.

Tatizo hilo linaitwa urticaria linaweza kua acute or chronic na linasababishwa na uzalishwaji wa chemically iitwayo histamine kwa wingi ambayo pia husababishwa na pressure, coldness, n.k Tiba sahihi ya matatizo haya ya allergy inapatikana kwenye clinic za magonjwa ya ngozi yan dermatology department ambako kuna madaktari bigwa yan specialists kwa ajili ya ngozi tu hawa ndio wanaweza kukupa tiba sahihi.

Kwa DSM tembelea hospital ya muhimbili jengo la wagonjwa was nje (new OPD). kanda ya kaskazini tembelea hospitali ya KCMC kitengo cha dermatology.
 
Back
Top Bottom