Tatizo la kuwashwa mwilini baada ya kuoga: Fahamu chanzo, ushauri na tiba

Tatizo la kuwashwa mwilini baada ya kuoga: Fahamu chanzo, ushauri na tiba

Nshaombewa pia mkuu especially my Mom ana upako sana every neighborhood use her prayer and win lkn mm bado kwa kweli.
Pole sana!
Tuwe na busara kumshauri mtu anapohitaji msaada wa kimatibabu. Imani ina nafasi yake katika uponyaji na matibabu yana nafasi yake katika uponyaji.

Imani katika kuomba ni jambo jema lakini pia matibabu ni muhimu ndio maana Mungu aliwapa watu wengine uwezo wa kuwa Madaktari.

Allergies inaweza kuwa sababu kubwa kama ulishatibiwa bila mafanikio. Ingawa unaweza kucheck organs zako kidney, liver magonjwa mengi yanajificha huko. Ni ushauri tu mpendwa!

Allergy inaweza kutokana na mimea inayokuzunguka chakula mafuta ya kupikia au ya mwili, sabuni, dawa, perfumes au air freshners.
 
Kuna majani nimgekua tanga ngekutumia bure unajifukiza na mengine unaogea
 
Iko wapi mkuu,nitafurahi kama litatatuliwa tatizo langu walah,sijui nitatoa shukria kubwa iliyoje,Naumia sana ukiona hivyo.
Ekenywa ipo magomeni dar,ni mbele ya kituo cha mikumi
 
Niliwah kupata hilo tatizo, ila mimi ilikuwa ni minyoo ya tumboni.
Nikikaa muda mrefu sana bila kumeza dawa za minyoo huwa linarudi.

Kipindi sijapata solution nilitamani nitoke duniani maana nlikuwa sina. Amani.
Mkuu so unanishauri labda nianze kumeza dawa za minyoo?
 
Kuna majani nimgekua tanga ngekutumia bure unajifukiza na mengine unaogea
Yanaitwaje mkuu? Pengine nikayatafuta huku nilipo afu ukawa msaada nisiotaraji,ningefurahi mno sio siri.
 
Mkuu so unanishauri labda nianze kumeza dawa za minyoo?
Dawa za minyoo unaweza kumeza tu single doze haina tatizo. Ila ni bora ukaanza kupima upate uhakika.

Daktari alienitibu aliniambia hivi.......

Minyoo inakaa kwenye utumbo na inakula chakula unachoweka tumboni na pia inatoa uchafu kama viumbe wengine

Tatizo linaanza pale uchafu au mkojo au wastes za minyoo zinakua absorbed pamoja na chakula vinaingia kwenye damu.

Hapo ndo allergy au huo muwasho unapoanza.
 
Aisee wakuu Mimi pia Nina hilo tatizo

Yaani nikotoka kuoga tu hasa maji ya baridi nina washwa na mwili hatari wakuu msaada tafadhali.
 
Back
Top Bottom