Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii mijitu ikishaanza kuvaa sare inakuwa mipumbavu kweliSikuhizi wanaukata na kukatika kwa hasira tangu tangazo la Waziri Makamba kuwapa wiki mbili. Nah changes thau
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Jinga sana wewe,mtu analeta hoja za wazi we unakalia kuwatetea kisa tu una vijimaslahi vyakoTanesco mpya imeanza kazi hofu yako ni nini? Tanesco ya akina Kalemani na Tito Mwinuka haina nafasi tena, tutegemee mambo mazuri
Kama kuna shirika gumu kuliongoza nadhani TANESCO inashika namba moja.Ni siku ya pili sasa kuna tatizo kubwa ya Luku. either kwa kununua kwa njia ya mitandao ama kwa wakala wao.... Waziri mpya tulijua umeingia kuongeza kasi kumbe mambo ni yale yale...
Atta, kitambo sana EgyptTanesco mpya imeanza kazi hofu yako ni nini? Tanesco ya akina Kalemani na Tito Mwinuka haina nafasi tena, tutegemee mambo mazuri
Katika manifesto ya Chadema kama sikosei walizungumzia kuligawanya Shirika hilo. Kuwepo na moja la Production ya umeme na lingine la Distribution ya umeme.Kama kuna shirika gumu kuliongoza nadhani TANESCO inashika namba moja.
Hii ingesaidia sana sababu anayezalisha umeme atakuwa na threshold yake na muuzaji hivyohivyo. Ila hii ya kuliacha lizalishe na kuuza wanabweteka sanaKatika manifesto ya Chadema kama sikosei walizungumzia kuligawanya Shirika hilo. Kuwepo na moja la Production ya umeme na lingine la Distribution ya umeme.
Nadhani huo ungekuwa utatuzi mkubwa sana
Mbona mimi nimenunua jana via airtel sijaoata tatizo kabisa.Ni siku ya pili sasa kuna tatizo kubwa ya Luku. either kwa kununua kwa njia ya mitandao ama kwa wakala wao.
Waziri mpya tulijua umeingia kuongeza kasi kumbe mambo ni yale yale...