Dynamic Mult-talented Man
New Member
- Oct 19, 2019
- 1
- 1
Habari nyote! Mi mgeni humu! Naomba kukaribishwa. Tahadhari juu ya jibu lako khs mate ya mbwa. Ikitokea mbwa huyo ana vimelea vya Rabies mhusika ataambukizwa na itakuwa hatari zaidi kuliko hiyo fungal infection. Nashauri mate ya mbwa yasitumike. Ni ushauri tu kwa uelewa wangu. Kikubwa tengeneza mazingira yasiyo rafiki kwa fungus wao wenyewe watakimbia. Mfano ukavu na isafi. Asante.Nijuavyo mimi mate ya mbwa ni dawa ya kidonda,hata kama kilikua cha ndagu...kitakauka