msaada dem wangu anafangasi sana anawashwa na kujikuna mpaka anatoa uchafu wa njano kiasi kwamba tukitumia kinga wakati sex uchafu wote mweupe unaomtoka unapandaa juu ya ndom msaaada atumie dawa gani kwa hosp kaenda kapewa dox kamaliza doz hiyo hali imerudi tena
Wanajamvi heshima kwenu,
mimi nilisumbuliwa na fangas kwa muda mrefu sana kwenye sehemu za siri, lakini namshukuru mungu nimepona ila wakati naumwa mapaja yangu yalibadilika na kuwa meusi sana mpaka yanakawa yanatisha sana ila kadri siku zinavyosonga yanaanza kubadilika, sasa naja kwenu jf doctors kwa ushauri wenu kuwa nawezaje kupata dawa ya kupaka ya kuweza kuondoa huo weusi?
Nitashukuru sana wandugu endapo nitafanikiwa kwa hili,
samahi fangas ya sehemu za siri inakuaje
kitunguu saum ndo kila ki2
mkuu endelea kuomba mung ili siku moja ikupate utajua inakuaje.
Paka apple cider vinegar au white vinegar 3x kila siku hadi weusi uishe- approx. 14 days
paka apple cider vinegar au white vinegar 3x kila siku hadi weusi uishe- approx. 14 days
Wanajamvi heshima kwenu,
mimi nilisumbuliwa na fangas kwa muda mrefu sana kwenye sehemu za siri, lakini namshukuru mungu nimepona ila wakati naumwa mapaja yangu yalibadilika na kuwa meusi sana mpaka yanakawa yanatisha sana ila kadri siku zinavyosonga yanaanza kubadilika, sasa naja kwenu jf doctors kwa ushauri wenu kuwa nawezaje kupata dawa ya kupaka ya kuweza kuondoa huo weusi?
Nitashukuru sana wandugu endapo nitafanikiwa kwa hili,
kwa watu wanene mara nyingi kuna confusion.kuna msuguano katikati ya mapaja unaosababisha ngozi kubadilika rangi kuwa nyeusi na wakati mwigine unatokea usugu fulani hivi,sasa hii watu wengi hudhania ni fungus.kwa hiyo wanaanza kutumia dawa za fungus miaka nenda rudi lkn hawaponi.sasa hili tatizo lako sina hakika kama sio huu msuguano.maana fungus ikishapona hatutegemei iache makovu,kwa kawaida ngozi hurejea ktk hali yake ya kawaida.
Ushauri wangu,ungemtafuta mtalamu wa magonjwa ya ngozi akuangalie ili ijulikane kama kweli ni fungus au ni tatizo lingine.maana hapa watu wengi wataelekeza zaidi mawazo yao kwenye fungus,sasa ikiwa sio yenyewe tutakuwa hatujakisaidi kabisa ndugu yangu.
zipo supermarkets kwa wingi mkuu bei ni kati ya Tshs 2000-2500 kwa chupa kwa ACV ambayo ndiyo nzuri zaidi. ukikosa hiyo nunua white vinegar na hii ni Tshs 1000-1500 kwa chupa.nashukuru sana mkuu kwa kuniagizia hii dawa ila samahani mkuu inapatikana pharmacy au kwenye cosmetics
Zipo kwa wingi supermarket zinatibu fungus wa mvunguni na wa kwapa au kikwapa na kufanya ngozi ilokuwa nyeusi kutokana na hao microbes kurudia rangi yake . bei ni tshs 200-2500 kwa apple cider vinegar (ACV) na Tshs 100-1500 kwa white vinegar. Mbali na kupaka unaweza kunywa kijiko kimoja cha ACV au WV na kuchanganya na maji (baridi au vuguvugu) glass moja kukuepusha na maumivu ya mwili na viungo. Tumia pia kwa kusukutua kuondoa harufu mbaya ya kinywamkuu hyo dawa inapatikana kwenye maduka ya aina gani, unaweza niambia na bei yke?