Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

ok fanya hivi...
Huo utakuwa mchanganyiko wa magonjwa mawili au matatu au zaidi. Sivizuri kudhan ni ugonjwa mmoja

1. Nadhan ana bacteria infection kwenye vagina ambao wamechange pH ya vagina
2. Ana fungal infection kwa sababu inawezeka bacteria na fungal zika co exist sababu ya antibiotic resistant bacteria
3. Ana high infection kwenye (cervix, uterus pamoja na adnexia) kizazi ndo maana anapata mucus.
4. Ana systemic fungal infection ndo maana haponi fungas kwa kutumia gynazol pekee.

Afanye hivi
1. Antibiotic Atumie doxycilline, metronidazole pamoja cloxacilline
2. Atumie miconazole pesaries pamoja na miconazole topical ointment
3. Atumie fuluconazole tabs atleast 4 three weeks 150au 200mg bd.
4. Mwisho hzo miconazo za kupaka aka topical apake kwenye mashavu. Uvungu wa makalio wote yan kuanzia nyuma ya sehemu ya aja kubwa mpaka mbele mwisho wa mavuzi.
5. Acha kuvaa chupi na tight za linen tumia za cotton pekee.
Tupe feedback
 
na inakuaje mtu unakua unaskia kama maumvu yan kama mkojo unakuuma uma vle..alaf unatoka ute mzto mweupe lakn cyo mwng?

ok mkojo kukuuma ukikojoa kwenye mashavu ni fungus zinasababisha inflamation then unapata mchubuko ukikojo unapata maumivu mkojo ukigusa mchubuko. Tumia miconazole pesaries na topical miconazole utapona
pole
 
Mkuu Baosita kama nikimeza chenyewe bila kusaga wala kuchanganya na maji vuguvugu itafaa? Manake kikiwa kizima nahisi inakuwa poa kama umebugia peremende vile..!
 
asante kwa tiba mbadala, tupumzike na makemikali pale inapobidi
 
Hii dawa nimeitumia baada ya kupatwa na flue badala ya kunywa coldril kama nilivyozoea. baada ya masaa kadhaa nimejiskia vizuri sana. nashauri kitunguu kizuri sio vile vikubwa vyeupe. ni vyenye punje ndogo na rangi inayoelekea wekundu
 
dah ahsante sana mzee wa baosita, maana hili tatizo ni tropical Neglected disease, (NTD) iliyowekwa pembeni zaidi! usione biashara ya boxer inashamiri hadi za mitumba!!!! fungus noma!!! ila mi niliwahi jaribu kupaka aloe vera kwa fangasi za miguu, zimepona kabisa! kama vipi mtu kama ni chronic apige booster dose...
 
Mkuu samahani kwa kuchelewa napenda kujua vipi kwa mtoto mwenye miaka miwili anaruhusiwa kupewa dawa hii?
 
Mkuu hii dawa unakunywa kwa mda gani!?
 
Mimi nna fungus kwenye miguu zaidi ya miaka 8 vinatoa vipele vya maji maji vinawasha sana nimetumia dawa kibao zinapona dozi ikiisha nikiacha baada ya muda vinarudi vinawasha balaa ngoja nijaribu mkuu ntaleta ushuhuda hapa sasa sijui baada ya muda vitarudi tena au inakuaje hapo mkuu
 
mkuu unatishaa
 
pole sana na fuata ushauri wa MziziMkavu vitunguu swaumu ni kabambe na ninashauri hata ambao hawaumwi ni bora kutumia hata kwa wiki mara mmoja inasaidia mambo mengi sana
 
Je hata MBA zinapona? kwani zimenisumbua kwa muda mrefu sana, naomba maelezo hapo kwani nikiwa sehemu za joto kama dar ndiyo inakuwa noma afadhali sehemu za baridi kidogo napumzika kupaka dawa za MBA.
 

Mzizi naomba unidumbukizie chemba ya private huu utirio if you don't mind
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…