>Mh!!!
Hizi dawa zitakuja kutuua.
Nilivyokunywa nikazani nimemeza sumu.
>TUNASHUKURU KWA TIBA MKUU.
nakuunga mkono maana hujaihusisha na miujiza. kikombe cha babu kilihusihwa na ndoto za miuujizaAchana na stori za babu!Hii ni sayansi rahisi tu,sijasema unapona magonjwa yote.Nimesema fungus na minyoo sugu!Kama hujasumbuliwa na hivyo vitu,basi hii isikusumbue mkuu.Subiri watakaokunywa uone wanasemaje ndio unipinge.
hiiii,,,,,, wadau ni ipi dawa sugu ya fangasi ukeni,,,,:frusty:
...daah ! eti TETESI; FANGASI..hebu fafanua utetesi wa fangasi ukovipi hapo ? ngoja wataaluma wa tetesi hizi waje...
hiiii,,,,,, wadau ni ipi dawa sugu ya fangasi ukeni,,,,:frusty:
hiiii,,,,,, wadau ni ipi dawa sugu ya fangasi ukeni,,,,:frusty: