Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duuuh....asanteni kwa darasa,nami pia ni muanga
yeast ni fungus nduguHalafu inaweza ikawa ni yeast na si fangasi.so yakupasa uitumie sana google .itakusaidia.
What?Hapa n jamii forum... unaongea vyovyote, ilmrad isiwe 'pumba' na lsiwe tusi!
Mkubwa, kama madawa yamebuma hep pumzka kdogo but though am not a dr by proffessional, nakshaur uanze kampen ya usaf wa mwl kwa sabuni zenye dawa huku ukibadlsha 'kufuli' kama wadada ... yaani asubuh na jioni mwsho ukpata nafas jipe hewa kwa kupiga 'freestyle' yaan usivae chup ..
msaada ni mwaka wa pili huu nmejarbu daw mbalimbli ila imeshindkana yani adi ngozi imebadlika rangi
Heshima sana kwako MziziMkavu
Heshima sana kwako MziziMkavu
Umetumia neno kali sana. Kama inawezekana rekebisha kidog. Samahani kama ntakosea.