Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo wadau nmetembea kwenye mahosptal nying nikaonge na madaktar weng nkawaulza kuhusu magonjwa ya mara kwa mara yanayowakumba wasichana wa kitanzania wakaniambia ni uti na fangas ukeni. Nikawafkria vjana wenzangu wanaopenda kunyonya nyonya uke hovyo hovyo nikawaonea huruma sana as cancer ya kweny koo inavyowala ukichanganya na mapombe magumu wanayokunywa kabla ya gemu ndo kabisa hahaha polen sana
Kwani kuna privacy ya mgonjwa yeyote iliyo funjwa...? ukisema OPD case za wanawake ni UTI and vaginal candidiasis umevunja privacy.....???Mkuu huo utafiti wako balaa aisee , sikuwahi kufikiri kwamba ipo siku nitakutana na thread kama hii.
meningitis ethics za udaktari zinasemaje kuhusu privacy ya mgonjwa ?
hujaeleweka bado kwa hiyo unachokimaanisha hapa ni huo mchezo ni mbaya kwa pande zote au unamaanisha we huwezi kuzama chumvini ila mwenzio ye ndo atumie maik yako au?
Mkuu huo utafiti wako balaa aisee , sikuwahi kufikiri kwamba ipo siku nitakutana na thread kama hii.
meningitis ethics za udaktari zinasemaje kuhusu privacy ya mgonjwa ?
Mambo wadau nmetembea kwenye mahosptal nying nikaonge na madaktar weng nkawaulza kuhusu magonjwa ya mara kwa mara yanayowakumba wasichana wa kitanzania wakaniambia ni uti na fangas ukeni. Nikawafkria vjana wenzangu wanaopenda kunyonya nyonya uke hovyo hovyo nikawaonea huruma sana as cancer ya kweny koo inavyowala ukichanganya na mapombe magumu wanayokunywa kabla ya gemu ndo kabisa hahaha polen sana
Umetembelea mahospitali nyingi? Hazina idadi?
Unataka kutuambia kwenye top 10 diseases za kupigana nazo kwa nguvu zote (huwa zinarekodiwa kwenye kitabu maalum cha wizara ya afya kwa ajili ya takwimu za kupanga mikakati) tuongeze uti na fungus?! Malaria sio issue tena?
Magönjwa ya ukeni ni balaa utakuja uugue fangus za midomo km mbuzi aliegua midomo baada ya kula nyasi zenye maji km kuna ambaye alishawahi kuuona huo ugonjwa ni noma
Mkuu huo utafiti wako balaa aisee , sikuwahi kufikiri kwamba ipo siku nitakutana na thread kama hii.
meningitis ethics za udaktari zinasemaje kuhusu privacy ya mgonjwa ?
Kwa sababu ya maumbile ya wanawake, hayo ndo magonjwa makuu ambayo wengi wanayo kila sikuUmetembelea mahospitali nyingi? Hazina idadi?
Unataka kutuambia kwenye top 10 diseases za kupigana nazo kwa nguvu zote (huwa zinarekodiwa kwenye kitabu maalum cha wizara ya afya kwa ajili ya takwimu za kupanga mikakati) tuongeze uti na fungus?! Malaria sio issue tena?