Dawa ipo, nipe mawasiliano yako
[h=2]Dawa kiboko ya minyoo na fungus sugu (home made)!![/h]Wakuu,
Ni muda mrefu sasa nimekuwa nikisumbuliwa na fungus za miguuni.Nimejaribu kutumia hata vidonge vya kumeza bila mafanikio,kidogo kupaka asali kulisaidia ila ikawa ni nafuu ya muda.Naomba kama kuna yeyote mwenye kujua dawa au tiba ya kudumu anisaidie.
Christmas Njema!
paka spirit inatoshaWakuu,
Ni muda mrefu sasa nimekuwa nikisumbuliwa na fungus za miguuni.Nimejaribu kutumia hata vidonge vya kumeza bila mafanikio,kidogo kupaka asali kulisaidia ila ikawa ni nafuu ya muda.Naomba kama kuna yeyote mwenye kujua dawa au tiba ya kudumu anisaidie.
Christmas Njema!
Kuna dawa nimeitumia nimepona ugonjwa wa mba wa kichwani, rafiki aliniambia nikakununue dawa inayoitwa kibiriti upele. ile dawa inauzwa kwenye maduka ya dawa za kiswahili ni ya ungaunga na kama ya njano hivi ikiwa kwenye kifuko cha plastiki. Nikaiweka kwenye chupa ndogo ya maji ya uhai na kuichanganya na mafuta ya nazi... basi nikawa napaka kichwani kila ninaponyoa kipara.
Lakini rafiki yangu aliniambia inatibu hata fangasi wa kwenye pachipachi za mapaja na kwenye vidole vya miguuni. Nimeitumia kwa kweli imenisaidia sana... na kuna watu wengi nimewapa na wamesema imewasaidia sana... huwezi kuamini inauzwa shilingi mia tano mpaka buku.
Wadau nina tatizo la fungus kwenye ngozi ya mwili, usoni kwenye ngozi chini ya macho, kwenye miguu na sehemu za paja! Naomba msaada tafadhali nifanyeje
umejuaje kuwa ni fungus? we tuambie nini kinaonekana na kinasumbuaje?
Kuna maduka yanaitwa ya asili yapo mengi sana Kariakoo.Mkuu kwa Dar es salaam naweza kupata wapi exactly hiyo dawa? Maana nahisi mimi ni too much mpaka kucha za miguuni zinaathiriwa na hawa fangas sugu. Kama unacontacts za hao wauzaji naomba unisaidie kama hautajari mkuu.
Kuna maduka yanaitwa ya asili yapo mengi sana Kariakoo.