Nakutunuka cheti cha udaktari!!! big up mamii...
akifuata tu haya uliyosema hana haja ya kwenda hospital na fungus atazisikia kwenye bomba...
Nishasoma sehemu hii,lakini kuitumia mhhh,imagine ziwa la mgando kwenye K,mhh...kuna alternative nyepesi ya juice ya limao...
Mbona mnatengeneza kachumbari huko? Mtindi, juice ya limao, namwengine aje aseme ya nyanya, vitunguu, vinegar, chumvi
Limao au kitunguu saum pia