Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

tatizo LA fungus limekuwa tatizo kubwa sana yan watu wanamwaga pesa zao kwa kununua dawa za kila INA lakini WAP...yan ukitaka kuamini jarib kwenda kila duka LA dawa unalolijua utaishia kupewa gresiofulvin,amphotelicin B,ketoconazole tabs na cream yake, fluconazole n.k..lakini kiukweli hizo dwa ni slow reacting drugs compared na fungal resistivity...kuna dawa kama fluconazole 200gm na Tarbenafile ndizo zinaweza kabiliana na tatizo hill but ni so expensive sana kwa mf .fluconazole 200gm inauzwa kidonge kimoja 2000 na unatakiwa utumie dozi moja complete yenye vidonge 15 so u can see ver very expensive...na ukiajidanganya kutumia vidonge 7 hutapona mpka umalize dozi...hata kwa terbinafile napo ni hivo hivo kama unaweza nenda medical shop mwambie akupe fluconazole 200 gm na sio 150gm yan hapo rudi unipe jibu na usidanganywe kupewa 150 gm ujue Aziponi...

but pia kuna hi I dawa ambayo ndo the best than ever known to most of people...yan watu wanakimbilia kununua dawa za fungas lakini wahaponi...fungus wanapovami mwili wako ni ngumu kutoka kama mwili wako utakuwa na chunus mgongoni au sehemu fungus zilipo...pale kunakuwa na multiple infection au utapata double infection ambayo kwa sasa tuliosomea mambo a skin I diseases au dermatologist tunaita una bacterial fungal infection so kama una MBA au fungas zilizoshindikana usitumie tena dawa yoyote ile ya fungas ila kuna dawa moja hivi ambayo kiukweli ndo itamaliza kila kitu inaitwa Septrin....

chukua septrin za 1000 halfu chukua mafuta madgo ya 300 aina ya baby care au Vaseline..(tafadhali usichanganye na lotion)
saga ile dawa au vile vidonge vyote mpka hakikisha vimekuwa unga haswa...
halafu changanyana mafuta mgando yako kwenye kikope like ..hakikisha unafanya mkologo wa maana...

then ukimaliza use unajipaka asbuhi kila unapomaliza kuoga unaenda kufnya mishe zako halafu jioni unaoga tena kisha unapaka tena...
yani for sure I give you two weeks hakuna hata DOA litakalobaki hapo na utakuja kutueleza juu ya maendeleo yako..

ukiona hujapona fungas badaa ya hiyo kazi bas namba uje hapa JF na azisha Uzi mwingine kwa kunitaji jina langu ili mnihoji juu ya fake advice I give you...
for sure hutaamini machoni mwako yani ni dawa itakayokugalimu kama 1000 lakini utakuwa umepona milele narudia tena milele na milele badala ya kuendelea kutumia dawa ambazo ni garama kubwa sana lakini hakuna lolote...only septrin is the final drug of choice for bacterial fungal infection...
naomba kuanzi Leo usinunue dawa yoyote ile ya fungal make kwanza izo dawa ni very very toxic sana kadri unapozidi kuzitumia..wale wataalamu wa afya watakubaliana na Mimi kuwa ketoconazole is the best liver inducing toxic drug na Mara nying husababisha kidney failure kwa akina mama wajawazito hata felt death can occur..ndo mana tumeitoa kwenye normal drug routine uses...

cha msingi ndg yangu kafanya kama nilivokuambia na wengine ambao mlikuwa hamjui juu ya siri kubwa ya septrin kutibu chronic fungal infections including systemic spread au local spread ila dawa take ndo hiyo..
nakutakia mafanikio mema mkuu...
uaiaite kunipa mrejesho ...

Septrin tabs..Usage uchanganye upake kwenye ngozi?

This is irrational drug usage
 
Yaelekea brivigy ni mcha Mungu mzuri ndiyo maana anapenda kuwaokoa watu!
 
Ugonjwa Wa ngozi wowote ukitumia dawa utapona ndani ya siku tatu tu... Siku zikizidi hiyo si dawa si nzuri.
wadudu wanaoshambulia ngozi wanapokula dawa huwa fanya wazimie kwa masaa kumi na mbili tu wanaamka wakiwa na njaa hutafuta chakula na kula tena sasa wakikuta kuna dawa huila na kuzimia tena kwa masaa kumi na mbili hivyo hivyo kwa siku tatu hufa kabisa na hata kuzaliana kwao Kunakosekana...

Hivyo unashauliwa kutumia dawa kwa kufuata muda tu hakika utapona... Pia tambua Maji na jasho ni hatari jiepushe navyo ndani ya dozi maana wadudu wakipata Maji Maji huzinduka na kuzaliana faster hivyo hutokuja kupona hadi kifo kikutembelee... So oga vizuri paka dawa muda wa kuoga uwe huo huo Kama ni usiku au Asubuhi hadi masaa 24 yapite hivyo hivyo ndipo unapaka dawa. Namaanisha uoge Mara moja tu kwa siku... Usione kinyaa ni kwa ajili ya kupona pia nguo zako unazovaa zifuliwe vizuri na pasi zipigwe vizuri viatu vifuliwe kwa sabuni ya dawa ikiwezekana uviloweke japo kwa nusu saa ukitumia detail soap na soksi badili kila siku na zifuliwe ni kwa ajili ya kutokujiambukiza siku za usoni...

Hakika utapona... Dawa zipo nyingi sana na zinaponyesha issue ni masharti tu even Maji ya chumvi ukitumia pia utapona
 
tatizo LA fungus limekuwa tatizo kubwa sana yan watu wanamwaga pesa zao kwa kununua dawa za kila INA lakini WAP yan ukitaka kuamini jarib kwenda kila duka LA dawa unalolijua utaishia kupewa gresiofulvin, amphotelicin B, ketoconazole tabs na cream yake, fluconazole n.k lakini kiukweli hizo dwa ni slow reacting drugs compared na fungal resistivity.

Kuna dawa kama fluconazole 200gm na Tarbenafile ndizo zinaweza kabiliana na tatizo hill but ni so expensive sana kwa mf .fluconazole 200gm inauzwa kidonge kimoja 2000 na unatakiwa utumie dozi moja complete yenye vidonge 15 so u can see ver very expensive...na ukiajidanganya kutumia vidonge 7 hutapona mpka umalize dozi.

hata kwa terbinafile napo ni hivo hivo kama unaweza nenda medical shop mwambie akupe fluconazole 200 gm na sio 150gm yan hapo rudi unipe jibu na usidanganywe kupewa 150 gm ujue Aziponi...

but pia kuna hi I dawa ambayo ndo the best than ever known to most of people...yan watu wanakimbilia kununua dawa za fungas lakini wahaponi...fungus wanapovami mwili wako ni ngumu kutoka kama mwili wako utakuwa na chunus mgongoni au sehemu fungus zilipo...pale kunakuwa na multiple infection au utapata double infection ambayo kwa sasa tuliosomea mambo a skin I diseases au dermatologist tunaita una bacterial fungal infection so kama una MBA au fungas zilizoshindikana usitumie tena dawa yoyote ile ya fungas ila kuna dawa moja hivi ambayo kiukweli ndo itamaliza kila kitu inaitwa Septrin....

chukua septrin za 1000 halfu chukua mafuta madgo ya 300 aina ya baby care au Vaseline..(tafadhali usichanganye na lotion)
saga ile dawa au vile vidonge vyote mpka hakikisha vimekuwa unga haswa...
halafu changanyana mafuta mgando yako kwenye kikope like ..hakikisha unafanya mkologo wa maana...

then ukimaliza use unajipaka asbuhi kila unapomaliza kuoga unaenda kufnya mishe zako halafu jioni unaoga tena kisha unapaka tena...
yani for sure I give you two weeks hakuna hata DOA litakalobaki hapo na utakuja kutueleza juu ya maendeleo yako..

ukiona hujapona fungas badaa ya hiyo kazi bas namba uje hapa JF na azisha Uzi mwingine kwa kunitaji jina langu ili mnihoji juu ya fake advice I give you...
for sure hutaamini machoni mwako yani ni dawa itakayokugalimu kama 1000 lakini utakuwa umepona milele narudia tena milele na milele badala ya kuendelea kutumia dawa ambazo ni garama kubwa sana lakini hakuna lolote...only septrin is the final drug of choice for bacterial fungal infection...
naomba kuanzi Leo usinunue dawa yoyote ile ya fungal make kwanza izo dawa ni very very toxic sana kadri unapozidi kuzitumia..wale wataalamu wa afya watakubaliana na Mimi kuwa ketoconazole is the best liver inducing toxic drug na Mara nying husababisha kidney failure kwa akina mama wajawazito hata felt death can occur..ndo mana tumeitoa kwenye normal drug routine uses...

cha msingi ndg yangu kafanya kama nilivokuambia na wengine ambao mlikuwa hamjui juu ya siri kubwa ya septrin kutibu chronic fungal infections including systemic spread au local spread ila dawa take ndo hiyo..
nakutakia mafanikio mema mkuu...
uaiaite kunipa mrejesho ...


hongera kaka kwa elimu yako ni kwel fangasi limekuwa tatizo,, kwa mfano mm nmetumia kwel hizo dawa ulzozitaja hapo juu kasoro hiyo turbine lkn sijapona fangasi zipo sehem za siri na mdomon znafanya ukurutu na utando mweupe mdomon, pia kuwasha sana kwny pumbu na kutoka ukurutu, nimetumia pesa nyng ila sion mafanikio, kuna kipind nilianza kutumia fluconzole 200mg baada ya vdonge 7 nilianza kuona mabadlko ilikuwa ni dozi ya vidonge 30, lakin siku ya 9 nilisahsahau kutumia kdonge kimoja kesho yake niliendelea lakin fangasi zirilud kwa kasi, swali langu docta nifanyeje? au nirud tu kutumia hizo dawa upya?? au fangasi wametengeneza Kinga zid ya hizo dawa baada ya kusahau hyo siku moja?? nifanyeje samahan kw hilo
 
Et huu unaitwa ugonjwa gan? "Kuna kijana anaumwa hivi anapokwenda kujisaidi huku kwenye Anas kunatoka kitu kama linyama hivi""
Nadhan ndo unaitwa bawaziri....na dawa zake ziko nyingi....ngoja wadau waje wanajua....again...am just guesing the name!
 
tatizo LA fungus limekuwa tatizo kubwa sana yan watu wanamwaga pesa zao kwa kununua dawa za kila INA lakini WAP...yan ukitaka kuamini jarib kwenda kila duka LA dawa unalolijua utaishia kupewa gresiofulvin,amphotelicin B,ketoconazole tabs na cream yake, fluconazole n.k..lakini kiukweli hizo dwa ni slow reacting drugs compared na fungal resistivity...kuna dawa kama fluconazole 200gm na Tarbenafile ndizo zinaweza kabiliana na tatizo hill but ni so expensive sana kwa mf .fluconazole 200gm inauzwa kidonge kimoja 2000 na unatakiwa utumie dozi moja complete yenye vidonge 15 so u can see ver very expensive...na ukiajidanganya kutumia vidonge 7 hutapona mpka umalize dozi...hata kwa terbinafile napo ni hivo hivo kama unaweza nenda medical shop mwambie akupe fluconazole 200 gm na sio 150gm yan hapo rudi unipe jibu na usidanganywe kupewa 150 gm ujue Aziponi...

but pia kuna hi I dawa ambayo ndo the best than ever known to most of people...yan watu wanakimbilia kununua dawa za fungas lakini wahaponi...fungus wanapovami mwili wako ni ngumu kutoka kama mwili wako utakuwa na chunus mgongoni au sehemu fungus zilipo...pale kunakuwa na multiple infection au utapata double infection ambayo kwa sasa tuliosomea mambo a skin I diseases au dermatologist tunaita una bacterial fungal infection so kama una MBA au fungas zilizoshindikana usitumie tena dawa yoyote ile ya fungas ila kuna dawa moja hivi ambayo kiukweli ndo itamaliza kila kitu inaitwa Septrin....

chukua septrin za 1000 halfu chukua mafuta madgo ya 300 aina ya baby care au Vaseline..(tafadhali usichanganye na lotion)
saga ile dawa au vile vidonge vyote mpka hakikisha vimekuwa unga haswa...
halafu changanyana mafuta mgando yako kwenye kikope like ..hakikisha unafanya mkologo wa maana...

then ukimaliza use unajipaka asbuhi kila unapomaliza kuoga unaenda kufnya mishe zako halafu jioni unaoga tena kisha unapaka tena...
yani for sure I give you two weeks hakuna hata DOA litakalobaki hapo na utakuja kutueleza juu ya maendeleo yako..

ukiona hujapona fungas badaa ya hiyo kazi bas namba uje hapa JF na azisha Uzi mwingine kwa kunitaji jina langu ili mnihoji juu ya fake advice I give you...
for sure hutaamini machoni mwako yani ni dawa itakayokugalimu kama 1000 lakini utakuwa umepona milele narudia tena milele na milele badala ya kuendelea kutumia dawa ambazo ni garama kubwa sana lakini hakuna lolote...only septrin is the final drug of choice for bacterial fungal infection...
naomba kuanzi Leo usinunue dawa yoyote ile ya fungal make kwanza izo dawa ni very very toxic sana kadri unapozidi kuzitumia..wale wataalamu wa afya watakubaliana na Mimi kuwa ketoconazole is the best liver inducing toxic drug na Mara nying husababisha kidney failure kwa akina mama wajawazito hata felt death can occur..ndo mana tumeitoa kwenye normal drug routine uses...

cha msingi ndg yangu kafanya kama nilivokuambia na wengine ambao mlikuwa hamjui juu ya siri kubwa ya septrin kutibu chronic fungal infections including systemic spread au local spread ila dawa take ndo hiyo..
nakutakia mafanikio mema mkuu...
uaiaite kunipa mrejesho ...
Mkuu Brivigy, kama fungus wakiwa ni wale wa ndani ya uke inakuwaje?
 
Et huu unaitwa ugonjwa gan? "Kuna kijana anaumwa hivi anapokwenda kujisaidi huku kwenye Anas kunatoka kitu kama linyama hivi""
una kitu kinanaitwa rectal prolapse...nenda hospital ufanyiwe rectal examination na mambo yatakuwa poa
 
hongera kaka kwa elimu yako ni kwel fangasi limekuwa tatizo,, kwa mfano mm nmetumia kwel hizo dawa ulzozitaja hapo juu kasoro hiyo turbine lkn sijapona fangasi zipo sehem za siri na mdomon znafanya ukurutu na utando mweupe mdomon, pia kuwasha sana kwny pumbu na kutoka ukurutu, nimetumia pesa nyng ila sion mafanikio,,, kuna kipind nilianza kutumia fluconzole 200mg baada ya vdonge 7 nilianza kuona mabadlko ilikuwa ni dozi ya vidonge 30,lakin siku ya 9 nilisahsahau kutumia kdonge kimoja kesho yake niliendelea lakin fangasi zirilud kwa kasi,,,swali langu docta nifanyeje? au nirud tu kutumia hizo dawa upya?? au fangasi wametengeneza Kinga zid ya hizo dawa baada ya kusahau hyo siku moja?? nifanyeje samahan kw hilo
tumia mchanganyo huuo nilioutaja hapo juu halafu bada ya week 2 ulete mlejesho
 
Mkuu Brivigy, kama fungus wakiwa ni wale wa ndani ya uke inakuwaje?
tumia fluconazole pesselies 200mg .dozi mzima na contra indication hapo usifanye mapenzi ndani ya dozi ya fluconazole pessel 200mg ..ukifanya bas ujue umeharibu tiba hapo lazima uanze upya dozi..vaginal candidiasis huruhusiwi kufa ya mapenzi ukiwa kwa dozi...wanWake wengi sana hawaponi kwa sababu pia ya dose disruption ..
 
tumia mchanganyo huuo nilioutaja hapo juu halafu bada ya week 2 ulete mlejesho
ahsante sanaa, je huo mchanganyiko nipake na mdomon kwenye lips fangas walipo au nifanyeje kuhusu wa mdomon?? na pia nahisi hawa fangas wapo mpaka ndan ya mwili, je huo mchanganyiko utatibu na wa ndan pia?

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
kwani as aleji na mafuta ya mgando au huwa hajipaki mafuta mgando...but najua kuna watu hawana moody na mafuta ya mgando but at least awe anjipaka usiku wakati wa kulala halafu akiamka asubuh anaoga ndo anaenda kwenye mishe mishe...inatosha kujipaka usiku tena akilala dawa inakuwa active sana.....yan mwambie kama anaweza awe anajipaka usiku muda wa kulala halafu mchana anakaa kawaida tu....unless other wise....but ukisema dawa uchanganye na mafuta ya naz ni dawa tu but chemistry ya drud reaction ilifanyiwa utafiti ikagundulika kuwa mafuta mgando yanaifanya dawa owe more reactive haswa though he/she can do as you have requested.....mwambie ajarib...but hope utakuwa powa tu...
kama zipo kwenye lipsi za mdomo naruhusiwa pia kupaka maeneo hayo??
 
hata ARV zipo katika grade tofaut so zipo za kunywa kila siku na zipo za kumeza Mara moja kwa mwaka au moja wa mwezi au Mara moja kwa miaka 5 but ni xo expensive...


Mkuu brivigy , una uhakika na hiki unachowaeleza watu hapa? Nina mashaka na hicho ulichokisema kuhusu ARVs.

Once-a-month medication?!! or Once-a-year medication?!! Medical science on ARVs nadhani bado haijafika huko. Mpaka sasa bado wanameza dawa on daily basis. Inasemekana zinatofautiana tu Quality, i.e ARVs zinazotumika Africa hazina ubora mzuri kama ARVs zinazotumika huko Developed Countries. Ila mpaka sasa ARVs zote bado ni DAILY pills duniani kote, kwa mtu ambaye ni HIV+ .

Hizo unazosema wewe za kunywa once a week/month/year bado zipo kwenye Trials. Not yet proved!

Mkuu pitia hizi recent studies on the same:

Once-a-Week HIV Injections May Free Millions From Pills

A Monthly Shot Could Soon Replace Daily HIV Meds

New HIV Treatment Only Requires 4 Uses A Year

Otherwise labda sina updated info on this. I stand to be corrected.

CC: Sky Eclat .

-Kaveli-
 
Mkuu brivigy , una uhakika na hiki unachowaeleza watu hapa? Nina mashaka na hicho ulichokisema kuhusu ARVs.

Once-a-month medication?!! or Once-a-year medication?!! Medical science on ARVs nadhani bado haijafika huko. Mpaka sasa bado wanameza dawa on daily basis. Inasemekana zinatofautiana tu Quality, i.e ARVs zinazotumika Africa hazina ubora mzuri kama ARVs zinazotumika huko Developed Countries. Ila mpaka sasa ARVs zote bado ni DAILY pills duniani kote, kwa mtu ambaye ni HIV+ .

Hizo unazosema wewe za kunywa once a week/month/year bado zipo kwenye Trials. Not yet proved!

Mkuu pitia hizi recent studies on the same:

Once-a-Week HIV Injections May Free Millions From Pills - VOA News

A Monthly Shot Could Soon Replace Daily HIV Meds | HIVPlusMag.com

New HIV Treatment, Antiretroviral Cabotegravir, Lasts For Three Months

Otherwise labda sina updated info on this. I stand to be corrected.

CC: Sky Eclat .

-Kaveli-

That is the future plans, infact kuna watu wameshaanza kutumia ARV za kumeza mara tatu kwa wiki, hii ni kwa wale wenye matatizo ya figo na wasiokumbuka kunywa dawa kila siku, mara nyingi wanakunywa J3, J5, Ijumaa na unakuwa na weekend free. Matatizo ni kuwa wengi hawakumbuki siku ya kunywa na siku ya kupumzika, inabidi na wengine wanaamua waendelee na za kila siku.
 
Back
Top Bottom