Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

Salaam waungwana

ndugu waungwana nimepatwa na ugonjwa wa ajabu ambao unanikosesha raha mpaka sasa,
hivi niandikapo naandika kwa shida,

siujui unaitwaje huu ugonjwa mimi nimeubatiza nauita pumbukavu kusudio la kusema hapa ni kupata ushauri ni dawa gani naweza kutumia ili niondokane na haya madhila, maana kuna dawa ninatumia sijaona mafanikio ,

Dah ugonjwa wenyewe ni pumbu zinakuwa kavu papo hapo zinawasha kupita maelezo na zinanyorodoka kama pumbu za mzee vile,

Imekuwa ni aibu hata kusimama mbele za watu maana kila ukikuna ndio kama umeziruhusu kubadilisha rythim ya ukali nisiwafiche kwa huu utamu nimeutafutia kibumvi
sababu kucha sina kwa ajili ya huu utamu

lakini waswahili wanasema penye utamu ndipo penye madhara,naomba mnisaidie

Nimekuwa kama mwanamuziki wa kufoka foka kila wakati kushika mbeleni bado kupewa kipaza sauti nimwage mistari

Yaani ni aibu hata shemeji yenu sina hamu nae tena

Naomba mnisaidie ushauri maana mficha maradhi mauti humuumbua

Nasubir ushauri wenu
Kwanini usimwone daktari?
 
Hebu kwanza badilisha tittle, hiyo alafu tumia lugha nzuri kidogo.

Hiyo ni dalili ya magongwa ya Zinaa ambayo ni hatari sana kwa afya yako ya uzazi, itapelekea kuwa mgumba kabisa kama huta chukua hatua mapema.
1; acha kabisa kushiriki tendo na mwenzi wako kwa sasa ili kumuepusha na tatizo hilo.

2; kama hukuwahi kuchepuka basi mchunguze vizuri mwenzi wako anaweza kuwa chanzo hata kama madhara bado hayajaanza kujitokeza kwake kutokana na tofauti ya kimaumbile. Chukua hatua kumsaidia mapema.

3; wahi haraka hospital , ukapate matibabu mapema kabla Madhara hayajawa makubwa.

Note, Tatizo hilo pia linaweza kusababishwa na kutojisafisha kwa muda mrefu baada ya tendo au wale wanaopiga nyeto Mara kwa Mara na kutokujisafisha. Na kupelekea mgandamizo.
Kama unahusika na moja kati ya hayo basi jitahidi kubadilika.

Ahsante.
 
mkuu unatokea upande wa malawi nini,maana huko na ndiko wanapotumia chupi za vip mpaka leo hii,mi nakupa ushauri zimwagie nyunyizia petrol chukua jiko la mkaa lielekee mpaka petrol yote ikauke utakuwa umepona kabisaaaa!
 
Hebu kwanza badilisha tittle, hiyo alafu tumia lugha nzuri kidogo.

Hiyo ni dalili ya magongwa ya Zinaa ambayo ni hatari sana kwa afya yako ya uzazi, itapekekea kuwa mgomba kabisa kama huta chukua hatua mapema.
1; acha kabisa kushiriki tendo na mwenzi wako kwa sasa ili kumuepusha na tatizo hilo.

2; kama hukuwahi kuchepuka basi mchunguze vizuri mwenzi wako unaweza kuwa chanzo hata kama madhara bado hayajaanza kujitokeza kwake kutokana na tofauti ya kimaumbile. Chukua hatua kumsaidia mapema.

3; wahi haraka hospital , ukapate matibabu mapema kabla Madhara hayajawa makubwa.

Note, Tatizo hilo pia linaweza kusababishwa na kutojisafisha kwa muda mrefu baada ya tendo au wale wanapiga nyeto Mara kwa Mara na kutokujisafisha. Na kupelekea mgandamizo.
Kama unahusika na moja kati ya hayo basi jitahidi kubadilika.

Ahsante.
hapa kwenye punyeto panaweza kua kweli
 
pole sana mkuu jiepushe kulala bila kujifunika unaweza kulia ukiwa paka au panya wakakutafuna,hizo ni fungus kamuone daktari
 
Kunamafuta flani hivi nikifika home nitayaangalia jina ili ununue au nikuuzie maana Mimi nilioga sikumoja maji ya chumvi ukanishika umenitesa sana but nilipopata dawa umekwisha kabisa
 
Salaam waungwana

ndugu waungwana nimepatwa na ugonjwa wa ajabu ambao unanikosesha raha mpaka sasa,
hivi niandikapo naandika kwa shida,

siujui unaitwaje huu ugonjwa mimi nimeubatiza nauita pumbukavu kusudio la kusema hapa ni kupata ushauri ni dawa gani naweza kutumia ili niondokane na haya madhila, maana kuna dawa ninatumia sijaona mafanikio ,

Dah ugonjwa wenyewe ni pumbu zinakuwa kavu papo hapo zinawasha kupita maelezo na zinanyorodoka kama pumbu za mzee vile,

Imekuwa ni aibu hata kusimama mbele za watu maana kila ukikuna ndio kama umeziruhusu kubadilisha rythim ya ukali nisiwafiche kwa huu utamu nimeutafutia kibumvi
sababu kucha sina kwa ajili ya huu utamu

lakini waswahili wanasema penye utamu ndipo penye madhara,naomba mnisaidie

Nimekuwa kama mwanamuziki wa kufoka foka kila wakati kushika mbeleni bado kupewa kipaza sauti nimwage mistari

Yaani ni aibu hata shemeji yenu sina hamu nae tena

Naomba mnisaidie ushauri maana mficha maradhi mauti humuumbua

Nasubir ushauri wenu
Hiyo ni fungus nenda duka la dawa wakupe dawa ya fungus za pumbu.
Sababu kubwa ni kuvaa chup za kubana na nguo ambazo hazikukauka vizuri pamoja na kurudia nguo za ndani.
Njia nyingine ni kusubiri wakati pale limekakamaa lipakae mafuta ya kupikia then utaoma kuna ukoko ambao unaweza upandua na ukisugua unatoka.
Baada ya hapo utapona kabisa
 
Back
Top Bottom