Tatizo la machinga litatuliwe kwa hekima sio nguvu

Tatizo la machinga litatuliwe kwa hekima sio nguvu

eddy

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2007
Posts
16,054
Reaction score
11,568
Naona tuna tumia nguvu kutatua tatizo tulilo lisababisha wenyewe. Sikuzote tunasema vijana wajiajiri, tulitegemea watajiajiri wapi?

Njia rahisi ya kutatua tatizo hili, kwanza nikuwatambua machinga, tuwape nafasi wachague viongozi, wajiorodheshe na tuwape vitambulisho.

Tuwaruhusu wachague eneo lakufanyia kazi hatakama katikati ya barabara wapeni.

Baada ya hapo yukae na viongozi wao tujadili changamoto na wao watapeleka majawabu kwa wanachama au wanakikundi wenzao. Huwezi kukimbiza watu hovyo ukategemea mafanikio.

Nahitimisha, njia bora ya kumaliza tatizo na machinga ni kuwapa uhuru wa kuchagua viongozi wao na hao ndio wajadiliane na serikali changamoto zilizopo, viongozi ndio watabeba jukumu la kuwaondoa sehemu zisizo rafiki na zenye changamoto na sio polisi jkt wala mgambo wa jiji. Wahenga walisema mchawi mpe akulelee mwanao
 
Mkuu.
Miaka sita ulioachiwa kufanya biashara bila kodi na ushuru hujawa mfanyabiashara bado...(mbingu sio kwa ajili ya wanyonge)
 
Naona tuna tumia nguvu kutatua tatizo tulilo lisababisha wenyewe. Sikuzote tunasema vijana wajiajiri, tulitegemea watajiajiri wapi?

Njia rahisi ya kutatua tatizo hili, kwanza nikuwatambua machinga, tuwape nafasi wachague viongozi, wajiorodheshe na tuwape vitambulisho.

Tuwaruhusu wachague eneo lakufanyia kazi hatakama katikati ya barabara wapeni.

Baada ya hapo yukae na viongozi wao tujadili changamoto na wao watapeleka majawabu kwa wanachama au wanakikundi wenzao. Huwezi kukimbiza watu hovyo ukategemea mafanikio.

Nahitimisha, njia bora ya kumaliza tatizo na machinga ni kuwapa uhuru wa kuchagua viongozi wao na hao ndio wajadiliane na serikali changamoto zilizopo, viongozi ndio watabeba jukumu la kuwaondoa sehemu zisizo rafiki na zenye changamoto na sio polisi jkt wala mgambo wa jiji. Wahenga walisema mchawi mpe akulelee mwanao
Ni kweli Mkuu
 
Ila viongozi wa machinga wapo.
Na hili suala la huruma kila siku ndilo linatuponza maana maeneo yao ya biashara yametengwa na pia wapo mpk barabarani je, haki ya watumia barabara nayo? Tunaitizama vipi.
Tunahitaji katiba ambayo itakata pote pote sheria msumeno, hivyo kila mtu ajaliwe na sio tu kisa maskini machinga.
Mimi sioni ubaya kufuatwa haki kwa kila mmoja
 
Mkuu.
Miaka sita ulioachiwa kufanya biashara bila kodi na ushuru hujawa mfanyabiashara bado...(mbingu sio kwa ajili ya wanyonge)
Wacheni vijana watafute riziki kama ulipata kazi ujue wapo hasiokuwa na ajira, machinga wapya kila siku wanazaliwa,

Niwajibu wa serikali kutengeneza ajira, kama imeshindwa waacheni watu wajiajiri
 
Wacheni vijana watafute riziki kama ulipata kazi ujue wapo hasiokuwa na ajira, machinga wapya kila siku wanazaliwa,

Niwajibu wa serikali kutengeneza ajira, kama imeshindwa waacheni watu wajiajiri
Ujinga ni kuurasimisha umachinga...Machinga ni mfanyabiashara Muhuni anayekwepa kulipa kodi na ndio maana ukiwapa eneo la kufanyia biashara ili uwadhibiti hawataki wanapenda kuuza vitu juu kwa juu.
 
Ujinga ni kuurasimisha umachinga...Machinga ni mfanyabiashara Muhuni anayekwepa kulipa kodi na ndio maana ukiwapa eneo la kufanyia biashara ili uwadhibiti hawataki wanapenda kuuza vitu juu kwa juu.
Fact
 
Ila viongozi wa machinga wapo.
Na hili suala la huruma kila siku ndilo linatuponza maana maeneo yao ya biashara yametengwa na pia wapo mpk barabarani je, haki ya watumia barabara nayo? Tunaitizama vipi.
Tunahitaji katiba ambayo itakata pote pote sheria msumeno, hivyo kila mtu ajaliwe na sio tu kisa maskini machinga.
Mimi sioni ubaya kufuatwa haki kwa kila mmoja
Nyie mumetoka Dodoma kuwafuata machinga dar, ukiona machinga kero kahemee mlimani city
 
Umuhimu wa machinga October 2025 kwa sasa hawana maana kwa serikali ya ccm.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Ujinga ni kuurasimisha umachinga...Machinga ni mfanyabiashara Muhuni anayekwepa kulipa kodi na ndio maana ukiwapa eneo la kufanyia biashara ili uwadhibiti hawataki wanapenda kuuza vitu juu kwa juu.
Kodi mumeiweka kwenye tozo anakwepaje
 
Mogadishu machinga wanauza dollars pounds na hakuna bugudha sie wanauza nyanza mate mbele chupi kelele nyingi
 
Naona unajipigia debe, ila yafaa na majinga waingize kwenye mfumo wa kodi wawe na TIN number na leseni walipe kodi. Unakuta machinga anauza hadi laki 2 kwa siku kwa nini hasilipe kodi?

Kama haiwezekani kulipa kodi wawekwe sehemu moja walipe ushuru kila siku shilling 500 na sio vitambulisho
 
Kodi mumeiweka kwenye tozo anakwepaje
Mkuu,
Biashara Dunia nzima zina utaratibu mmoja na huo utaratibu ni wa kuwatambua wazalishaji,wauzaji na wanunuzi ili kuwalinda wote kwa pamoja.Sasa naomba nikuulize ukinunua kitu kwa mtu ambaye hatambuliki,usalama wako mnunuzi unakuwa wapi?hivi unajua halmashauri zinapoteza mapato Mengi kwa kuwaacha Machinga wauze watakavyo?
 
Mkuu,
Biashara Dunia nzima zina utaratibu mmoja na huo utaratibu ni wa kuwatambua wazalishaji,wauzaji na wanunuzi ili kuwalinda wote kwa pamoja.Sasa naomba nikuulize ukinunua kitu kwa mtu ambaye hatambuliki,usalama wako mnunuzi unakuwa wapi?hivi unajua halmashauri zinapoteza mapato Mengi kwa kuwaacha Machinga wauze watakavyo?
Biashara zinapaswa kuwa sokoni hii ya kilamtu kutoboa fremu kila nyumba sio utaratibu sasa hivi kila baada ya nyumba moja kuna grocery aka dangerous, basi nao wafunge waende sokoni
 
Naona unajipigia debe, ila yafaa na majinga waingize kwenye mfumo wa kodi wawe na TIN number na leseni walipe kodi. Unakuta machinga anauza hadi laki 2 kwa siku kwa nini hasilipe kodi?

Kama haiwezekani kulipa kodi wawekwe sehemu moja walipe ushuru kila siku shilling 500 na sio vitambulisho
Sijipigii debe nakipato cha kutosha, huwezi kuweka utaratibu kwa watu wasiofahamika, wajiorodheshe wapewe vitambulisho wachague uongozi huo uongozi ndio ukae na serikali wakubaliane namna ya kufanya biashara vinginevyo mtegemee hamza mwingine
 
Sijipigii debe nakipato cha kutosha, huwezi kuweka utaratibu kwa watu wasiofahamika, wajiorodheshe wapewe vitambulisho wachague uongozi huo uongozi ndio ukae na serikali wakubaliane namna ya kufanya biashara vinginevyo mtegemee hamza mwingine

Bora waje kina hamza ili polisi wapate kazi za kufanya sio kushika matako ya wanawake
 
Naona tuna tumia nguvu kutatua tatizo tulilo lisababisha wenyewe. Sikuzote tunasema vijana wajiajiri, tulitegemea watajiajiri wapi?

Njia rahisi ya kutatua tatizo hili, kwanza nikuwatambua machinga, tuwape nafasi wachague viongozi, wajiorodheshe na tuwape vitambulisho.

Tuwaruhusu wachague eneo lakufanyia kazi hatakama katikati ya barabara wapeni.

Baada ya hapo yukae na viongozi wao tujadili changamoto na wao watapeleka majawabu kwa wanachama au wanakikundi wenzao. Huwezi kukimbiza watu hovyo ukategemea mafanikio.

Nahitimisha, njia bora ya kumaliza tatizo na machinga ni kuwapa uhuru wa kuchagua viongozi wao na hao ndio wajadiliane na serikali changamoto zilizopo, viongozi ndio watabeba jukumu la kuwaondoa sehemu zisizo rafiki na zenye changamoto na sio polisi jkt wala mgambo wa jiji. Wahenga walisema mchawi mpe akulelee mwanao
Makalla anadhani machinga wa Dar ni sawa na wa Katavi!
 
Makalla anadhani machinga wa Dar ni sawa na wa Katavi!
Na mazingira ya sasa ni tofauti sana, unampiga kofi mamalishe baada ya dakika kumi dunia nzima inajua hadi trump, kwasasa unaweza vuruga nchi kwa dakika kumi na usiamini,
 
bila nguvu machinga hawakamatiki.

wanapanga budhaa barabarani, huo unyonge au ujinga.


Chief Hangaya atamke tu kuwa nikikuta machinga kaweka bidhaa road siku hiyo RPC na rso hawana kazi uone mziki wake.


naunga mkono hoja ya Makalla
 
Naona tuna tumia nguvu kutatua tatizo tulilo lisababisha wenyewe. Sikuzote tunasema vijana wajiajiri, tulitegemea watajiajiri wapi?

Njia rahisi ya kutatua tatizo hili, kwanza nikuwatambua machinga, tuwape nafasi wachague viongozi, wajiorodheshe na tuwape vitambulisho.

Tuwaruhusu wachague eneo lakufanyia kazi hatakama katikati ya barabara wapeni.

Baada ya hapo yukae na viongozi wao tujadili changamoto na wao watapeleka majawabu kwa wanachama au wanakikundi wenzao. Huwezi kukimbiza watu hovyo ukategemea mafanikio.

Nahitimisha, njia bora ya kumaliza tatizo na machinga ni kuwapa uhuru wa kuchagua viongozi wao na hao ndio wajadiliane na serikali changamoto zilizopo, viongozi ndio watabeba jukumu la kuwaondoa sehemu zisizo rafiki na zenye changamoto na sio polisi jkt wala mgambo wa jiji. Wahenga walisema mchawi mpe akulelee mwanao
Machinga ndiyo watakaoiondoa nchi kwenye udikteta.
 
Back
Top Bottom