Tatizo la machinga litatuliwe kwa hekima sio nguvu

Tatizo la machinga litatuliwe kwa hekima sio nguvu

bila nguvu machinga hawakamatiki.

wanapanga budhaa barabarani, huo unyonge au ujinga.


Chief Hangaya atamke tu kuwa nikikuta machinga kaweka bidhaa road siku hiyo RPC na rso hawana kazi uone mziki wake.


naunga mkono hoja ya Makalla
Mkuu hiyo amri haitasaidia, alishindwa merry chipungahero, Ditopile Makonda sembese makala? Tuliwatengenezea hadi mobile courts yaani akidakwa miezi sita jela hata kisutu hafiki haikusaidia na hapo walikuwa wachache sembuse leo 60% ya wakazi ni machinga,

Sasahivi kila mtu ni TISS CIA KGB, mta ula wali wa mamalishe mmoja hangaya atapigiwa simu na ramafonsa akiulizwa kuna shida gani huko?
 
Back
Top Bottom