Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachezaji wengi wamepita sio chini ya makocha watatu pale united lakini kiwango chao ni kile kile tu tia maji tia maji. Ifike hatua tukabali tu kwa sasa timu yetu ina wachezaji wa kawaida sana. Hata bournemouth wakijipanga vizuri wanatupigaNi kocha uwezo mdogo
antony hachez mpira bali anachezea mpiraWachezaji wengi wa Man u ni immature, ujinga mwingi. Jana unaona kabisa mchezaji anajua mpira niupeleke wapi Halland afunge,huku kwa Manshit kila mtu anakazana kufunga yeye hata kama yuko kwenye mazingira magumu,kwa hapa ni zaidi ya mechi ya jana.
Man u bado haijawa na watu wa kazi kwenye maeneo yake karibia yote,wachezaji wako legelege tu. Imagine Gernacho anakutana na Walker😂😂😂 anafurukutaje kwa mfano? Usije sema mbona Messi mwili mdogo mambo makubwa? Yule ni level ya peke yake.
Majeruhi,pia naona kocha bado hajawa na maamuzi sahihi kwenye kupanga kikosi.
Sikutegemea Antony mbrazil aanze bench kwa mechi ya jana.
Tatizo la Man U ni team Mbovu. Full stop.Hivi karibuni kumekuwa na hali ya kukera inayotokana na Manchester United kupoteza kwa mfululizo na malalamiko kutoka kwa wachezaji ambayo yamekithiri.
Kiundani sababu ya Manchester United kuwa hivi ni nini? Ni coach? Management? Sera? Wamiliki? Au ushindani wa EPL umekuwa mkubwa?
UPDATES:
Katika msimu huu wa mwaka 2023/24 Manchester United imecheza mechi 10 na kushinda mechi 5 tu na kupoteza mechi 5 zote.
Manchester ipo katika nafasi ya nane kati ya timu 20 zinazoshiriki ligi kuu ya English Premier League (EPL).
english premier league table
View attachment 2797739
😀 😀 😀yani magwaya kucheza first eleven hakuna sababu nyingine zaidi ya uchawiiii.Rikiboy una shida na Maguire? 😂😂😂
Ile ilikua nini pale jana? squad yote hadi hadi ya chini ya begi ya kuvalia siku za sikukuu ilikua ndani on pitch lakini hakuna kitu, unataka sema nnYaani timu iwe mbovu kwa asilimia 100 kweli? 😂😂😂😂
drury he is here christiano ronaldo he is here, welcome all to manchester united fetcher welcome.Squad ya mwisho matata kwa Manchester UTD.
View attachment 2797805